Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Sawa sawaMsimu wao huu,wapo wa kumwaga,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawaMsimu wao huu,wapo wa kumwaga,
Hahahahahaha,Rafiki umemaliza, ila wenzio wanaitaka ofa hiyo[emoji23]
Wacha[emoji16]Sawa sawa
Mkuu lengo la JF ni maarifa na kufahamiana pia kupeana Michongo,lengo langu lilikuwa ni jema tu,kufahamiana!.Hayo majiti ni invisible huwezi kuyapata, we unachofanya huna cha maana cha kuandika umeamua ufurahishe genge tu. Humu hatujuani nani ni nani ndio maana huwa kuna minyukano mikali ya kihoja mpaka mtu anashindwa kujibu hoja anakimbilia matusi kujihami asipate kibano zaidi kihoja. Hao akina cocastic, demi, to yeye, leejay na wengine wengi wenye muonekano wa kike wasikuzingue na kutaka kujua kama ni wanawake au la. Sisi huwa tunawatuanga kihoja bila kujali jinsia zao
SumbawangaKantalamba ni wapi mkuu?
Hawa vijana wa Dar wanaotumia majina ya kike ni hawa mashoga wa mujini, wanataka matango na karoti ya kujisweka ile sehemu.Mimi na salamu ni vitu viwili tofauti,salamu zimefanya waafrika wengi wamekuwa masikini!
Hebu nyie mademu wa hapa Jf naomba mniondolee huu utata(Mkanganyiko) ambao unaendelea kunitia wasiwasi humu Jf.
Kumekuwa na utaratibu siku hizi humu Jf hata wanaume kutumia Id za kike,sijajua lengo la wao kufanya hivyo ni kitu gani!
Kwakuwa uongo na utapeli hapa Jf umekuwa wa kutosha,naomba kesho niwatoe wafuatao "OUT" ili kujiridhisha kweli kama ni KE na wala siyo ME.
MALENGO
Malengo ya Kutoka Out ni Kufahamiana,Kubadirishana Mawazo na Ku-Enjoy kwa pamoja kama wanafamilia wa JF.
Kwakua watumiaji wengi wanaotiliwa mashaka ni wanaotumia Id zenye majina ya KE,naomba wafuatao ikiwapendeza kesho tutoke wote kama Familia ili niamini kweli ni KE.
1. Jemima Mrembo
2. cocastic
3. MZURI SANA
4. Lamomy
5. Demi
6. To yeye
7. Leejay49
8. Carleen
9. recho Jr
10. Hornet
Kama nilivyosema,lengo ni kufahamiana,kubadirishana mawazo na Ku-have funny!
ENEO
Eneo ambalo kwangu nahisi litakuwa Karibu na nililolizoea ni pale Mlimani City Samaki- Samaki,Ila nyie mnaweza pia mkapendekeza eneo ambalo mtakuwa mnaona mko- Comfortable kuenjoy.
Nimependekeza hao wanawake kwa siku ya Kesho kwasababu gharama za kuwamudu ninazo,watakula watakacho na kunywa watakacho!.
Nia na Lengo ni kunuondoa huu utata wa kudhani nyie ni madume,naombeni mnidhitishie kwa vitendo hiyo Kesho.
Wengi wenu nafahamu mnao usafiri wenu binafsi lakini itakuwa vema kila mmoja akatumia Uber au Bolt ili tuweze kuwa Comfortable zaidi(Ili wasiokuwa na usafiri wasinisikie vibaya).
Fedha ya Usafiri nitalipia mimi,wala msijali!
Naomba kufahamu ratiba zenu nyote niliowatag ili nijue nafanyaje,nitakapojua ratiba zenu nitapanga muda sahihi wa sisi kukutana pale!.
Lengo si kutongozana wala mambo ya Ajabu,Lengo ni kufahamiana tu!.
Nawasilisha!
Kitu flani hivi amaizing👌demi nataka nikuone siku moja
una kitu fulani hivi
Hahahahahaha[emoji3] wengn wasagaji hpo kwa uliowataja
Mkuu lengo la JF ni kufahamiana!Aaah hawa wanaleta ugaigai ..
Sasa rafiki nikishamwonyesha mimi ni mwanamke ananiongezea value gani kwenye maisha?
Mkuu, ni kwa mujibu wa tuhuma zilizowasilishwa na mtoa mada!Kwani hiyo list ina mwanaume? Mbn mnawafananisha warembo na MIDUME ?
Ok Kama upo Sumbawanga hii haikuhusu,hii ni kwaajili ya waliopo Dar es salaam!Sumbawanga
Nimeamini mkuu,hakuna demu hata mmoja hapaHawa vijana wa Dar wanaotumia majina ya kike ni hawa mashoga wa mujini, wanataka matango na karoti ya kujisweka ile sehemu.
Hahahahaha, mnakua mmpiga JD pamoja ,huku mna ongea businessAaah hawa wanaleta ugaigai ..
Sasa rafiki nikishamwonyesha mimi ni mwanamke ananiongezea value gani kwenye maisha?
Mkuu upo Digodigo au Sale?Hicho kitakuwa ni kikao cha akina baba, maana hao uliowatag wote wanatumia tu ID za kike.
Nani kakwambia humu kuna wanawake!? humu kuna wanaotumia ID za kike.
HahahahahahahaMkuu lengo la JF ni kufahamiana!
Kwani hapa JF inakuongezea Value gani?,sana sana unatumia bando kufuatilia mambo ya kijinga naya kipumbavu!.
lakini kuonana na watu ambao kila siku mnachati Jf itakuongezea kitu na hutobaki kama ulivyo!,Utapata Exposure na kukutana na watu wapya!.
Wewe sema huwezi kuja kwasababu
1.Dume
2.Umechoka
3.Umechakaa
4.Umedhohofika
5.Mbaya wa sura na Umbo
haya mambo ni hakika ndiyo yatafanya usitokee!.
Mwanamke mzuri na anayejiamini ataachaje mtoko wa kukutana na Marafiki wapya?
Sawa sawa kabisa.Ok Kama upo Sumbawanga hii haikuhusu,hii ni kwaajili ya waliopo Dar es salaam!
Hahahahaha,kitendo tu cha kufananisha mdada na kidume ni dharau tosha, au kufananisha mkaka na demuMkuu, ni kwa mujibu wa tuhuma zilizowasilishwa na mtoa mada!
Kuna mmoja umemsahau anajiita sexless. Kuna wakati ana comment kama dume, sometimes kama KeMkuu pesa za kulitoa Dume Out zinazoka wapi?,Lengo ni kukutana na hao wenye hizo Id ili kujiridhisha kama kweli ni KE!.
Mpaka sasa naona kimya,yawezekana Mashaka yangu yakazidi kuongezeka!