Hehehe!! Tz panazidi kuwa patamu, wafanyabiashara wacharazwa viboko na DC hadharani - video

Yaani hadi raha, mwendo wa hukumu hapo kwa hapo...viboko...
Watanzania hunikumbusha mbali sana..dah!

Hawa wanamvumilia tu kwamba asiwafungulie kesi ya uhujumu uchumi, ila watamkoma na ata uhama mji bila ya kuaga
Yaani hadi raha, mwendo wa hukumu hapo kwa hapo...viboko...
Watanzania hunikumbusha mbali sana..dah!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…