Heko, Rais kipenzi cha watanzania, tabasamu larejea Ngorongoro, lakini...!

Heko, Rais kipenzi cha watanzania, tabasamu larejea Ngorongoro, lakini...!

°Operation ya kuwatambua ianze, mara moja, nina mashaka kama kweli masai hawa wote ni wa tanzania, Niliwahi kutana na mmasai pahala fulani, katika kuongea nae, akaniambia yeye ni masai ya Kenya na akanionyesha kipande yake! / umakini na angalizo isije ikawa kwa umasai wao wakawa na Id za mataifa yote mawili, wanapiga kura Kenya alkadhalika wakapiga kura tanzania!

°Idadi ya masai mbugani ni kubwa mno, serekali yetu ingetafuta namna ya kupunguza wingi wao kwani ni hatari kwa Ekolojia ya ngorongoro!

°Aidha eneo la hifadhi ya Ngorongoro liwekewe mipaka kutenganisha na vijiji vya masai, na mbuga hizo ziwe zinatumika kwa malisho pekee ya mifugo na si kuongeza vibanda kila uchao!@lucas
Lucas Mashambwe amebubujika kwa furaha mpaka ameshindwa kuanzisha uzi
 
Wameshaishi hapo kwa miaka zaidi ya 50 mbona hatujakiona hicho mnachosema mbuga itaathirika.
Kwa nini kuanzia sasa hivi ndio uonekane huo utaalamu wenu mnaouleta kuna nini nyuma ya pazia
Wapo mbugani kwa zaidi ya miaka 50,lakini sio kwa wingi huo!, kuna jambo!
 
Utambuzi uanzie serkarini.


1.Usalama wa TAIFA.
2.Majaji wa mahakama kuu/mahakama ya rufani
3.Uhamihaji /Jeshini JW
4.Jeshi Magereza
5.Mamlaka ya Mapato

Maeneo hayo nyeti Kuna mpaka makamishna ambao ni WANYARWANDA ,mapandikizi toka Rwanda.

Kusema Kuna wamasai Toka Kenya ni UJINGA WA HALI YA JUU.

Wamasai ni ndugu Moja kama ilivyo wahindi duniani kote.

Maasai wa Kenya Kuwasaidia wa Tz ,kama kweli Wamasai wa Tz ni jambo jema.

Katika historia nchi zilipata UHURU ,kwa kusaidiwa na nchi nyingine.

Mfano hai ni, Namibia,South Africa, Angola, Msumbiji, Zimbabwe,na nchi nyingi za Africa.

Je kulikuwa na ubaya kupata sapoti kutoka nchi nyingine ku eradicate colonialism??

Kuna shida Gani Maasai wa Kenya kusaidia maasai wenzao wa Tz??

Acheni kuposti ujinga bila kuzingatia haki za binadamu!!

Ungekuwa Masai usingepata muda wa kuposti haya "MAV....I" ya Kuhara ,🤔🤔🤔.

Kulikuwa na faida kubwa kwa wazazi wako KUFUGA NGURUWE, kuliko kusomesha rubbish kama wewe!!

Shame non you!!
Targeted ⤵ "" Kuna ubaya gani masai wa Kenya kusaidia ndugu zao wa Tanzania yawezekana hata kwenye kupiga kura mchezo ni huu huu""
#Tumekuelewa!
 
Targeted ⤵ "" Kuna ubaya gani masai wa Kenya kusaidia ndugu zao wa Tanzania yawezekana hata kwenye kupiga kura mchezo ni huu huu""
#Tumekuelewa!
Ngara, Biharamuro WANYARWANDA wanagombea udiwani na kushinda,wafuga ng'ombe wao,
Wewe wa wapi wewe mpaka unashangaa kuhusu kura??

Mgeni hapa Tanzania wewe??

Kupiga kura na kugombea au kuteuliwa nafasi nyeti kitisho kikubwa ni nini kwako??🤔🤔.

