Pre GE2025 Heche: Huyu mama hawezi kushinda uchaguzi Lissu akiwa mgombea na sisi tukiongoza chama sababu ni mwanamke, Mzanzibar na hana hoja

Pre GE2025 Heche: Huyu mama hawezi kushinda uchaguzi Lissu akiwa mgombea na sisi tukiongoza chama sababu ni mwanamke, Mzanzibar na hana hoja

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu mkurya aliye na wajomba na baba wadogo Kenya, aliyesoma SAUT kwa kulipiwa na Barrick North Mara na mkopo wa bodi ya elimu anajiona msafi kuliko watanzania wengine.

"Cha kwanza ni kwamba huyu Mama hawezi kushinda uchaguzi Lissu akiwa mgombea, wala sisi tukikiwa tunaongoza Chama. Kwasababu kwanza ni Mzanzibar—hilo sio favour kwake. Pili ni Mwanamke—sio favour kwake. Tatu hana hoja, ameongoza watu wameona. Kwa hiyo wanachotaka ni watumie huu uchaguzi wa CHADEMA kumzaliza Uchaguzi Mkuu mapema. Kwamba CHADEMA ikifa sasa hivi, tarehe 21 Januari, wao hawana Uchaguzi."

"Walikuwa wamepanga watumie labda bilioni 400 kwenye Uchaguzi. Kama wanaweza wakachukua bilioni 5, wakampa Freeman Mbowe akaua Chama kisiwepo na Uchaguzi usiwepo, wao watakuwa wamepata nafuu ya bilioni karibia mia ngapi? Uchaguzi ni wakufa na kupona kwenye Chama chetu. Sasa hao watu wanakupigieni simu, hao watu wanaongea na nyie, wanakuja kwenye vikao, kwanini hamuwarekodi tupate huo ushahidi?"

"Kwa mfano, pale Mwenyekiti alipokuwa anazungumza kwamba mtachukuliwa malazi... (hiyo ni kitu kizuri sana). Mara ngapi watu wetu wamesafiri kwa shida kwenye mikutano mikuu yote?"

"Milikuwa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, watu wanahangaika hawana hata hela ya kujazia fomu, hela za kuchonga mihuri, watu wanajichangisha wenyewe, hizo hela zote wanazosema wanazo zilikuwa wapi.? Hao watu wasifufanye sisi hatuna akili tafuta huo Ushahidi, rekodini hao watu mazungumzo yao, tunahitaji Ushahidi kisha tutaufanyia kazi"

kwa hiyo mtamshinda kwa sababu ni mzanzibari na kuwa mwanamke? mbona ,mnafundisha ubaguzi ?nani awapi nchi mkiwa wabaguzi wa namna hii.si mtaanza kuwabagua wananchi kwa majimbo yao na baadaye kwa ukabila?
 
Heche yupo sahihi, Watanganyika tuache ujinga wa kukubali kuongozwa na Mwanamke wa Kizanzibari halafu tuone ni sawa tu kwa kisingizio cha Muungano, kama serikali tuliyonayo ni ya Muungano mbona Rais hana mamlaka ya kuteua viongozi upande wa Zanzibar?
 
Huyu mkurya aliye na wajomba na baba wadogo Kenya, aliyesoma SAUT kwa kulipiwa na Barrick North Mara na mkopo wa bodi ya elimu anajiona msafi kuliko watanzania wengine.

"Cha kwanza ni kwamba huyu Mama hawezi kushinda uchaguzi Lissu akiwa mgombea, wala sisi tukikiwa tunaongoza Chama. Kwasababu kwanza ni Mzanzibar—hilo sio favour kwake. Pili ni Mwanamke—sio favour kwake. Tatu hana hoja, ameongoza watu wameona. Kwa hiyo wanachotaka ni watumie huu uchaguzi wa CHADEMA kumzaliza Uchaguzi Mkuu mapema. Kwamba CHADEMA ikifa sasa hivi, tarehe 21 Januari, wao hawana Uchaguzi."

