Heko, Rais kipenzi cha watanzania, tabasamu larejea Ngorongoro, lakini...!

Heko, Rais kipenzi cha watanzania, tabasamu larejea Ngorongoro, lakini...!

HOJA Yako Haina mashiko.

Kama ambavyo huwezi kuzuia nyumbu Toka Kenya kuingia Tanzania, au nyumbu wa Tanzania kuingia Kenya,

Likewise maasai mara, Kenya na Tanzania Wana muingiliano wa karibu,

Na maisha hayo yameendelea miaka na miaka bila shida yoyote, hivyo tulizeni munkari maisha yasonge.
 
Sioni wakiondoka. Mbona huzungumzii vizazi vijavyo kukosa madini kwa mikataba mibovu iliyoingia Chama chako?
Chama changu?nani kakuambia Mimi fala wa kushabikia vyama??

Mimi sina chama,ila siwez kuwaunga mkono mafala wa wazi kbs kama CHADEMA.

Suala la mbuga na madini wapi na wapi sasa Kwa scenario kama hii??
 
Msikilize Lema kuhusu ujenzi wa mahoteli makubwamakubwa huko mbugani.
 
°Operation ya kuwatambua ianze, mara moja, nina mashaka kama kweli masai hawa wote ni wa tanzania, Niliwahi kutana na mmasai pahala fulani, katika kuongea nae, akaniambia yeye ni masai ya Kenya na akanionyesha kipande yake! / umakini na angalizo isije ikawa kwa umasai wao wakawa na Id za mataifa yote mawili, wanapiga kura Kenya alkadhalika wakapiga kura tanzania!

°Idadi ya masai mbugani ni kubwa mno, serekali yetu ingetafuta namna ya kupunguza wingi wao kwani ni hatari kwa Ekolojia ya ngorongoro!

°Aidha eneo la hifadhi ya Ngorongoro liwekewe mipaka kutenganisha na vijiji vya masai, na mbuga hizo ziwe zinatumika kwa malisho pekee ya mifugo na si kuongeza vibanda kila uchao!,
Rais kipenzi cha matapeli na majizi na wajinga pia
 
Mimi nipo zaidi katika misingi ya UHIFADHI WA MAZINGIRA,
I personal worth environment!, naumia sana pale tunapo disturb mbuga na misitu yetu, binafsi nafahamu, shughuli za binadamu na maharibifu yake anapoingia pahala!
#Thought noted well.
Mbona serengeti inataka kuchimbwa madini na husemi chochote?
Eti misingi ya uhifadhi....,
 
°Operation ya kuwatambua ianze, mara moja, nina mashaka kama kweli masai hawa wote ni wa tanzania, Niliwahi kutana na mmasai pahala fulani, katika kuongea nae, akaniambia yeye ni masai ya Kenya na akanionyesha kipande yake! / umakini na angalizo isije ikawa kwa umasai wao wakawa na Id za mataifa yote mawili, wanapiga kura Kenya alkadhalika wakapiga kura tanzania!

°Idadi ya masai mbugani ni kubwa mno, serekali yetu ingetafuta namna ya kupunguza wingi wao kwani ni hatari kwa Ekolojia ya ngorongoro!

°Aidha eneo la hifadhi ya Ngorongoro liwekewe mipaka kutenganisha na vijiji vya masai, na mbuga hizo ziwe zinatumika kwa malisho pekee ya mifugo na si kuongeza vibanda kila uchao!,
Naungana na clip ya yule mmasai aliyesema kama hawa wamasai si watanzania basi vyombo vya ulinzi vinajidhalilisha kuwa vimeshindwa kazi ya kulinda mipaka mpaka wanatoka huko hadi ngorongoro.
 
Maasai hawana uraia wa nchi moja. Ni kama wanzibar, wamakonde, waha pia. Huyo mama mfano tukikuta anayo asili ya comoro au Oman ina maana na yeye tumvue uraisi? Inasemekana ana wajomba huko Oman 🤔
 
"If you are neutral in the situation of injustice you have chosen the side of oppressor."

Desmond Tutu, a former Arch-Bishop of Anglican Church of South Africa.
Inategemea unasimama juu ya lipi?, mfano, masai ni hatari kwa ustawi wa ngorongoro, (human activities) zinazidi mbugani!, kiakili unatambua kabisa ya kwamba hili ni kweli tupu, lakini kwasababu kwasababu mwenyekiti kasema hili haliwezekani, na wewe, unakwenda kama dumb - hili haliwezekani, wakati akili inakutuma facts ya kwamba hili jambo siyo jema kwa future.
 
