Uchaguzi 2020 Hekima na Busara za John Madale Shibuda: Kongamano la maombi na maridhiano ya amani leo Mjini Dodoma

Uchaguzi 2020 Hekima na Busara za John Madale Shibuda: Kongamano la maombi na maridhiano ya amani leo Mjini Dodoma

Kaongea vizuri. .. ila hili la kusema Multiparty democracy limeletwa na CCM ni siasa ya kip.mbavu. .. kwa wakati wote ...
Mkuu Inawezekana Uko Sahihi,Kama yeye alivyo Sahihi.

Nakukumbusha,Licha ya mahitaji ya Sasa ya vyama vingi,bado MSUKUMO huo haujawaingia viongozi wengi mfano CHINA, URUSI, CUBA, RWANDA, ZIMBABWE, UGANDA, ERITREA, Ethiopia, Falme za KIARABU, SAUDIA etc.

Kwa muktadha huo hatuachi kuwapa KONGOLE CCM kwa angalau kumridhia baba wa taifa Hayati Nyerere,kwani kama SI YEYE Basi CCM isingeridhia Hayo baada ya hapo mwanzo kwa ASILIMIA 80 ya"wajumbe" kukataa.
 
Yule shibuda wa pingamiz lililobuma au mwingine halafu andika jina lake vizuri sio madale in magale madale mnaijua wanalumumba na diamond yule wa mitama
Mkuu Unamjudge Kwa Alichofanya huko nyuma?!!Kwann uamue kumjudge kwa UPENDACHO ama UCHUKIACHO ilihali ana vingi?!!

Ahsante Mkuu wangu kwa kunisahihisha Jina lake Sahihi kuwa Ni Magalle.
 
jitahidi kutofautisha njaa na hekima.
Mkuu Wangu Duuuh

Mungu Amewapa Kipaji Cha Kujua Njaa Ya Wengine. Kwa Maana mna PERSISCOPE, CT scan na MRI iangaziayo matumboni mwa wenzenu na kujua yako MATUPU....
 
Mkuu Tindo Kama Umemsikiliza vyema John Madale Shibuda Ameongelea AMANI NA HAKI....

Kama nilivyotanabahisha ya kwamba alichokisema na nilichokiandika Kitabaki kuwa Ni Cha kutekelezwa na asiye sikia LEO na kutenda Basi yatakuja kutendwa na WANETU watakapokuwa WAKUBWA Kwani UKWELI HAUFI...
Hili kosa mtaendelea nalo hadi lini?
Unawezaje kutanfuliza amani halafu haki ikafuata?
 
Hili kosa mtaendelea nalo hadi lini?
Unawezaje kutanfuliza amani halafu haki ikafuata?
Ni semi tu lakini HAKI NA AMANI hukaa sehemu Moja....

Viongozi wa Kidini Wamegusia Amani yenye haki...
John Magalle Shibuda amegusia Amani Yenye Haki....msikilize Tena vyema!!!
 
Kaongea vizuri. .. ila hili la kusema Multiparty democracy limeletwa na CCM ni siasa ya kip.mbavu. .. kwa wakati wote ...


..sio kosa lake.

..wakati wakina Mapalala, Fundikira, Mabere Marando, Shaaban Mloo, Christopher Kasanga Tumbo, na wengine, wakipagania mfumo wa vyama vingi Shibuda alikuwa yuko CCM.

..kwa msingi huo usitegemee Shibuda akajua mapito waliyopitia wenzake ktk kupigania kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi.
 
..sio kosa lake.

..wakati wakina Mapalala, Fundikira, Mabere Marando, Shaaban Mloo, Christopher Kasanga Tumbo, na wengine, wakipagania mfumo wa vyama vingi Shibuda alikuwa yuko CCM.

..kwa msingi huo usitegemee Shibuda akajua mapito waliyopitia wenzake ktk kupigania kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi.

Hao Uliowataja WALIPIGANIA mfumo wa vyama vingi lakn kumbuka pia wale G55 waliokuwa CCM walipambania na Hayo.....Ndani ya CCM walikuwepo walioutaka huo mfumo japo walikuwa wachache kwani chama KILISHIKA HATAMU kwelikweli....

Bila ya BUSARA ZA baba wa Taifa,sioni Kama hao ULIOWATAJA wangeweza kuuleta mfumo huu mwaka 92 na kusababisha 95 tuwe na Uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi.

Kwa hiyo huwezi UKAMBEZA Comrade Shibuda kwa alichonena!!!
 
Hao Uliowataja WALIPIGANIA mfumo wa vyama vingi lakn kumbuka pia wale G55 waliokuwa CCM walipambania na Hayo.....Ndani ya CCM walikuwepo walioutaka huo mfumo japo walikuwa wachache kwani chama KILISHIKA HATAMU kwelikweli....

Bila ya BUSARA ZA baba wa Taifa,sioni Kama hao ULIOWATAJA wangeweza kuuleta mfumo huu mwaka 92 na kusababisha 95 tuwe na Uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi.

Kwa hiyo huwezi UKAMBEZA Comrade Shibuda kwa alichonena!!!

..G55 walikuwa wanataka mfumo wa serikali tatu; Muungano, Tanganyika, na Zanzibar.

..sina kumbukumbu ya yeyote yule aliyekuwa ktk G55 kujiunga na vyama vipya vilivyoanzishwa.

..CCM kama chama waliukataa mfumo wa vyama vingi, Mwalimu Nyerere ndio aliwalazimisha.
 
Mkuu Wangu Daaah Mbona Umekuwa JUDGEMENTAL badala ya kujikita katika Kile kilichotoka kinywani mwake?!!!

Hiyo mizani Bora ya kuwapima WATU unayo mikononi mwako?!!😁😁😁

Amani Mkuu Wangu.
Itakuwa haumjui Shibuda, Shibuda huyu yumo kwenye kamati ya waganga wa kienyeji kanda ya ziwa, yumo kwenye machifu kanda ya ziwa! Yumo kwenye kamati ya viongozi wa dini! Mgombea Urais, alikuwa CCM, alikuwa Chadema na sasa mkazi wa Zanzibar kwenye chama ambacho ni tawi la CCM, huyo ndiye Shibuda.
 
Busara Na Hekima Za JM Shibuda....

Wanasiasa HALAHALA,kidole na macho ooohooooooo......
 
Itakuwa haumnui Shibuda, Shibuda huyu yumo kwenye kamati ya waganga wa kienyeji kanda ya ziwa, yumo kwenye machifu kanda ya ziwa! Yumo kwenye kamati ya viongozi wa dini! Mgombea Urais, alikuwa CCM, alikuwa Chadema na sasa mkazi wa Zanzibar kwenye chama ambacho ni tawi la CCM, huyo ndiye Shibuda.
Mmmmh
 
Back
Top Bottom