Bro wako anachunika vizuri tu Hilo limepita πππhili la Vipodozi ndio unipange niwe mwanafunziwako hata mfagiaji poa tu tupige HelaππNasema ukweli wii njaa tupu hapa!
We njoo tukamchune bro [emoji23][emoji23][emoji23]
Myajenge tuBora umesema ukweli hebu
Lamomy uje tuongee Sasa Wifiyangu mzuri [emoji3][emoji3]
Badala usomeshe muamalaa, we unaleta manjegekaa.Limeisha hilo
Kwakweli alafu mm mteja mzuri wa cosmetics hajui tu anapishana na afutatu yangu kilasiku hapaπππMyajenge tu
Hii offer imeanza na ninyi,kisha itakuja kwa wengine!Wa kike/wenye I'd za kike wapo wengi mno humu ndani mkuu, why us 10..??
Ama ndiyo I'd unazozi-'doubt' zaidi, sivyo..?
Ww najua hili unaliweza[emoji23]Uongee na me kwani Afisa mikopo? [emoji23][emoji23][emoji23]
Niko tayari mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naweza kuweka hapa hapa mie mwenyewe, vipi uko tayari?
Sema kweli.Niko tayari mkuu
Yes mambo yawe makubwa zaidi na zaidiNapokea baraka hizo [emoji120]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lini? Cluster ya mwsho ilikua Jana.
Unajua mie cluster yangu ilikua ni lini??
Niletee zawadi bhana.
Wewe usiende nimezuia mimi hiloWanawake wa jf mkuje.
Tafuta pesa ndugu zako wayafurahie maisha kijijini,siyo unazurura tu hata ukiombwa utume laki huna!Wagonjwa wa akili wameongezeka sana..
Mbweni block D[emoji23]
Usiseme kuna vitu natumia hapa[emoji23]
Ongea nae. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mambo ya wehu yanatoka wapi mkuu wakati mimi hiyo ni offer nimewapa!,Ina maana sikuhizi ukitaka kuwatoa watu Out ni wehu?Unahangaika.....unafananiaha jf na Facebook???? Waache shughuli zao wamfuate mwehu mmoja ambae hajielewa???
Limeisha hilo