Heche: Nyamongo haina mbunge, miezi 3 wauawa wananchi 11

Heche: Nyamongo haina mbunge, miezi 3 wauawa wananchi 11

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
John Heche akihudhuria mazishi ya Sylverster Benson Nyangige aliyepigwa risasi ya kisogoni mgodini


View: https://m.youtube.com/watch?v=bqg33ul1HPA

John Heche asisitiza haiwezikani watu 11 wanauawa katika kipindi cha miezi 3 na mbunge hajapiga kelele, hatuwezi kunyamaza hili jambo liendelee ....

Marehemu Sylverster Benson Nyangige ameacha watoto 6, mmoja ana sickle cell pia wake wawili diwani wa CCM asema akiwa katika mazishi ya Sylvester ... na kushangaa kwa nini vijana wanauawa huku viongozi kama watendaji wa vijiji na serikali wapo kimya...
 
John Heche akihudhuria mazishi ya Sylverster Benson Nyangige aliyepigwa risasi ya kisogoni mgodini


View: https://m.youtube.com/watch?v=bqg33ul1HPA

John Heche asisitiza haiwezikani watu 11 wanauawa katika kipindi cha miezi 3 na mbunge hajapiga kelele, hatuwezi kunyamaza hili jambo liendelee ....

Marehemu Sylverster Benson Nyangige ameacha watoto 6, mmoja ana sickle cell pia wake wawili diwani wa CCM asema akiwa katika mazishi ya Sylvester ... na kushangaa kwa nini vijana wanauawa huku viongozi kama watendaji wa vijiji na serikali wapo kimya...

Hapo ifanyike haki kuchunguza,lkn chadema msipeleke masiasa yenu ya hovyo hapo nyamongo
 
Back
Top Bottom