Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
Mpaka usiku wa manane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naanzaje kuacha fursa kama hii... niambie tu nikubebee nini kwa kurudi 😉🤣changamkia fursa Leejay ndugu yangu
Na wengine wakijisikia[emoji23]Mbn kaweka na majina ya wahusika
Hahahahaha, safi sanaNa wengine wakijisikia[emoji23]
Nibebee tu BBQ pizza pale pizza hut 😋😍Naanzaje kuacha fursa kama hii... niambie tu nikubebee nini kwa kurudi 😉
Mimi na salamu ni vitu viwili tofauti,salamu zimefanya waafrika wengi wamekuwa masikini!
Hebu nyie mademu wa hapa Jf naomba mniondolee huu utata(Mkanganyiko) ambao unaendelea kunitia wasiwasi humu Jf.
Kumekuwa na utaratibu siku hizi humu Jf hata wanaume kutumia Id za kike,sijajua lengo la wao kufanya hivyo ni kitu gani!
Kwakuwa uongo na utapeli hapa Jf umekuwa wa kutosha,naomba kesho niwatoe wafuatao "OUT" ili kujiridhisha kweli kama ni KE na wala siyo ME.
MALENGO
Malengo ya Kutoka Out ni Kufahamiana,Kubadirishana Mawazo na Ku-Enjoy kwa pamoja kama wanafamilia wa JF.
Kwakua watumiaji wengi wanaotiliwa mashaka ni wanaotumia Id zenye majina ya KE,naomba wafuatao ikiwapendeza kesho tutoke wote kama Familia ili niamini kweli ni KE.
1. Jemima Mrembo
2. cocastic
3. MZURI SANA
4. Lamomy
5. Demi
6. To yeye
7. Leejay49
8. Carleen
9. recho Jr
10. Hornet
Kama nilivyosema,lengo ni kufahamiana,kubadirishana mawazo na Ku-have funny!
ENEO
Eneo ambalo kwangu nahisi litakuwa Karibu na nililolizoea ni pale Mlimani City Samaki- Samaki,Ila nyie mnaweza pia mkapendekeza eneo ambalo mtakuwa mnaona mko- Comfortable kuenjoy.
Nimependekeza hao wanawake kwa siku ya Kesho kwasababu gharama za kuwamudu ninazo,watakula watakacho na kunywa watakacho!.
Nia na Lengo ni kunuondoa huu utata wa kudhani nyie ni madume,naombeni mnidhitishie kwa vitendo hiyo Kesho.
Wengi wenu nafahamu mnao usafiri wenu binafsi lakini itakuwa vema kila mmoja akatumia Uber au Bolt ili tuweze kuwa Comfortable zaidi(Ili wasiokuwa na usafiri wasinisikie vibaya).
Fedha ya Usafiri nitalipia mimi,wala msijali!
Naomba kufahamu ratiba zenu nyote niliowatag ili nijue nafanyaje,nitakapojua ratiba zenu nitapanga muda sahihi wa sisi kukutana pale!.
Lengo si kutongozana wala mambo ya Ajabu,Lengo ni kufahamiana tu!.
Nawasilisha!
Usijali kipenzi,, everything for you 😊Nibebee tu BBQ pizza pale pizza hut 😋😍
Wengine mawaziri hao wengine TEC wapo hapo. Wengine wabunge wa kike na wa kiume.
Wewe JF fata mada, usifate fulani.
Akili kubwa huongelea maendeleo.
Akili za kawaida huongelea matukio.
Akili mbovu huongelea watu.
Karibu ugali,dagaa na majani ya maboga.Hahahahaha, safi sana
HahahahahahaNibebee tu BBQ pizza pale pizza hut 😋😍
Mkuu kwa hiyo hao niliwatag ni Wabunge na Mawaziri?Wengine mawaziri hao wengine TEC wapo hapo. Wengine wabunge wa kike na wa kiume.
Wewe JF fata mada, usifate fulani.
Akili kubwa huongelea maendeleo.
Akili za kawaida huongelea matukio.
Akili mbovu huongelea watu.
I love youUsijali kipenzi,, everything for you 😊
Kantalamba ni wapi mkuu?Umetumia vigezo gani kujua kwamba wote tunaishi dar?
Nipo huku kantalamba nikipata ticket ya ndege kesho mapema nitakuwa hapo mkuu. Nasubiri utekelezaji.
Nakuja Rafiki, hivi we lini utanikaribisha wali ,maharage, au pizza na burger ,Karibu ugali,dagaa na majani ya maboga.
Wali maharage upo,karibu.Nakuja Rafiki, hivi we lini utanikaribisha wali ,maharage, au pizza na burger ,