Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Kuna mmoja hapo kama wewe hutatoka nduki basi utajikuta unaishiwa nguvu, halafu yeye atajibu haloooooo! Si ulijifanya unayawezaaa!
Mkuu kwakuwa Mademu wa Dar es Salaam na almost mademu wote karibia tabia hufanana,hivyo nimeandaa fungu la kutosha,najua hawawezi kumaliza mkuu!

Nimeandaa si chini ya Tsh 12 Milioni!
 
Swala lako umelileta kimkakati Haswa na Unavyoonekana umejipanga Haswaa,, Embu endelea kusubiri majibu kutoka Kwa hao wahusika kama na wao wako tayari Kwa huo mtoko wa JF family!!Unahitaji uvumilivu na subraa.
 
Dp world atakuunga mkono
 
Mkuu, mbona hao wote ulio wataja ni Me..πŸ€”
Hapo cocastic ndi ninauhakika ni Ke...😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…