Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kwani mahakama imeshatoa hukumu ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani hadi raha, mwendo wa hukumu hapo kwa hapo...viboko...
Watanzania hunikumbusha mbali sana..dah!
Hamsa ishiriniYaani hadi raha, mwendo wa hukumu hapo kwa hapo...viboko...
Watanzania hunikumbusha mbali sana..dah!
this is Netflix 🤣🤣🤣Ni kama nvidiyo ni kama ndrama😂😂😂
Yaani hadi raha, mwendo wa hukumu hapo kwa hapo...viboko...
Watanzania hunikumbusha mbali sana..dah!
Taratibu tunaanza ongea lugha moja. Kuna vitu vya kipuuzi vinafanyika tz na hakuna wa kukemeaNa hii karne ya 21, Muzungu angefanya hivyo tungeandamana black life matters, so sad mimi naamini kabisa Viongozi wa Tanzania ni psychopath, ...
Me tooo aisee..Over my dead body!
Me tooo aisee..
Hivi Watanzania alitulogaga nani?mie siwezi
Umeongea kwa hisia sana, so sad kwa kweli aaaahAaaah kumaninah ningemkata koromeo au ningeenda kumloga, ile loga ya kumuua mtu na sehem zipo nazijua kabisa za kufanya na kumaliza hio kazi, mzee hua anahitaji majina tu,
Yaani hadi raha, mwendo wa hukumu hapo kwa hapo...viboko...
Watanzania hunikumbusha mbali sana..dah!
Tunafanana aisee nipo tayari niuze hata eneo langu la akiba ili nipate bajeti nzuri ya kulipa kisasiUknifanyia hvyo Mimi,ntakutafuta mpaka mwsho wangu wa dunia utakapoisha,nashukuru mungu huniepusha na ufedhuri wa aina hii
Nireteeni gwaaaajimaMitanotena [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi mmoja wao...unasemaje Sasa...michadema imecharazwa bakora kwa wizimakajamba wa ccm utawaona hapa wakitetea huu upuuzi! yaani mwanaume alale chini apigwe viboko??