"Walikuwa wamepanga watumie labda bilioni 400 kwenye Uchaguzi. Kama wanaweza wakachukua bilioni 5, wakampa Freeman Mbowe akaua Chama kisiwepo na Uchaguzi usiwepo, wao watakuwa wamepata nafuu ya bilioni karibia mia ngapi? Uchaguzi ni wakufa na kupona kwenye Chama chetu. Sasa hao watu wanakupigieni simu, hao watu wanaongea na nyie, wanakuja kwenye vikao, kwanini hamuwarekodi tupate huo ushahidi?"

"Kwa mfano, pale Mwenyekiti alipokuwa anazungumza kwamba mtachukuliwa malazi... (hiyo ni kitu kizuri sana). Mara ngapi watu wetu wamesafiri kwa shida kwenye mikutano mikuu yote?"

"Milikuwa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, watu wanahangaika hawana hata hela ya kujazia fomu, hela za kuchonga mihuri, watu wanajichangisha wenyewe, hizo hela zote wanazosema wanazo zilikuwa wapi.? Hao watu wasifufanye sisi hatuna akili tafuta huo Ushahidi, rekodini hao watu mazungumzo yao, tunahitaji Ushahidi kisha tutaufanyia kazi"

HECHE NA BANGI ZA KUVUTIA CHOONI ZINAMPA MATATIZO SANA
 
Sauti yenyewe ya kuchonga na sio Heche.
Lakini pia ni ukweli. Mgombea Mzanzibar na mwanamke kwa watu wa bara ni shida.

Huoni hata wabunge wa kuchaguliwa wanawake ni Wachache? Wanaume wengi TZ hawapendi kuongozwa na mwanamke
 
Huyu mkurya aliye na wajomba na baba wadogo Kenya, aliyesoma SAUT kwa kulipiwa na Barrick North Mara na mkopo wa bodi ya elimu anajiona msafi kuliko watanzania wengine.

"Cha kwanza ni kwamba huyu Mama hawezi kushinda uchaguzi Lissu akiwa mgombea, wala sisi tukikiwa tunaongoza Chama. Kwasababu kwanza ni Mzanzibar—hilo sio favour kwake. Pili ni Mwanamke—sio favour kwake. Tatu hana hoja, ameongoza watu wameona. Kwa hiyo wanachotaka ni watumie huu uchaguzi wa CHADEMA kumzaliza Uchaguzi Mkuu mapema. Kwamba CHADEMA ikifa sasa hivi, tarehe 21 Januari, wao hawana Uchaguzi."

"Walikuwa wamepanga watumie labda bilioni 400 kwenye Uchaguzi. Kama wanaweza wakachukua bilioni 5, wakampa Freeman Mbowe akaua Chama kisiwepo na Uchaguzi usiwepo, wao watakuwa wamepata nafuu ya bilioni karibia mia ngapi? Uchaguzi ni wakufa na kupona kwenye Chama chetu. Sasa hao watu wanakupigieni simu, hao watu wanaongea na nyie, wanakuja kwenye vikao, kwanini hamuwarekodi tupate huo ushahidi?"

"Kwa mfano, pale Mwenyekiti alipokuwa anazungumza kwamba mtachukuliwa malazi... (hiyo ni kitu kizuri sana). Mara ngapi watu wetu wamesafiri kwa shida kwenye mikutano mikuu yote?"

"Milikuwa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, watu wanahangaika hawana hata hela ya kujazia fomu, hela za kuchonga mihuri, watu wanajichangisha wenyewe, hizo hela zote wanazosema wanazo zilikuwa wapi.? Hao watu wasifufanye sisi hatuna akili tafuta huo Ushahidi, rekodini hao watu mazungumzo yao, tunahitaji Ushahidi kisha tutaufanyia kazi"

Hakuna takataka wa kumshinda Samia iwe mvua au jua.

Nadhani Chadomo wafanye hima wamuweke kibaraka Lisu na huyu aliyeshikiwa akili nae tuone watakavyoshinda huo Urais.
 
kwa hiyo mtamshinda kwa sababu ni mzanzibari na kuwa mwanamke? mbona ,mnafundisha ubaguzi ?nani awapi nchi mkiwa wabaguzi wa namna hii.si mtaanza kuwabagua wananchi kwa majimbo yao na baadaye kwa ukabila?
Akili za mtaani zinakuwa sehemu ya fikra za mtu anayetaka kuwa kiongozi mkuu wa CHADEMA.
 
