SMART GHOST
JF-Expert Member
- Feb 3, 2020
- 2,657
- 10,356
Enzi za bao 12?Nduguti pale kulikuwa na waarabu fulani hivi matata, umri ulikuwa hauruhusu wakati ule...
Gumanga sipasahau kwa sababu niliwahi kutembea kutokea pale hadi Ibaga kwa miguu
Kulikuwa na karantini ya kipindupindu mwaka fulani long time ago, imagine nilitembea maili 27 = km43 hivi na vi point.
Napakumbuka vizuri mkuu.
Aise ngoja niendelee kufuatilia tu maana sjaelewa bado babu yanguMimi na Hamida tumetoka mbali sana! Ananijuwa vizuri tabia zangu na hata nikidanganya anajuwa na hugeuka mbogo bora umwambie ukweli huwa anatulia. Kama kununa atanuna, ama atalia lakini huwa afadhali kuliko ukimdanganya kesi yake huwa haiishi!
Tu wazee sasa! Hakuna pilikapilika na hata huko nyuma baada ya kumuoa nilibadilika na kuwa mume bora sana.
Ajali katikati hapa ni chache sana, lakini nimeamua kuleta simulizi hii maana sasa uzeeni naona ni hekaheka tu.
Endelea kufuatilia utaelewa tu, Hamida alikuwa na mpango wake wa siri....
Ooops, nitamaliza utamu.
Wale waraabu bado wapo pale Nduguti japokuwa wengi wao wamehamia Oman kwa sasa. Wapo watoto wa bwana shamba kwa sasa. Gumanga hadi Ibaga asee ni mbali sana mkuu. [emoji119]Nduguti pale kulikuwa na waarabu fulani hivi matata, umri ulikuwa hauruhusu wakati ule...
Gumanga sipasahau kwa sababu niliwahi kutembea kutokea pale hadi Ibaga kwa miguu
Kulikuwa na karantini ya kipindupindu mwaka fulani long time ago, imagine nilitembea maili 27 = km43 hivi na vi point.
Napakumbuka vizuri mkuu.
Karibu nusu ya basi "Yellow Line" tuliamua kutembea kuelekea Ibaga, tulianza safari saa saba usiku, siwezi kisahau 'route march' ile isiyokuwa na miongozo!Wale waraabu bado wapo pale Nduguti japokuwa wengi wao wamehamia Oman kwa sasa. Wapo watoto wa bwana shamba kwa sasa. Gumanga hadi Ibaga asee ni mbali sana mkuu. [emoji119]
Hahaa, mzee ulikua muhuni sana!Siku ile nilitembea km7, kutokea Mkalama hadi Ibaga
Hili Basi Lina uhusiano wowote na central line?(Singida-Dar)Karibu nusu ya basi "Yellow Line" tuliamua kutembea kuelekea Ibaga, tulianza safari saa saba usiku, siwezi kisahau 'route march' ile isiyokuwa na miongozo!
Hatimaye alasir tukahutimisha safari, hoi.
Gumanga hapakuniacha salama nilipita na mwarabu kwao walikua na shell(kituo cha kuuza mafuta)Nduguti pale kulikuwa na waarabu fulani hivi matata, umri ulikuwa hauruhusu wakati ule...
Gumanga sipasahau kwa sababu niliwahi kutembea kutokea pale hadi Ibaga kwa miguu
Kulikuwa na karantini ya kipindupindu mwaka fulani long time ago, imagine nilitembea maili 27 = km43 hivi na vi point.
Napakumbuka vizuri mkuu.
Hapana hayana mahusiano japo wamiliki ni majirani marehem mzee yellow line akiwa mbele ya salumu Nagji maeneo ya book shop na central line akiwa jiran na msikiti wa katiHili Basi Lina uhusiano wowote na central line?(Singida-Dar)
Hata mimi nijuavyo akinamama hasa kama anachepuka kisiri huwa na wivu ajabu. Mpaka nikadhani hii account ni ya DeepPond na Mama J wakeMimi na Hamida tumetoka mbali sana! Ananijuwa vizuri tabia zangu na hata nikidanganya anajuwa na hugeuka mbogo bora umwambie ukweli huwa anatulia. Kama kununa atanuna, ama atalia lakini huwa afadhali kuliko ukimdanganya kesi yake huwa haiishi!
Tu wazee sasa! Hakuna pilikapilika na hata huko nyuma baada ya kumuoa nilibadilika na kuwa mume bora sana.
Ajali katikati hapa ni chache sana, lakini nimeamua kuleta simulizi hii maana sasa uzeeni naona ni hekaheka tu.
Endelea kufuatilia utaelewa tu, Hamida alikuwa na mpango wake wa siri....
Ooops, nitamaliza utamu.
Yellow Line likikuwa la tajiri mmoja aitwaye Amri SaidHili Basi Lina uhusiano wowote na central line?(Singida-Dar)
Hapa ndipo ulifel. Nafasi kama hii adimHaikutokea...
Ila makubwa yalitokea !
🤣🤣🤣🤣🤣 sasa si mpo mda mrefu?Hujui usemalo mkuu,
Yani three some ikimjumuisha mkeo!
Acha nifeli tu.