Hehehe!! Tz panazidi kuwa patamu, wafanyabiashara wacharazwa viboko na DC hadharani - video

Hehehe!! Tz panazidi kuwa patamu, wafanyabiashara wacharazwa viboko na DC hadharani - video

huko kenya mnachapwa na wachina[emoji23][emoji23][emoji23].

kwavile ni watu weupe mnaona kawaida tu.
 
Kwangu mimi naona sawa kabisa hao wanaojiita wafanya biashara kucharazwa viboko.

Tanzania haiitaji wafanya biashara wa style hii, anamfundisha mwanafunzi jinsi ya kuaribu Mali za umma.
hii ni sawa na kuujumu uchumi kwa maana serikali inakuja kuingia galama.

Kuna mfano: juzi baada ya kuja kwa covid South
African Kuna watu wameiba mali na kualibu kabisa miundo mbinu ya reli.
Unajua nini kilicho tokea sio serikali tu iliyo gharamika kwa hilo, mpaka kwa mtu mmoja mmoja inamgaramia kwa sababu watu hutumia reli kwenda makazini,mashulen,na kadhalika ila Leo hii

Ndio maana naona sawa kabisa kwa hao wafanya biashara wa style hii kuadhibiwa kwa style hiyo ili iwe fundisho kwa wengne, alafu mambo ya kuadhibiwa kwa bakora kwa mwafrika ni kama jadi mababu na mababu zetu wameitumikia adhabu hiyo
Ndiyo kila mtu aliyoko apa jamii forum aijalishi ni mkenya, mganda au mtanzania Nina uhakika ashakula bakora

Suara la kucharazana bakora naomba tulione la kawaida tuu tukumbuke sisi ni wa africa tuna asili zetu za kufanya mambo yetu
Aya mambo ya katiba inasema nini wakati mwingine haitupi kile tunataka waafrika kwa sababu uwenda hizo kanuni atukuziandika sisi
 
Kwangu mimi naona sawa kabisa hao wanaojiita wafanya biashara kucharazwa viboko.

Tanzania haiitaji wafanya biashara wa style hii, anamfundisha mwanafunzi jinsi ya kuaribu Mali za umma.
hii ni sawa na kuujumu uchumi kwa maana serikali inakuja kuingia galama.

Kuna mfano: juzi baada ya kuja kwa covid South
African Kuna watu wameiba mali na kualibu kabisa miundo mbinu ya reli.
Unajua nini kilicho tokea sio serikali tu iliyo gharamika kwa hilo, mpaka kwa mtu mmoja mmoja inamgaramia kwa sababu watu hutumia reli kwenda makazini,mashulen,na kadhalika ila Leo hii

Ndio maana naona sawa kabisa kwa hao wafanya biashara wa style hii kuadhibiwa kwa style hiyo ili iwe fundisho kwa wengne, alafu mambo ya kuadhibiwa kwa bakora kwa mwafrika ni kama jadi mababu na mababu zetu wameitumikia adhabu hiyo
Ndiyo kila mtu aliyoko apa jamii forum aijalishi ni mkenya, mganda au mtanzania Nina uhakika ashakula bakora

Suara la kucharazana bakora naomba tulione la kawaida tuu tukumbuke sisi ni wa africa tuna asili zetu za kufanya mambo yetu
Aya mambo ya katiba inasema nini wakati mwingine haitupi kile tunataka waafrika kwa sababu uwenda hizo kanuni atukuziandika sisi
Wewe ni mtu una maono marefu nawakuingwa mbathi ya hardlined ccm juhajiths. Lugha safi.
 
Kwangu mimi naona sawa kabisa hao wanaojiita wafanya biashara kucharazwa viboko.

Tanzania haiitaji wafanya biashara wa style hii, anamfundisha mwanafunzi jinsi ya kuaribu Mali za umma.
hii ni sawa na kuujumu uchumi kwa maana serikali inakuja kuingia galama.

