Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You deserve appreciation broda na wengine wengi.Napenda jinsi ulivyo
God bless
BAbu Asprin......huyu jirani Maty ndo unasema ndie binti yako aliyekuzalia mjukuu mie?? nianze kumwita mama eh??
You deserve appreciation broda na wengine wengi.Napenda jinsi ulivyo
God bless
BAbu Asprin......huyu jirani Maty ndo unasema ndie binti yako aliyekuzalia mjukuu mie?? nianze kumwita mama eh??
Asprin anachekelea tu hapa....kimaslahi....:smile:
Tatizo lako hupendi maslahi yangu. Vidole havilingani....we baki na Rose wako unayesaidiwa na Bigi the Rita.
Tatizo lako hupendi maslahi yangu. Vidole havilingani....we baki na Rose wako unayesaidiwa na Bigi the Rita.
nimekugongea senks maty,huyu kakangu asprin na babu DC ni wastaarabu sana,kaka asprin karithi ustaarabu kwa babu na mim nimerithi kwa kaka asprin.
najivunia kuwa na kaka kama asprin,ukiachillia mbali issue zake na eliza ni mtu safi sanaaa.kaka yangu asprin ni mfano wa jinsi kidume kinataiwa kuwa.Nampenda sana brutha asprin sababu sijawahi kumuona akijibizana na mtu.
MY KAKA ASPRIN IZ SOO COOL.
LOLs.
queen kemi kuna jambo ulifanya ukanidisapoint sana mtu wangu................!
sikuamini kama ni wewe nilizani pepo mchafu kachakachua pass word yako 'that day'............!
lkn bado nina imani kwako kuwa u dada mwenye busara.......................................................!
asprin naomba kuwa shemeji yako huku mkulu.........................![/QUOTE]
unaambiwa uchiteme wala uchimumunye mwenzio kafa kaoza kwa yule chocolatey boy.
kama vipi njoo huku kijijini kwetu tukutafutie warembo wa ukweli queen kami anataka wenye kutema ngeli.:smile-big:
asante sana Maty.....kuna baadhi ya watu humu wana fustration zao wanakuja kucheulia wengine makande yao na uji wa limao...ovyoo kabisa.
queen kemi kuna jambo ulifanya ukanidisapoint sana mtu wangu................!
sikuamini kama ni wewe nilizani pepo mchafu kachakachua pass word yako 'that day'............!
lkn bado nina imani kwako kuwa u dada mwenye busara.......................................................!
asprin naomba kuwa shemeji yako huku mkulu.........................!