Cetshwayo Kampande
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,295
- 2,973
Mzee unaviita vidagaa kweli,Hawa dagaa wa nyasa wakubwa ,wengine size ya nyoka.karibu mbamba bayVile vidagaa vipo? Niwekee nakuja fasta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee unaviita vidagaa kweli,Hawa dagaa wa nyasa wakubwa ,wengine size ya nyoka.karibu mbamba bayVile vidagaa vipo? Niwekee nakuja fasta
Mkuu hii nimeamini ni midume!Kuna mmoja umemsahau anajiita sexless. Kuna wakati ana comment kama dume, sometimes kama Ke
Hahahaha,ahsante sana, nitakaribia siku mojaMzee unaviita vidagaa kweli,Hawa dagaa wa nyasa wakubwa ,wengine size ya nyoka.karibu mbamba bay
Sio kwamba umekosea kuwa approach ? Hebu nenda nao mdg mdg ,mmoja mmoja kwa ofa hiyo hiyo ,uoneMkuu hii nimeamini ni midume!
Mademu wa Dar wanavyopenda Mitoko na starehe za bure,hakuna ambaye asingetokea!
Na mimi niko tayari mkuu na nimetenga fungu kwa ajili yao ila huu uzi wanaupita kama wanaaga maiti!
Mkuu lengo la JF ni kufahamiana!
Kwani hapa JF inakuongezea Value gani?,sana sana unatumia bando kufuatilia mambo ya kijinga naya kipumbavu!.
lakini kuonana na watu ambao kila siku mnachati Jf itakuongezea kitu na hutobaki kama ulivyo!,Utapata Exposure na kukutana na watu wapya!.
Wewe sema huwezi kuja kwasababu
1.Dume
2.Umechoka
3.Umechakaa
4.Umedhohofika
5.Mbaya wa sura na Umbo
haya mambo ni hakika ndiyo yatafanya usitokee!.
Mwanamke mzuri na anayejiamini ataachaje mtoko wa kukutana na Marafiki wapya?
Hahahahaha, mnakua mmpiga JD pamoja ,huku mna ongea business
Ila kwann kahisi hao warembo ni madume ,kwamba wamekaa kidume dume ?
Mkuu uko timamu kweli?,Watu tunaongea mambo Serious halafu wewe unaleta mambo ya hovyo ya huko kijijini kwenu!
Au unataka kesho na wewe U-join?
Hao Ni vidume watupu unataka waje hapo mliman city waumbuke[emoji23][emoji23]
anasema kaandaa 12m, naona tukakeshe kabisa 😂[emoji23][emoji23][emoji23] jirani sikuachi tuko pamoja tukale bata na boss mwenye ndinga kali jf
🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23] we ututue una uhakika gani? Thibitisha!!!
Wivu tu au nawe unataka kuja?
Usiwaze ngoja niweke mambo sawa hapa nitakujuza kiongozi
Nikitoka kwenye jumuiya tu nakustua,, yani tuwe wa kwanza kufika eneo la tukio 😃Kesho mapema jirani tuwahi kulewa [emoji23][emoji23]
Mkuu kwakuwa Mademu wa Dar es Salaam na almost mademu wote karibia tabia hufanana,hivyo nimeandaa fungu la kutosha,najua hawawezi kumaliza mkuu!
Nimeandaa si chini ya Tsh 12 Milioni!
Swala lako umelileta kimkakati Haswa na Unavyoonekana umejipanga Haswaa,, Embu endelea kusubiri majibu kutoka Kwa hao wahusika kama na wao wako tayari Kwa huo mtoko wa JF family!!Unahitaji uvumilivu na subraa.
Yes mkuu ngoja nieendelee kusubiri Responding yao!
U
Umetenga ngapi ya vichupa!?[emoji898][emoji898][emoji898]
Mkuu Bajeti yangu kwa ajili ya Hiyo kesho ni Tsh 12 milioni,ili nisije umbuka nikabaki kuja kusimangwa hapa JF!
Mkuu wengi humu ni waongo na wanaogopa kuwa Exposed kwasababu kwenyd Avatar zao wanatumia picha za warembo mitandaoni,hivyo wanaona Aibu wakikutana kwa pamoja na wakifahamiana namna kila mmoja atakavyo mcheka mwenzie namna alivyo mbovu wa sura na umbo!.Angalia mwaka niliojiunga humu na kuwa expert member, nimekuta kuna member wengi humu, mpaka leo siwajui ni akina nani na mimi sitaki wanijue ni nani, unaambiwa member wengine ni watu wazito wenye nyidhifa kubwa nchi hii, je kama hao uliowa taq yumo rais wetu, unafikiri unaweza kukutana naye kirahisi? Nimekuambia wengine wakishindwa hoja wanakimbilia kutukana, wanaanzisha ligi ya matusi, ukute ulimshindilia matusi mheshimiwa fulani, how come? Anyway kuna member wanafahamiana humu ndio maana wakiaga dunia wanaowajua huleta taarifa kuwa member fulani hatunaye. Jitahidi mkuu huenda ukawajua hao member, hata mimi hutamani sana niwajue member wa humu, wengine ni watu maarufu katika fani mbalimbali wakiwemo viongozi, wanasiasa, waandishi, wanasheria, wanadini na wengine wengi.