Jitahidi kuwa serious unapochangia vitu serious, acha DHIHAKA.🤔🤔
 
Ngara, Biharamuro WANYARWANDA wanagombea udiwani na kushinda,wafuga ng'ombe wao,
Wewe wa wapi wewe mpaka unashangaa kuhusu kura??

Mgeni hapa Tanzania wewe??

Kupiga kura na kugombea au kuteuliwa nafasi nyeti kitisho kikubwa ni nini kwako??🤔🤔.

Jitahidi kuwa serious unapochangia vitu serious, acha DHIHAKA.🤔🤔
Haya ni makosa makubwa kweli ni budi serekali ione ni namna gani mambo ya namna hii hayatokei, tukianza upya....!
Masauni!
 
Mimi nipo zaidi katika misingi ya UHIFADHI WA MAZINGIRA,
I personal worth environment!, naumia sana pale tunapo disturb mbuga na misitu yetu, binafsi nafahamu, shughuli za binadamu na maharibifu yake anapoingia pahala!
#Thought noted well.
Hoteli zinazojengwa mbugani ndio uhifadhi wa mazingira?
 
°Operation ya kuwatambua ianze, mara moja, nina mashaka kama kweli masai hawa wote ni wa tanzania, Niliwahi kutana na mmasai pahala fulani, katika kuongea nae, akaniambia yeye ni masai ya Kenya na akanionyesha kipande yake! / umakini na angalizo isije ikawa kwa umasai wao wakawa na Id za mataifa yote mawili, wanapiga kura Kenya alkadhalika wakapiga kura tanzania!

°Idadi ya masai mbugani ni kubwa mno, serekali yetu ingetafuta namna ya kupunguza wingi wao kwani ni hatari kwa Ekolojia ya ngorongoro!

°Aidha eneo la hifadhi ya Ngorongoro liwekewe mipaka kutenganisha na vijiji vya masai, na mbuga hizo ziwe zinatumika kwa malisho pekee ya mifugo na si kuongeza vibanda kila uchao!,
Narudia kucheka tena 🤣🤣🤣🤣
 
Asante kaka kwa uelewa pevu, mara nyingi binadamu anapokaa mahali huathiri mazingira, atakata kuni, japo ana ngombe lakini atawinda swala, atajenga nyumba, atakata msitu ili alime, na mengi tu. /atazaa watoto na kila mtoto ataitaji shamba lake, calculate 30 coming year itakuwaje?, tutakuwa na mbuga ya urithi wa dunia kweli?.
Wewe mbwiga unajua atakachokifanya Mwarabu miaka 30 ijayo?

Hauwezi kuumiza kichwa kwasababu ni nduguyo katika Imani?
 
°Operation ya kuwatambua ianze, mara moja, nina mashaka kama kweli masai hawa wote ni wa tanzania, Niliwahi kutana na mmasai pahala fulani, katika kuongea nae, akaniambia yeye ni masai ya Kenya na akanionyesha kipande yake! / umakini na angalizo isije ikawa kwa umasai wao wakawa na Id za mataifa yote mawili, wanapiga kura Kenya alkadhalika wakapiga kura tanzania!

°Idadi ya masai mbugani ni kubwa mno, serekali yetu ingetafuta namna ya kupunguza wingi wao kwani ni hatari kwa Ekolojia ya ngorongoro!

°Aidha eneo la hifadhi ya Ngorongoro liwekewe mipaka kutenganisha na vijiji vya masai, na mbuga hizo ziwe zinatumika kwa malisho pekee ya mifugo na si kuongeza vibanda kila uchao!,
Baada ya kugalagazwa na wenye Tanganyika yao naona Sasa mnaanza Fitina!

Wakati mnawahamishia Msomera hamkujua kwamba ni Wakenya?
 
