AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,577
- 4,637
How many issues May you observe...
Because the patient feels pains below the belly button left... chini ya kitovu kushoto nilijaribu kuminya minya akawa anahisi maumivu zaidi...nikamshauri aende kufanya ultra sound...akamkuta daktari ana haraka za kipuuzi... akamwambia tu just ana mimba ya mwezi mmoja.
Sasa huyu bibie ana experience kukosa hedhi for takriban 6 months na akipata anakaa nayo up to 2 months consecutively...ana ana experience anaemia...na headache kwenye utosi sana.
Kuna haja ya kufanya ultra sound tena...kucheck vizuri kunani hasa?
Because the patient feels pains below the belly button left... chini ya kitovu kushoto nilijaribu kuminya minya akawa anahisi maumivu zaidi...nikamshauri aende kufanya ultra sound...akamkuta daktari ana haraka za kipuuzi... akamwambia tu just ana mimba ya mwezi mmoja.
Sasa huyu bibie ana experience kukosa hedhi for takriban 6 months na akipata anakaa nayo up to 2 months consecutively...ana ana experience anaemia...na headache kwenye utosi sana.
Kuna haja ya kufanya ultra sound tena...kucheck vizuri kunani hasa?