Kuna mfano: juzi baada ya kuja kwa covid South
African Kuna watu wameiba mali na kualibu kabisa miundo mbinu ya reli.
Unajua nini kilicho tokea sio serikali tu iliyo gharamika kwa hilo, mpaka kwa mtu mmoja mmoja inamgaramia kwa sababu watu hutumia reli kwenda makazini,mashulen,na kadhalika ila Leo hii

Ndio maana naona sawa kabisa kwa hao wafanya biashara wa style hii kuadhibiwa kwa style hiyo ili iwe fundisho kwa wengne, alafu mambo ya kuadhibiwa kwa bakora kwa mwafrika ni kama jadi mababu na mababu zetu wameitumikia adhabu hiyo
Ndiyo kila mtu aliyoko apa jamii forum aijalishi ni mkenya, mganda au mtanzania Nina uhakika ashakula bakora

Suara la kucharazana bakora naomba tulione la kawaida tuu tukumbuke sisi ni wa africa tuna asili zetu za kufanya mambo yetu
Aya mambo ya katiba inasema nini wakati mwingine haitupi kile tunataka waafrika kwa sababu uwenda hizo kanuni atukuziandika sisi

Miafrika bana, halafu huu ujinga hufanyiwa wasiokua na hela, walalahoi, kwa mfano hao wana biashara utakuta ni wa kiwango cha chini, yaani maskini bara hili ni laana. Nakumbuka kuna kipindi niliishi Zanzibar, kule wale huwa na desturi ya kucharaza viboko watu wanaokutwa wakila chakula kipindi cha ramadhani, ila nilichunguza vizuri nikaona huo uhayawani unafanyiwa maskini, lakini ukienda kwenye hoteli za kifahali watu wanakula misosi tu bila huu ujinga.
 
Miafrika bana, halafu huu ujinga hufanyiwa wasiokua na hela, walalahoi, kwa mfano hao wana biashara utakuta ni wa kiwango cha chini, yaani maskini bara hili ni laana. Nakumbuka kuna kipindi niliishi Zanzibar, kule wale huwa na desturi ya kucharaza viboko watu wanaokutwa wakila chakula kipindi cha ramadhani, ila nilichunguza vizuri nikaona huo uhayawani unafanyiwa maskini, lakini ukienda kwenye hoteli za kifahali watu wanakula misosi tu bila huu ujinga.
masikini ndio huwa hatumii akili sababu hana utulivu nayo.

maana mfanyabiashara makini na mwenye mtaji mkubwa hawezi kununua madawati ya shule akayeyushe vyuma.

mwenye pesa hawezi kula hovyo hovyo lazima atafute sehemu iliyotulia ale kwa utulivu,kitu ambacho wao wazanzibar wanataka.ukiwa mpumbavu ni fimbo ndio size yako,hakuna adhabu nyingine itakayouondoa upumbavu kichwani kwako.
 
masikini ndio huwa hatumii akili sababu hana utulivu nayo.

maana mfanyabiashara makini na mwenye mtaji mkubwa hawezi kununua madawati ya shule akayeyushe vyuma.

mwenye pesa hawezi kula hovyo hovyo lazima atafute sehemu iliyotulia ale kwa utulivu,kitu ambacho wao wazanzibar wanataka.ukiwa mpumbavu ni fimbo ndio size yako,hakuna adhabu nyingine itakayouondoa upumbavu kichwani kwako.

Ndio hicho hicho nimekisema, umaskini ni laana, na mtapigwa sana maana asilimia kubwa kwenu ni maskini, yaani 70%
 
Ndio hicho hicho nimekisema, umaskini ni laana, na mtapigwa sana maana asilimia kubwa kwenu ni maskini, yaani 70%
masikini kwa mujibu wa $1.9,ila kwa mujibu wa njaa,hakuna wa kuwapiku sub sahara[emoji23],hata somalia pamoja na vita bado mmewaongoza.
 
masikini kwa mujibu wa $1.9,ila kwa mujibu wa njaa,hakuna wa kuwapiku sub sahara[emoji23],hata somalia pamoja na vita bado mmewaongoza.

Somalia pamoja na vita vyao hawajajaza omba omba kwetu mabarabarani kama nyie, ama kwa hakika mna gubu la umaskini nyie watu, pamoja na raslimali zote hizo ila nyie ndio nchi pekee Afrika hii ambayo raia wake wanakwenda kuomba omba kwenye barabara za mataifa ya watu.
Halafu miaka mitano ijayo ndio mtakoma maana mumefuta upinzani ambao kidogo walikua wanapaza sauti kila mkidhulumiwa na chama dola.
 