°Operation ya kuwatambua ianze, mara moja, nina mashaka kama kweli masai hawa wote ni wa tanzania, Niliwahi kutana na mmasai pahala fulani, katika kuongea nae, akaniambia yeye ni masai ya Kenya na akanionyesha kipande yake! / umakini na angalizo isije ikawa kwa umasai wao wakawa na Id za mataifa yote mawili, wanapiga kura Kenya alkadhalika wakapiga kura tanzania!

°Idadi ya masai mbugani ni kubwa mno, serekali yetu ingetafuta namna ya kupunguza wingi wao kwani ni hatari kwa Ekolojia ya ngorongoro!

°Aidha eneo la hifadhi ya Ngorongoro liwekewe mipaka kutenganisha na vijiji vya masai, na mbuga hizo ziwe zinatumika kwa malisho pekee ya mifugo na si kuongeza vibanda kila uchao!,
Nani aliyesababisha kilio Ngorongoro kama si huyo uneyempa heko?
 
Wapo mbugani kwa zaidi ya miaka 50,lakini sio kwa wingi huo!, kuna jambo!
Mchezo umeujua baada ya mbuga kuuzwa kwa waarabu
Kati ya wamasai wanaoishi kwa tamaduni zao za kale na five star hotels zinazojengwa mbugani
Nani hasa anaaribu mazingira..??
Wagen wanakuja kuwinda simba tembo chui
Lakin wamasia hawana muda na wanyama wakali
Hata nyati wamasai hawali
Fuel pollution inayofanywa na magari ya kitalii na hao waarabu
Na maisha ya asili yakimasai kati yao nani anaharib mazingira..??
Geographia ya Kenya wanapoishi wamasai. Wakenya ni Rahis sana kwao kuingia serengeti kuliko kuja ngorongoro unaelewa ilo lakini..??
Unaujinga mwingi kichwani kwako wewe
Unakurupuka sana
Unajiona msomi kusema unajali kuhusu mazingira lakin deep down kijana
Unachuki za waziwazi na wamasai
na mnawavalisha jina lakuwaita wakenya ili muwanyanyase na kuwatesa
Ushawai ona wamasai wakenya wewe ..??
Wale watu wanapesa
Wanamaeneo makubwa sana yakulisha mifuo yao
Wala sidhan kama wakija upande watanzania wanakuja kwa makazi
Labda kusalimia ndug zao tuu
Hata bei za mifungo tanzania na kenya
Kenya ni bei kubwa zaid
Sasa kwann wakimbilie kwenye umasikini
Think twice
Otherwise usiongee usichokijua
 
Kama ni hilo tu,usiishie kwa Wamasai!
Fikiria Wakurya,Wamakonde,Wanyasa,Wahaya,nk
Ni vigumu kuwatofautisha Wamasai wa Kenya na Tanzania.
 
Mchezo umeujua baada ya mbuga kuuzwa kwa waarabu
Kati ya wamasai wanaoishi kwa tamaduni zao za kale na five star hotels zinazojengwa mbugani
Nani hasa anaaribu mazingira..??
Wagen wanakuja kuwinda simba tembo chui
Lakin wamasia hawana muda na wanyama wakali
Hata nyati wamasai hawali
Fuel pollution inayofanywa na magari ya kitalii na hao waarabu
Na maisha ya asili yakimasai kati yao nani anaharib mazingira..??
Geographia ya Kenya wanapoishi wamasai. Wakenya ni Rahis sana kwao kuingia serengeti kuliko kuja ngorongoro unaelewa ilo lakini..??
Unaujinga mwingi kichwani kwako wewe
Unakurupuka sana
Unajiona msomi kusema unajali kuhusu mazingira lakin deep down kijana
Unachuki za waziwazi na wamasai
na mnawavalisha jina lakuwaita wakenya ili muwanyanyase na kuwatesa
Ushawai ona wamasai wakenya wewe ..??
Wale watu wanapesa
Wanamaeneo makubwa sana yakulisha mifuo yao
Wala sidhan kama wakija upande watanzania wanakuja kwa makazi
Labda kusalimia ndug zao tuu
Hata bei za mifungo tanzania na kenya
Kenya ni bei kubwa zaid
Sasa kwann wakimbilie kwenye umasikini
Think twice
Otherwise usiongee usichokijua
⤵⬇ Nimekupata!, wingi wao mbugani unauridhia? Kuna jambo (?).

