Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila thread nyingine!!Binafsi nisiwafiche kwani sitaki na wala sitamami kwa sasa kwani Kiufundi kwa sasa Simba SC hatuna Kikosi thabiti cha Kucheza na Yanga SC iliyoko Relini na ya Moto kila Idara
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mapema sanaa...hahaha au droo zinatembea..
Yanga haijamaliza ya pili mbona?Labda kuanzia nusu fainali huko ila kwa robo fainali ni ngumu sana team zilizomaliza makundi katika nafasi ya pili kukutana.
Kachanganyikiwa huyoMkuu timu zipi zimemaliza nafasi ya pili? Mbona kama tayari una matokeo yako na wakati mechi bado hazijachezwa?
Ya kwamba Simba wataomba wakutane na Mamerod kuliko wakutane na yanga sio?Vyovyote vile ulivyoelewa, lakini alichoongea ndio ukweli wenyewe, Simba hana timu ya kupishana na Yanga.
Na hakuna mwanasimba ambaye anatamani hii itokee hata mwezi wa 4 ni kama unakuja kwa kasi sana
Kumbe inaongoza kundi?Yanga haijamaliza ya pili mbona?
Simba haijafuzu robo fainali bado na Yanga haijamaliza nafasi ya pili..Kumbe inaongoza kundi?
Haupo serious.Yanga anafungika vizuri tu ila timu nyingi zinacheza nayo kwa kufanya makosa yale yale ya kiufundi. Wakati fulani nililazimika kuleta uzi kufundisha jinsi ya kucheza nao maana niliona hayo makosa ya kiufundi yanajirudia kwa timu nyingi.
Ha ha haVyovyote vile ulivyoelewa, lakini alichoongea ndio ukweli wenyewe, Simba hana timu ya kupishana na Yanga.
Na hakuna mwanasimba ambaye anatamani hii itokee hata mwezi wa 4 ni kama unakuja kwa kasi sana
Simba haijafuzu robo fainali bado na Yanga haijamaliza nafasi ya pili..