Uchaguzi 2020 Heche jiandae kukabidhi jimbo la Tarime Vijijini kwa Mwita Waitara, hutaki unataka

Uchaguzi 2020 Heche jiandae kukabidhi jimbo la Tarime Vijijini kwa Mwita Waitara, hutaki unataka

Wewe kweli ni mwana Tarime, wagombea wote wawili ni wadogo zangu na mmoja ninatoka naye kijiji kimoja. Ni ngumu sana sana kwa Waitara kutoboa ingawa kwa sasa ni mwana CCM mwenzangu, ni ngumu sana kama itakavyokuwa ngumu kwa Dr Tulia pale Mbeya. Ili watangazwe ni lazima nguvu ya ziada itumike na si sanduku la kura. Mkuu ni ngumu sana ila inawezekana kwa siasa zetu za figisu.
Mkuu wewe ni Watarime kweli ? Shemeji yangu Albert Gekura na ni kiongozi Chadema Tarime na nipo naye hapa na ananiambia safari hii nguvu lazima iongozwe haraka, mambo sio mepesi hivyo. The gound is Shifting. Na namba yake naweza kukutumia kwenye Inbox yako ukiiomba upate latest updates.
 
Uchaguzi wa TARIME utaingiliwa na polisi kupitia mpango unaoratibiwa na MWENYEKITI WA CCM, MARA ndg samwel keboe maarufu Kama (nambà tatu)
Mpango huo utamhusisha RPC MKOA WA MARA.
Rai yetu kwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania....tunakuomba uturuhusu Tarime tufanye maamuzi yetu bila nguvu kutumika.

Wakuria tunakupenda Rais wetu....
Wakuria tunapenda amani...
Wakuria tuna Uhuru wa kuchagua atakayetuwakilisha vyema na kwa mujibu wa miaka mitano iliyoisha ni Dhahiri HECHE amefanya kazi nzuri.

NB:Yawezekana kweli Heche ana kiburi na kauli ngumu ninakubali maana ni madhaifu ya kibinadamu LAKINI Heche ni Bora kuliko WAITARA.

MHESHIMIWA RAIS NAOMBA AMANI ITAWALE TARIME KIPINDI CHA UCHAGUZI.

MUNGU AWABARIKI.
MUNGU IBARIKI TARIME
MUNGU M'BARIKI HECHE
 
nilikua Tarime hapo juzi..naona Watu wanataka kumpa waitara jimbo
Tarime ipi mkuu? Tarime unaweza badilikiwa hata siku mbili kabla ya uchaguzi, kuna mambo ya koo e.g Wakira,Watimbaru,Wairegi,Wanyabhasi....na kuna machungu ya mapigano na manyanyaso ya enzi za kale, yakiimbwa katika ngoma za jadi hata kama watu hawakuwa wamezaliwa zama hizo, wakasikia tafsiri za hivi "waliwagecha mikono babu zetu,wakaimba ng'ombe wetu...wakauwa watoto". Kesho watu wanaamka na kusema " huyu mgombea ana hoja nzuri na amesoma,ila ni Mtimbaru Mubhibii(Mtimbaru mbayaa) tusimpigie, ndio tusimpigie hahaha.Pagumu pale
 
Uchaguzi wa ubunge Tarime vijijini mwezi wa October utakuwa ni wa kukata na shoka, wagombea wote ni wababe watemi, ila Waitara ni zaidi ya Heche, na Heche analijua hilo.

Baada ya Waitara kuongoza kura za maoni Heche ameishiwa pozi.

Uchaguzi huu ndio utakua mkali kuliko chaguzi zote nchini, vyombo vya dola vijipange vilivyo kwani tabia za wana Tarime ni za ajabuajabu sana, kugechana kutashamiri sana.

Heche kwaheri Tarime Vijijini!

Kumbe wote ni wababe!!!.Mura andaa panga.
 
nilikua Tarime hapo juzi..naona Watu wanataka kumpa waitara jimbo
Tarime ipi mkuu?
Mkuu wewe ni Watarime kweli ? Shemeji yangu Albert Gekura na ni kiongozi Chadema Tarime na nipo naye hapa na ananiambia safari hii nguvu lazima iongozwe haraka, mambo sio mepesi hivyo. The gound is Shifting. Na namba yake naweza kukutumia kwenye Inbox yako ukiiomba upate latest updates.
Inawezekana Tarime mjini kwa Esther Matiko pakawa pagumu, lakini Heche ana nafasi kubwa ya kutoboa kama hakutakuwa na Figisu.
 
Hiki chama ni mdebwedo kweli awamu hii ya tano. Kinatoa maonyo lakini ukikimwagia NOTI wanalainika.

 
Uchaguzi wa ubunge Tarime vijijini mwezi wa October utakuwa ni wa kukata na shoka, wagombea wote ni wababe watemi, ila Waitara ni zaidi ya Heche, na Heche analijua hilo.

Baada ya Waitara kuongoza kura za maoni Heche ameishiwa pozi.

Uchaguzi huu ndio utakua mkali kuliko chaguzi zote nchini, vyombo vya dola vijipange vilivyo kwani tabia za wana Tarime ni za ajabuajabu sana, kugechana kutashamiri sana.

Heche kwaheri Tarime Vijijini!
Waitara atashinda tu kwa kusaidiwa na vyombo vya dola,wakurugenzi ambao ni makada wa ccm bila hivyo waitara atatoka hoi bin taabani.
 
Mwanaume gani anajiuza.. huyu waitara ametudhalilisha sana. Wacha akachaguliwe ukonga huko. Hapa TARIME tunaenda na Heche
 
Dah Mungu awasaidie uishe kwa amani. Mkoa nilozaliwa wenye tashtiti nyingi tulizoea kupigana toka wadogo shuleni tunatafuta mbabe .Mwizi akikamatwa kipindi hicho lazima auliwe na mawe, aisee Tarime ni kanda nyingine. Nashukuru nilihama huko kabla sijaharibika. All in all nampenda Heche. Waitara sura imeharibika kwa pombe nilimuona ofisini kwake pale Tamisemi Nikashangaa.
 
Heche has better IQ by far kuliko Mwita, huyu Mwita, ile natural tribal arrogance yake haijaweza tolewa na elimu aliyopata UD, so ukiona mtu elimu au mazingira imeshindwa kutoa ujinga wake wa asili, nothing else can.
 
Dah Mungu awasaidie uishe kwa amani. Mkoa nilozaliwa wenye tashtiti nyingi tulizoea kupigana toka wadogo shuleni tunatafuta mbabe .Mwizi akikamatwa kipindi hicho lazima auliwe na mawe, aisee Tarime ni kanda nyingine. Nashukuru nilihama huko kabla sijaharibika. All in all nampenda Heche. Waitara sura imeharibika kwa pombe nilimuona ofisini kwake pale Tamisemi Nikashangaa.
Nimefurahi sana na mchango wako, niambie na huyu nae sura yake imeharibika na pombe au laa?
mbowe mlevi sana.jpeg
 
Uchaguzi ukiwa huru na wa haki ni vigumu waitara kupata kura, kilichopo sasa ni uporaji wa jimbo kwa njia haramu zitazofanywa na mwita waitara
Acha fikra potovu, wananchi wanamkubali Waitara na Ccm kwa ujumla. Matapeli kama nyie Chadema hamna chenu.
 
Back
Top Bottom