-human activities hasa wanapokuwa wengi huku wakizidi kuzaliana, out come yake unaifahamu?

-hotel by nature, huchukuwa eneo dogo lisilozidi ekari 2, na kisheria hujengwa pembeni mwa mbuga, ili kutosturb wanyama, pia study hufanyika ili kutoingilia hata njia/mapito ya wanyama.

-Pamoja na yote haya ni busara sana kutengeneza fair situation, kwa kutowaingilia sana wanyama na mazingira yao, tunayo ardhi kubwa sana nzuri kwa binadamu kujistawisha, busara zitumike, ili wamasai wasiwe wengi kupita wanyama kwenye ardhi ya wanyama.

-Tusiache kuwapongeza masai kwani ni watu wanaojua sana kujioganise na kufanya lile wanalolikusudia, hivyo tusijiulize wamefikaje ngorongoro Na kujazana.
 
Wanyama na wamasai wamewekwa na Mungu Ngorongoro waishi kama jamii moja,kuwaondoa wamasai Ngorongoro ni kuwaonea na hakutaifanya nchi iondokane na umasikini uliokithiri,kwani ni hifadhi ngapi tunazo na hazijatuondoa kwenye umasikini?.

Tunayo madini kibao,gas tunayo,raslimali tunazo kibao pamoja na kubinafsisha bandari yetu kwa waarabu bado hatujabadilika chochote ndio kwanza tunazidi kunuka umasikini kwa kwenda mbele.

Pia kuondolewa kwa wamasai Ngorongoro hakutaleta unafuu wa kutozwa tuzo za ajabuajabu mpakwa kwenye mitandao.
 
Nani aliyesababisha kilio Ngorongoro kama si huyo uneyempa heko?
Mtoto asiyeelewa na Mtukutu ni shida sana, Rais wetu bahati tuliyonayo ni "Environment lover", hata mtoto kuna wakati unamwambia usichezee wembe utakukata, kitoto kinakuwa kibishi, then unaamua kukaacha kajikate!, Nia ya rais ni safi, toto ni bishi, Achilia mbali masai wageuze ngorongoro jiji, majuto mjukuu,
-Binafsi nakazia masai wapunguzwe ngorongoro ili kutengeneza Proportionality, uwiano safi kati ya wanyama na binadamu.
 
Uchaguzi ujao ccm isitarajie kuhesabu kura Ngorongoro. Kura zote zitaelekea upande ule
 
°Operation ya kuwatambua ianze, mara moja, nina mashaka kama kweli masai hawa wote ni wa tanzania, Niliwahi kutana na mmasai pahala fulani, katika kuongea nae, akaniambia yeye ni masai ya Kenya na akanionyesha kipande yake! / umakini na angalizo isije ikawa kwa umasai wao wakawa na Id za mataifa yote mawili, wanapiga kura Kenya alkadhalika wakapiga kura tanzania!

°Idadi ya masai mbugani ni kubwa mno, serekali yetu ingetafuta namna ya kupunguza wingi wao kwani ni hatari kwa Ekolojia ya ngorongoro!

°Aidha eneo la hifadhi ya Ngorongoro liwekewe mipaka kutenganisha na vijiji vya masai, na mbuga hizo ziwe zinatumika kwa malisho pekee ya mifugo na si kuongeza vibanda kila uchao!,
yaani kwamba wanadamu wote hawa nawalilia kubaki ngorongoro waishi pamoja na wanyama na kuna mtu anashangilia? miaka 20 ijayo bado patakuwa na ngorongoro hapo?
 
Back
Top Bottom