Inategemea unasimama juu ya lipi?, mfano, masai ni hatari kwa ustawi wa ngorongoro, (human activities) zinazidi mbugani!, kiakili unatambua kabisa ya kwamba hili ni kweli tupu, lakini kwasababu kwasababu mwenyekiti kasema hili haliwezekani, na wewe, unakwenda kama dumb - hili haliwezekani, wakati akili inakutuma facts ya kwamba hili jambo siyo jema kwa future.
I'm not among of the brain-washed peoples.
 
Mimi nipo zaidi katika misingi ya UHIFADHI WA MAZINGIRA,
I personal worth environment!, naumia sana pale tunapo disturb mbuga na misitu yetu, binafsi nafahamu, shughuli za binadamu na maharibifu yake anapoingia pahala!
#Thought noted well.
Kafanye mazingira ya kujipenda wewe mwenyewe kwanza, waachie wamasai na maisha yao. Eti kuna Masai wa Tanzania na Kenya; Wamasai walikuwepo kabla ya Kenya na Tz; yaani kabla ya 1884; na huyo Mama Magungo wa Pwani.
 
Mimi nipo zaidi katika misingi ya UHIFADHI WA MAZINGIRA,
I personal worth environment!, naumia sana pale tunapo disturb mbuga na misitu yetu, binafsi nafahamu, shughuli za binadamu na maharibifu yake anapoingia pahala!
#Thought noted well.
Mbuga zenu wewe na nani?
 
°Operation ya kuwatambua ianze, mara moja, nina mashaka kama kweli masai hawa wote ni wa tanzania, Niliwahi kutana na mmasai pahala fulani, katika kuongea nae, akaniambia yeye ni masai ya Kenya na akanionyesha kipande yake! / umakini na angalizo isije ikawa kwa umasai wao wakawa na Id za mataifa yote mawili, wanapiga kura Kenya alkadhalika wakapiga kura tanzania!

°Idadi ya masai mbugani ni kubwa mno, serekali yetu ingetafuta namna ya kupunguza wingi wao kwani ni hatari kwa Ekolojia ya ngorongoro!

°Aidha eneo la hifadhi ya Ngorongoro liwekewe mipaka kutenganisha na vijiji vya masai, na mbuga hizo ziwe zinatumika kwa malisho pekee ya mifugo na si kuongeza vibanda kila uchao!,
Utambuzi uanzie serkarini.


1.Usalama wa TAIFA.
2.Majaji wa mahakama kuu/mahakama ya rufani
3.Uhamihaji /Jeshini JW
4.Jeshi Magereza
5.Mamlaka ya Mapato

Maeneo hayo nyeti Kuna mpaka makamishna ambao ni WANYARWANDA ,mapandikizi toka Rwanda.

Kusema Kuna wamasai Toka Kenya ni UJINGA WA HALI YA JUU.

Wamasai ni ndugu Moja kama ilivyo wahindi duniani kote.

Maasai wa Kenya Kuwasaidia wa Tz ,kama kweli Wamasai wa Tz ni jambo jema.

Katika historia nchi zilipata UHURU ,kwa kusaidiwa na nchi nyingine.

Mfano hai ni, Namibia,South Africa, Angola, Msumbiji, Zimbabwe,na nchi nyingi za Africa.

Je kulikuwa na ubaya kupata sapoti kutoka nchi nyingine ku eradicate colonialism??

Kuna shida Gani Maasai wa Kenya kusaidia maasai wenzao wa Tz??

Acheni kuposti ujinga bila kuzingatia haki za binadamu!!

Ungekuwa Masai usingepata muda wa kuposti haya "MAV....I" ya Kuhara ,🤔🤔🤔.

Kulikuwa na faida kubwa kwa wazazi wako KUFUGA NGURUWE, kuliko kusomesha rubbish kama wewe!!

Shame non you!!
 
Asante kaka kwa uelewa pevu, mara nyingi binadamu anapokaa mahali huathiri mazingira, atakata kuni, japo ana ngombe lakini atawinda swala, atajenga nyumba, atakata msitu ili alime, na mengi tu. /atazaa watoto na kila mtoto ataitaji shamba lake, calculate 30 coming year itakuwaje?, tutakuwa na mbuga ya urithi wa dunia kweli?.
Wameshaishi hapo kwa miaka zaidi ya 50 mbona hatujakiona hicho mnachosema mbuga itaathirika.
Kwa nini kuanzia sasa hivi ndio uonekane huo utaalamu wenu mnaouleta kuna nini nyuma ya pazia
 
Back
Top Bottom