Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Ndio kusema ccm mmeamua kumuunga mkono gaidi au sioMbowe alipelekwa mahakamani na akapatikana na kesi ya kujibu- hakujitetea na wala hakujibu na hajashinda kesi HIVYO Mbowe ni gaidi
kwa hiyo mtamshinda kwa sababu ni mzanzibari na kuwa mwanamke? mbona ,mnafundisha ubaguzi ?nani awapi nchi mkiwa wabaguzi wa namna hii.si mtaanza kuwabagua wananchi kwa majimbo yao na baadaye kwa ukabila?Huyu mkurya aliye na wajomba na baba wadogo Kenya, aliyesoma SAUT kwa kulipiwa na Barrick North Mara na mkopo wa bodi ya elimu anajiona msafi kuliko watanzania wengine.
"Cha kwanza ni kwamba huyu Mama hawezi kushinda uchaguzi Lissu akiwa mgombea, wala sisi tukikiwa tunaongoza Chama. Kwasababu kwanza ni Mzanzibar—hilo sio favour kwake. Pili ni Mwanamke—sio favour kwake. Tatu hana hoja, ameongoza watu wameona. Kwa hiyo wanachotaka ni watumie huu uchaguzi wa CHADEMA kumzaliza Uchaguzi Mkuu mapema. Kwamba CHADEMA ikifa sasa hivi, tarehe 21 Januari, wao hawana Uchaguzi."
"Walikuwa wamepanga watumie labda bilioni 400 kwenye Uchaguzi. Kama wanaweza wakachukua bilioni 5, wakampa Freeman Mbowe akaua Chama kisiwepo na Uchaguzi usiwepo, wao watakuwa wamepata nafuu ya bilioni karibia mia ngapi? Uchaguzi ni wakufa na kupona kwenye Chama chetu. Sasa hao watu wanakupigieni simu, hao watu wanaongea na nyie, wanakuja kwenye vikao, kwanini hamuwarekodi tupate huo ushahidi?"
"Kwa mfano, pale Mwenyekiti alipokuwa anazungumza kwamba mtachukuliwa malazi... (hiyo ni kitu kizuri sana). Mara ngapi watu wetu wamesafiri kwa shida kwenye mikutano mikuu yote?"
"Milikuwa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, watu wanahangaika hawana hata hela ya kujazia fomu, hela za kuchonga mihuri, watu wanajichangisha wenyewe, hizo hela zote wanazosema wanazo zilikuwa wapi.? Hao watu wasifufanye sisi hatuna akili tafuta huo Ushahidi, rekodini hao watu mazungumzo yao, tunahitaji Ushahidi kisha tutaufanyia kazi"
HECHE NA BANGI ZA KUVUTIA CHOONI ZINAMPA MATATIZO SANAHuyu mkurya aliye na wajomba na baba wadogo Kenya, aliyesoma SAUT kwa kulipiwa na Barrick North Mara na mkopo wa bodi ya elimu anajiona msafi kuliko watanzania wengine.
"Cha kwanza ni kwamba huyu Mama hawezi kushinda uchaguzi Lissu akiwa mgombea, wala sisi tukikiwa tunaongoza Chama. Kwasababu kwanza ni Mzanzibar—hilo sio favour kwake. Pili ni Mwanamke—sio favour kwake. Tatu hana hoja, ameongoza watu wameona. Kwa hiyo wanachotaka ni watumie huu uchaguzi wa CHADEMA kumzaliza Uchaguzi Mkuu mapema. Kwamba CHADEMA ikifa sasa hivi, tarehe 21 Januari, wao hawana Uchaguzi."
"Walikuwa wamepanga watumie labda bilioni 400 kwenye Uchaguzi. Kama wanaweza wakachukua bilioni 5, wakampa Freeman Mbowe akaua Chama kisiwepo na Uchaguzi usiwepo, wao watakuwa wamepata nafuu ya bilioni karibia mia ngapi? Uchaguzi ni wakufa na kupona kwenye Chama chetu. Sasa hao watu wanakupigieni simu, hao watu wanaongea na nyie, wanakuja kwenye vikao, kwanini hamuwarekodi tupate huo ushahidi?"
"Kwa mfano, pale Mwenyekiti alipokuwa anazungumza kwamba mtachukuliwa malazi... (hiyo ni kitu kizuri sana). Mara ngapi watu wetu wamesafiri kwa shida kwenye mikutano mikuu yote?"
"Milikuwa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, watu wanahangaika hawana hata hela ya kujazia fomu, hela za kuchonga mihuri, watu wanajichangisha wenyewe, hizo hela zote wanazosema wanazo zilikuwa wapi.? Hao watu wasifufanye sisi hatuna akili tafuta huo Ushahidi, rekodini hao watu mazungumzo yao, tunahitaji Ushahidi kisha tutaufanyia kazi"
KITAGASEMBE iko Kenya pumbavu?Mother hajawahi kumsema Heche ni Mkenya
Hakuna takataka wa kumshinda Samia iwe mvua au jua.Huyu mkurya aliye na wajomba na baba wadogo Kenya, aliyesoma SAUT kwa kulipiwa na Barrick North Mara na mkopo wa bodi ya elimu anajiona msafi kuliko watanzania wengine.
"Cha kwanza ni kwamba huyu Mama hawezi kushinda uchaguzi Lissu akiwa mgombea, wala sisi tukikiwa tunaongoza Chama. Kwasababu kwanza ni Mzanzibar—hilo sio favour kwake. Pili ni Mwanamke—sio favour kwake. Tatu hana hoja, ameongoza watu wameona. Kwa hiyo wanachotaka ni watumie huu uchaguzi wa CHADEMA kumzaliza Uchaguzi Mkuu mapema. Kwamba CHADEMA ikifa sasa hivi, tarehe 21 Januari, wao hawana Uchaguzi."
