mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
[emoji16][emoji16][emoji16]miradi ipo tz, aibu ukaone wewe,na hata huoni tatizo!!!!Ndio tulishawapiga double kiuchumi na kila kitu na kwa mlivyoingiwa na mihemko ya kukurupukia miradi bila ramani au dira, sijui mtaifichia wapi aibu.
bado tutajenga sana miradi dada angu haijalishi wewe unaona aibu au unaona uchungu.
hata dunia nzima inashangaa mmetudouble uchumi,lakini mnakufa na njaa wakati hatujui njaa ni kitu gani[emoji1][emoji1],,tena tunataka kuishusha mwaka huu isomeke $55bln[emoji23][emoji23][emoji23].