Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Mkiwa rahisi thamani yenu inashuka ndio mwisho wake mnakuja kudhalilishwa.Si ndyo hapo sijui yupo desperate
Inapaswa hadi mje kuonana jasho limemtoka kweli
Wachukue notes kwa Lamomy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkiwa rahisi thamani yenu inashuka ndio mwisho wake mnakuja kudhalilishwa.Si ndyo hapo sijui yupo desperate
Mkipewa pesa mnaenda kununua iPhone. Tena ww una usongo sana na hii iliyotoka iPhone 15
Tukuweke pale kwa lamomy dukani kwake kkoo upige winga ukiweza ndio upate mtaji
Wapeleke mbweni[emoji23]
Zawadi iendane na uwezo, mm hata baiskeli tu sina, sasa hilo gari nitanunulia nn? Au nikipeleka likes za jf napewa? [emoji23][emoji23]Si umemwambia umpe zawadi yoyote asa mbona unastuka? Au ulikuwa unabip? [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkiwa rahisi thamani yenu inashuka ndio mwisho wake mnakuja kudhalilishwa.
Inapaswa hadi mje kuonana jasho limemtoka kweli
Wachukue notes kwa Lamomy
[emoji23][emoji23][emoji23] ulikua unachochea
Zawadi iendane na uwezo, mm hata baiskeli tu sina, sasa hilo gari nitanunulia nn? Au nikipeleka likes za jf napewa? [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee unawazaa pichaa tyuuh.We sema kweli?
Afu kwenye graduu alikuja kweli?
Coca nitumie pics za graduu kwanza [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan ninunue iPhone 15, huku naunga unga maishaa??Mkipewa pesa mnaenda kununua iPhone. Tena ww una usongo sana na hii iliyotoka iPhone 15
Tukuweke pale kwa lamomy dukani kwake kkoo upige winga ukiweza ndio upate mtaji
We Jamaa Eti Kama Tupac🤣🤣🤣Huyo To yeye ni mwanamke, nna ushahidi... tena mzuri tu 😊
Akipata mwanaume serious na akapata matunzo ni bonge la Baby Mama 🤩😍😍😍😋🤤
Siku kukiwa na meeting HOHEHAHE nitaishi maisha kama ya 2pac kutokana na mdomo wangu mchafu wa kutukana hovyo... inabidi nibadilike, maana siku ndugu watanzania niliowahi kuwajeruhi kwa matusi humu watanigawa vipande wakiniona 😅
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee unawazaa pichaa tyuuh.
Mbna mie Graduu sijafanya.
😂😂😂Huyo To yeye ni mwanamke, nna ushahidi... tena mzuri tu 😊
Akipata mwanaume serious na akapata matunzo ni bonge la Baby Mama 🤩😍😍😍😋🤤
Siku kukiwa na meeting HOHEHAHE nitaishi maisha kama ya 2pac kutokana na mdomo wangu mchafu wa kutukana hovyo... inabidi nibadilike, maana siku ndugu watanzania niliowahi kuwajeruhi kwa matusi humu watanigawa vipande wakiniona 😅
Hilo hilo la jumla mtaa wa congo na aggrey[emoji23]Duka lipi namiliki? Mwenyewe naswampa hapa jf [emoji23][emoji23][emoji23]
We Leejay49 Ume mkosea nini huyu Jamaa🤣🤣🤣Ningeshangaa sana lijei fote na akosekane kwenye hii playlist
Yaishe nisije tena kutaja na mtaa[emoji23]Ndio wapi? [emoji23][emoji23][emoji23]
Wii hebu nipe kibarua Cha kufanya usafi hapo dukani nimechoka kuwa jobless😀Duka lipi namiliki? Mwenyewe naswampa hapa jf [emoji23][emoji23][emoji23]
Mbavooo zangooo[emoji23]Nimemtoa nani jasho mpk wachukue notes kwangu? [emoji23][emoji23][emoji23]
Me kesho naenda nikaone bmw silijui, nimezoea kuona mwendokasi
Hilo hilo la jumla mtaa wa congo na aggrey[emoji23]
Hata ukiambiwa hivyo si unaangaalia na mtu mwenyewe, mm gari niitoe wapi[emoji23]Basi usiwe unamwambia mtu chagua zawadi gani nikupe