"Walikuwa wamepanga watumie labda bilioni 400 kwenye Uchaguzi. Kama wanaweza wakachukua bilioni 5, wakampa Freeman Mbowe akaua Chama kisiwepo na Uchaguzi usiwepo, wao watakuwa wamepata nafuu ya bilioni karibia mia ngapi? Uchaguzi ni wakufa na kupona kwenye Chama chetu. Sasa hao watu wanakupigieni simu, hao watu wanaongea na nyie, wanakuja kwenye vikao, kwanini hamuwarekodi tupate huo ushahidi?"
"Kwa mfano, pale Mwenyekiti alipokuwa anazungumza kwamba mtachukuliwa malazi... (hiyo ni kitu kizuri sana). Mara ngapi watu wetu wamesafiri kwa shida kwenye mikutano mikuu yote?"
"Milikuwa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, watu wanahangaika hawana hata hela ya kujazia fomu, hela za kuchonga mihuri, watu wanajichangisha wenyewe, hizo hela zote wanazosema wanazo zilikuwa wapi.? Hao watu wasifufanye sisi hatuna akili tafuta huo Ushahidi, rekodini hao watu mazungumzo yao, tunahitaji Ushahidi kisha tutaufanyia kazi"
Kuna kitu unatakiwa kujua. Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar, siamini kuwa kuna mtanganyika mwenye akili timamu anaweza kumchagua mzanzibari kuwa rais wa Tanganyika wakati mtanganyika hawezi kuwa rais Zanzibar.kwa hiyo mtamshinda kwa sababu ni mzanzibari na kuwa mwanamke?
Akili za mtaani zinakuwa sehemu ya fikra za mtu anayetaka kuwa kiongozi mkuu wa CHADEMA.kwa hiyo mtamshinda kwa sababu ni mzanzibari na kuwa mwanamke? mbona ,mnafundisha ubaguzi ?nani awapi nchi mkiwa wabaguzi wa namna hii.si mtaanza kuwabagua wananchi kwa majimbo yao na baadaye kwa ukabila?
Kanyamaza kwa sababu mfumo wa maisha hauna athari kwakeHujagundua tofauti yao- Mkenya Heche anaropoka wakati Mrudi Makamu wa rais kanyamaza
Yupo. SahihiHuyu mkurya aliye na wajomba na baba wadogo Kenya, aliyesoma SAUT kwa kulipiwa na Barrick North Mara na mkopo wa bodi ya elimu anajiona msafi kuliko watanzania wengine.
"Cha kwanza ni kwamba huyu Mama hawezi kushinda uchaguzi Lissu akiwa mgombea, wala sisi tukikiwa tunaongoza Chama. Kwasababu kwanza ni Mzanzibar—hilo sio favour kwake. Pili ni Mwanamke—sio favour kwake. Tatu hana hoja, ameongoza watu wameona. Kwa hiyo wanachotaka ni watumie huu uchaguzi wa CHADEMA kumzaliza Uchaguzi Mkuu mapema. Kwamba CHADEMA ikifa sasa hivi, tarehe 21 Januari, wao hawana Uchaguzi."
"Walikuwa wamepanga watumie labda bilioni 400 kwenye Uchaguzi. Kama wanaweza wakachukua bilioni 5, wakampa Freeman Mbowe akaua Chama kisiwepo na Uchaguzi usiwepo, wao watakuwa wamepata nafuu ya bilioni karibia mia ngapi? Uchaguzi ni wakufa na kupona kwenye Chama chetu. Sasa hao watu wanakupigieni simu, hao watu wanaongea na nyie, wanakuja kwenye vikao, kwanini hamuwarekodi tupate huo ushahidi?"
"Kwa mfano, pale Mwenyekiti alipokuwa anazungumza kwamba mtachukuliwa malazi... (hiyo ni kitu kizuri sana). Mara ngapi watu wetu wamesafiri kwa shida kwenye mikutano mikuu yote?"
"Milikuwa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, watu wanahangaika hawana hata hela ya kujazia fomu, hela za kuchonga mihuri, watu wanajichangisha wenyewe, hizo hela zote wanazosema wanazo zilikuwa wapi.? Hao watu wasifufanye sisi hatuna akili tafuta huo Ushahidi, rekodini hao watu mazungumzo yao, tunahitaji Ushahidi kisha tutaufanyia kazi"
Shida ya kutokujiamini mkuu ndiyo maana huyo mleta mada anaweweseka.Kwani hapo shida ni ipi? Rais ni Mzanzibari na mwenyewe alishasema ni Mzanzibari, kwani kuwa Mzanzibari ni kosa kutajwa?
Ndiyo ni mwanamke hiyo haimnyimi nafasi kuwa Rais.
Wewe tu na hofu yako,au ukweli ni kosa?
Zanzibar wana Rais wao,Bendera yao,Wimbo wa Taifa lao na Katiba yao.Kwa hiyo mzanzibari sio mtanzania mbona sasa unachanganya mambo?
Kwani Zanzibar si ni nchi?Zanzibar wana Rais wao,Bendera yao,Wimbo wa Taifa lao na Katiba yao.
Kasema kweli tupu, KIZIMKAZI hawezi kupta kura za kutosha, za wakristu, hasa wakatoliki, bila kujali ni wana CCM, wabara wengine hasa wanaume.Ukweli usemwe hapa Heche kapuyanga yeye angejenga hoja ila sio uzanzibar na uwanamke kapuyanga saanaaaa