Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa muono wako wewe, wanawake walioshinda mataji ndio warembo?.smhusianze mambo huwezi kumaliza!! miss world 2017.........namba mtazidi kuisoma.
kwa mtazamo wako wewe, mhe waiguru tu ndio mwanamke mrembo Kenya??kwa muono wako wewe, wanawake walioshinda mataji ndio warembo?.smh
huoni vile mijizee "yenyu" migavana inavyo mkodolea mimacho?.[emoji23] [emoji23]kwa mtazamo wako wewe, mhe waiguru tu ndio mwanamke mrembo Kenya??
Dah kweli Kenya hamna wanawakendio kusema kwa kenya huyo ndio mwanamke mrembo.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
huoni ili mijizee "yenyu" migavana inavyo mkodolea mimacho?.[emoji23] [emoji23]
yes,to you/them she could be the only beautiful woman in kenya(according to my experience).
Dah kweli Kenya hamna wanawake
acha hasira.[emoji23]wana ldc mnakuwanga wajinga sana na arguments za kitoto.
Hahaha me mwenyewe nashangaa kipi kilichowakodolesha macho hao wazee sababu mwanamama ni wa kawaida sana.Dah kweli Kenya hamna wanawake
Hahahaha... vipi mama yangu kwa urembo babaa?huoni ili mijizee "yenyu" migavana inavyo mkodolea mimacho?.[emoji23] [emoji23]
yes,to you/them she could be the only beautiful woman in kenya(according to my experience).
nitakujibu kesho nikiwa kwenye mood zangu za kisirani cha blue monday.Hahahaha... vipi mama yangu kwa urembo babaa?
Huyu hapa chebukati wako, tumemdaka kwenye fumanizi moja hatari sana hapa mjini.Kuna jamaa anaitwa chebukati sijui ni nani katika serikali ya Kenya ila namkubali tu
Hahaha sawa baba na usiwe kisirani mingi tuma hela za kutosha sikukuunitakujibu kesho nikiwa kwenye mood zangu za kisirani cha blue monday.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuna jamaa yangu mmoja hao vibonge ndo type yake!Tatizo ukiwa na mapungufu ya nguvu za kiume huwezi kuona chochote kizuri kwa mwanamke, unaanza vijisababu vya kulaumu unene, mara kazeeka mara hiki mara kile mara miguu mara mikono.
Ni kama unasema kuna special seats za uraisi...u governor sio kama ubungeDuh wanaweza hata wakamuhonga hiyo county.
Inamaana Kenya hawana special seats za governors kama Tanzania.
Shikamoo jombaa,huko Kibiti mambo yako shwari sasa? 😀Ni kama unasema kuna special seats za uraisi...u governor sio kama ubunge
Huku salama kabisa kakaShikamoo jombaa,huko Kibiti mambo yako shwari sasa? 😀