Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,897
Hapo zamani tulikuwa na wazungu walitufundisha kuwa Mungu huwasaidia watu wanaojisaidia wenyewe.
Hawa wazungu walimaanisha ukifanyakazi kwa bidii na kumtumainia Mungu ndio utafanikiwa. Nimekutana na waumini flani wanatoa sadaka hadi wanakosa nauli ya kurudi nyumbani.
Niliwahi kuona mke wa mtu alitoa sadaka malimbuko hadi laki 5 wakati wanaishi Maisha ya kuhangaika mpaka Leo.
Kuna baadhi ya makanisa wanasadaka hadi tano kwa Jumapili Moja.
Ndugu yangu kipato unachopata unapata kwa jasho sana na kulala hoi. Usikitawanye kwa kufuata mkumbo.
Muulize Mungu na moyo wako umtolee kiasi gani.Si lazima utoe kila sadaka kaa kwenye kiti wakati huo Sali kimoyo moyo soma biblia.
Unatakiwa ujipende nunua nguo nzuri, weka akiba ya baadae.
Mwili wako ni hekalu la Mungu litunze kwa upendo na shukurani.
Hakuna padri mchafu mchafu wala shehe machafu mchafu.
Waumini ndio wanaokuwa wa chafu wa chafu. Vunjeni kabati kila siku laleni pazuri. Kuna waumini Safi wanatoa sadaka sana lakini ukienda kwao unashangaa. Jipendeni.
Hawa wazungu walimaanisha ukifanyakazi kwa bidii na kumtumainia Mungu ndio utafanikiwa. Nimekutana na waumini flani wanatoa sadaka hadi wanakosa nauli ya kurudi nyumbani.
Niliwahi kuona mke wa mtu alitoa sadaka malimbuko hadi laki 5 wakati wanaishi Maisha ya kuhangaika mpaka Leo.
Kuna baadhi ya makanisa wanasadaka hadi tano kwa Jumapili Moja.
Ndugu yangu kipato unachopata unapata kwa jasho sana na kulala hoi. Usikitawanye kwa kufuata mkumbo.
Muulize Mungu na moyo wako umtolee kiasi gani.Si lazima utoe kila sadaka kaa kwenye kiti wakati huo Sali kimoyo moyo soma biblia.
Unatakiwa ujipende nunua nguo nzuri, weka akiba ya baadae.
Mwili wako ni hekalu la Mungu litunze kwa upendo na shukurani.
Hakuna padri mchafu mchafu wala shehe machafu mchafu.
Waumini ndio wanaokuwa wa chafu wa chafu. Vunjeni kabati kila siku laleni pazuri. Kuna waumini Safi wanatoa sadaka sana lakini ukienda kwao unashangaa. Jipendeni.