Huyu mkurya aliye na wajomba na baba wadogo Kenya, aliyesoma SAUT kwa kulipiwa na Barrick North Mara na mkopo wa bodi ya elimu anajiona msafi kuliko watanzania wengine.

"Cha kwanza ni kwamba huyu Mama hawezi kushinda uchaguzi Lissu akiwa mgombea, wala sisi tukikiwa tunaongoza Chama. Kwasababu kwanza ni Mzanzibar—hilo sio favour kwake. Pili ni Mwanamke—sio favour kwake. Tatu hana hoja, ameongoza watu wameona. Kwa hiyo wanachotaka ni watumie huu uchaguzi wa CHADEMA kumzaliza Uchaguzi Mkuu mapema. Kwamba CHADEMA ikifa sasa hivi, tarehe 21 Januari, wao hawana Uchaguzi."

"Walikuwa wamepanga watumie labda bilioni 400 kwenye Uchaguzi. Kama wanaweza wakachukua bilioni 5, wakampa Freeman Mbowe akaua Chama kisiwepo na Uchaguzi usiwepo, wao watakuwa wamepata nafuu ya bilioni karibia mia ngapi? Uchaguzi ni wakufa na kupona kwenye Chama chetu. Sasa hao watu wanakupigieni simu, hao watu wanaongea na nyie, wanakuja kwenye vikao, kwanini hamuwarekodi tupate huo ushahidi?"

"Kwa mfano, pale Mwenyekiti alipokuwa anazungumza kwamba mtachukuliwa malazi... (hiyo ni kitu kizuri sana). Mara ngapi watu wetu wamesafiri kwa shida kwenye mikutano mikuu yote?"

"Milikuwa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, watu wanahangaika hawana hata hela ya kujazia fomu, hela za kuchonga mihuri, watu wanajichangisha wenyewe, hizo hela zote wanazosema wanazo zilikuwa wapi.? Hao watu wasifufanye sisi hatuna akili tafuta huo Ushahidi, rekodini hao watu mazungumzo yao, tunahitaji Ushahidi kisha tutaufanyia kazi"

Yupo. Sahihi
 
Kwani hapo shida ni ipi? Rais ni Mzanzibari na mwenyewe alishasema ni Mzanzibari, kwani kuwa Mzanzibari ni kosa kutajwa?
Ndiyo ni mwanamke hiyo haimnyimi nafasi kuwa Rais.
Wewe tu na hofu yako,au ukweli ni kosa?
Shida ya kutokujiamini mkuu ndiyo maana huyo mleta mada anaweweseka.
 
mimi nilikuja kuamini zanzibar wanabebana na kuteteana dhidi ya tanganyika siku mama yao huyo alipomtetea fei toto ambaye alileta dharau na ukosefu wa nidhamu kabisa. alishindwa kujizuia, sasa msiowajua wazanzibar wapo kama huyo mama kipindi kile anadeal na issue ya injinia na feitoto. yupo hapo kwa maslahi ya zanzibar na wazanzibar kwanza, watanganyika mtakuja baadaye.
 
Ukweli usemwe hapa Heche kapuyanga yeye angejenga hoja ila sio uzanzibar na uwanamke kapuyanga saanaaaa
Kasema kweli tupu, KIZIMKAZI hawezi kupta kura za kutosha, za wakristu, hasa wakatoliki, bila kujali ni wana CCM, wabara wengine hasa wanaume.

Yaani Mwanaume wa KISUKUMA amke kwenda kupanga foleni kumchagua MWANAMKE awe kiongozi wake??

Kanda ya kati SINGIDA yote hapati kura bkwa kigezo Cha jinsia na uenyeji wa LISSU.

Zanzibar Kwao dini inakataza Mwanamke kuwa kiongozi.(Khalifa)

ili CCM isipate anguko kubwa sana, inatakiwa wasimamishe mgombea Mwanaume mwenye kibali, hapo watapata angalau viti vya ubunge Kam 50 hivi.

Vinginevyo CCM inaenda kumfia MAMA ABDUL 🤔🤔🤣🤣😃😃🚴🚴🚴🚴
 
Back
Top Bottom