Somalia pamoja na vita vyao hawajajaza omba omba kwetu mabarabarani kama nyie, ama kwa hakika mna gubu la umaskini nyie watu, pamoja na raslimali zote hizo ila nyie ndio nchi pekee Afrika hii ambayo raia wake wanakwenda kuomba omba kwenye barabara za mataifa ya watu.
Halafu miaka mitano ijayo ndio mtakoma maana mumefuta upinzani ambao kidogo walikua wanapaza sauti kila mkidhulumiwa na chama dola.
hao ni wakenya wenzenu.

ndio maana mmeshindwa kuwafanya waachane na hayo maisha sababu nayinyi jua kali tu kama wao[emoji38][emoji38][emoji38].
 
hao ni wakenya wenzenu.

ndio maana mmeshindwa kuwafanya waachane na hayo maisha sababu nayinyi jua kali tu kama wao[emoji38][emoji38][emoji38].

Tatizo tukiwarudisha kwao huko wanaitana na kuja maradufu ya walivyokua awali, mpaka tumekata tamaa na kuwaacha wazagae tu kote kote, mnaitia Afrika aibu.
 
Tatizo tukiwarudisha kwao huko wanaitana na kuja maradufu ya walivyokua awali, mpaka tumekata tamaa na kuwaacha wazagae tu kote kote, mnaitia Afrika aibu.
mnatakiwa muwabadirishe maisha yao.

hamuwezi sababu wote ni jua kali.
 
mnatakiwa muwabadirishe maisha yao.

hamuwezi sababu wote ni jua kali.

Mvivu aliyezoea kuomba omba hawezi kubadilisha maisha hata kwa mtutu, na ndio maana nchi yenu bado maskini wa kutupwa licha ya raslimali zote hizo.
 
Mvivu aliyezoea kuomba omba hawezi kubadilisha maisha hata kwa mtutu, na ndio maana nchi yenu bado maskini wa kutupwa licha ya raslimali zote hizo.
masikini wa kutupwa ana rangi gani!!!

mimi najua kuna watu kenya wanakufa njaa.
 
Jiangalie na uangalie ndugu zako huko utaona hizo rangi zenu...
sio nyeusi na mbaya kama za kenya.

kenya unakuta demu mbovu mpaka unajiuliza,tatizo ni maji au jua kali[emoji23][emoji23][emoji23].
 
Kwangu mimi naona sawa kabisa hao wanaojiita wafanya biashara kucharazwa viboko.

Tanzania haiitaji wafanya biashara wa style hii, anamfundisha mwanafunzi jinsi ya kuaribu Mali za umma.
hii ni sawa na kuujumu uchumi kwa maana serikali inakuja kuingia galama.

Kuna mfano: juzi baada ya kuja kwa covid South
African Kuna watu wameiba mali na kualibu kabisa miundo mbinu ya reli.
Unajua nini kilicho tokea sio serikali tu iliyo gharamika kwa hilo, mpaka kwa mtu mmoja mmoja inamgaramia kwa sababu watu hutumia reli kwenda makazini,mashulen,na kadhalika ila Leo hii

Ndio maana naona sawa kabisa kwa hao wafanya biashara wa style hii kuadhibiwa kwa style hiyo ili iwe fundisho kwa wengne, alafu mambo ya kuadhibiwa kwa bakora kwa mwafrika ni kama jadi mababu na mababu zetu wameitumikia adhabu hiyo
Ndiyo kila mtu aliyoko apa jamii forum aijalishi ni mkenya, mganda au mtanzania Nina uhakika ashakula bakora

Suara la kucharazana bakora naomba tulione la kawaida tuu tukumbuke sisi ni wa africa tuna asili zetu za kufanya mambo yetu
Aya mambo ya katiba inasema nini wakati mwingine haitupi kile tunataka waafrika kwa sababu uwenda hizo kanuni atukuziandika sisi
Rugemalira na Herbinder Singh wameiba mali ya umma mbona hawajachapwa bakora? Viongozi wangapi wa ccm ni wezi wa mali ya umma na hakuna anayedhubutu kuwacharaza bakora?

Au bakora ni kwa watu fulani tu?

Hizi bakora angekuwa anamchapa mwafrika kwa kosa hilo hilo mngekuwa mmekaukiwa mate kwa jinsi ambavyo mngepiga kelele
 
kama vinabuma,ndio unavyoona kwa wenge la njaa,ila huoni kenya nzima ikibuma[emoji16][emoji16].

Ndio tulishawapiga double kiuchumi na kila kitu na kwa mlivyoingiwa na mihemko ya kukurupukia miradi bila ramani au dira, sijui mtaifichia wapi aibu.
 
Back
Top Bottom