Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Mkuu wewe ni Watarime kweli ? Shemeji yangu Albert Gekura na ni kiongozi Chadema Tarime na nipo naye hapa na ananiambia safari hii nguvu lazima iongozwe haraka, mambo sio mepesi hivyo. The gound is Shifting. Na namba yake naweza kukutumia kwenye Inbox yako ukiiomba upate latest updates.Wewe kweli ni mwana Tarime, wagombea wote wawili ni wadogo zangu na mmoja ninatoka naye kijiji kimoja. Ni ngumu sana sana kwa Waitara kutoboa ingawa kwa sasa ni mwana CCM mwenzangu, ni ngumu sana kama itakavyokuwa ngumu kwa Dr Tulia pale Mbeya. Ili watangazwe ni lazima nguvu ya ziada itumike na si sanduku la kura. Mkuu ni ngumu sana ila inawezekana kwa siasa zetu za figisu.
Tarime ipi mkuu? Tarime unaweza badilikiwa hata siku mbili kabla ya uchaguzi, kuna mambo ya koo e.g Wakira,Watimbaru,Wairegi,Wanyabhasi....na kuna machungu ya mapigano na manyanyaso ya enzi za kale, yakiimbwa katika ngoma za jadi hata kama watu hawakuwa wamezaliwa zama hizo, wakasikia tafsiri za hivi "waliwagecha mikono babu zetu,wakaimba ng'ombe wetu...wakauwa watoto". Kesho watu wanaamka na kusema " huyu mgombea ana hoja nzuri na amesoma,ila ni Mtimbaru Mubhibii(Mtimbaru mbayaa) tusimpigie, ndio tusimpigie hahaha.Pagumu palenilikua Tarime hapo juzi..naona Watu wanataka kumpa waitara jimbo
Uchaguzi wa ubunge Tarime vijijini mwezi wa October utakuwa ni wa kukata na shoka, wagombea wote ni wababe watemi, ila Waitara ni zaidi ya Heche, na Heche analijua hilo.
Baada ya Waitara kuongoza kura za maoni Heche ameishiwa pozi.
Uchaguzi huu ndio utakua mkali kuliko chaguzi zote nchini, vyombo vya dola vijipange vilivyo kwani tabia za wana Tarime ni za ajabuajabu sana, kugechana kutashamiri sana.
Heche kwaheri Tarime Vijijini!
Huyu huyu waitara aliyekimbia wakurya wa ukonga wauza mayai au mwingine?,,ndio wa kumshinda HECHE?AISEE Kuwa serious...muraa
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Tarime ipi mkuu?nilikua Tarime hapo juzi..naona Watu wanataka kumpa waitara jimbo
Inawezekana Tarime mjini kwa Esther Matiko pakawa pagumu, lakini Heche ana nafasi kubwa ya kutoboa kama hakutakuwa na Figisu.Mkuu wewe ni Watarime kweli ? Shemeji yangu Albert Gekura na ni kiongozi Chadema Tarime na nipo naye hapa na ananiambia safari hii nguvu lazima iongozwe haraka, mambo sio mepesi hivyo. The gound is Shifting. Na namba yake naweza kukutumia kwenye Inbox yako ukiiomba upate latest updates.
Waitara atashinda tu kwa kusaidiwa na vyombo vya dola,wakurugenzi ambao ni makada wa ccm bila hivyo waitara atatoka hoi bin taabani.Uchaguzi wa ubunge Tarime vijijini mwezi wa October utakuwa ni wa kukata na shoka, wagombea wote ni wababe watemi, ila Waitara ni zaidi ya Heche, na Heche analijua hilo.
Baada ya Waitara kuongoza kura za maoni Heche ameishiwa pozi.
Uchaguzi huu ndio utakua mkali kuliko chaguzi zote nchini, vyombo vya dola vijipange vilivyo kwani tabia za wana Tarime ni za ajabuajabu sana, kugechana kutashamiri sana.
Heche kwaheri Tarime Vijijini!
Nimefurahi sana na mchango wako, niambie na huyu nae sura yake imeharibika na pombe au laa?Dah Mungu awasaidie uishe kwa amani. Mkoa nilozaliwa wenye tashtiti nyingi tulizoea kupigana toka wadogo shuleni tunatafuta mbabe .Mwizi akikamatwa kipindi hicho lazima auliwe na mawe, aisee Tarime ni kanda nyingine. Nashukuru nilihama huko kabla sijaharibika. All in all nampenda Heche. Waitara sura imeharibika kwa pombe nilimuona ofisini kwake pale Tamisemi Nikashangaa.
Acha fikra potovu, wananchi wanamkubali Waitara na Ccm kwa ujumla. Matapeli kama nyie Chadema hamna chenu.Uchaguzi ukiwa huru na wa haki ni vigumu waitara kupata kura, kilichopo sasa ni uporaji wa jimbo kwa njia haramu zitazofanywa na mwita waitara