britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Hili jukwaa linaloheshimika sana !
Bwana mkubwa wa hapo beirut Kachukua maamuzi na ku freeze Pesa yooote ya Mauzi ambayo ilikuwa kwenye bank Dubai, account imekuwa freezed kwa maagizo ya Serikali ya Beiruti
Nimekumbuka kwenye corridor fulan tulikuwa tunaongea kwa Makamu wa Ufalmeni hapo beirut, nikauliza hivi mbona hawa watoto wanandharau Mkubwa kiasi hiki? Mmoja akaniambia ogopa mtu wa namna Hiyo anasubiria akuchinjie pazuri anachukua hela na cheo hupati….
Kuweka nyaraka binafsi za mtu hapa bila ruhusa ya jukwaa si ruhusa one day I will share !!
Pitia pia
👇🏾
www.jamiiforums.com
Britanicca!!
Bwana mkubwa wa hapo beirut Kachukua maamuzi na ku freeze Pesa yooote ya Mauzi ambayo ilikuwa kwenye bank Dubai, account imekuwa freezed kwa maagizo ya Serikali ya Beiruti
Nimekumbuka kwenye corridor fulan tulikuwa tunaongea kwa Makamu wa Ufalmeni hapo beirut, nikauliza hivi mbona hawa watoto wanandharau Mkubwa kiasi hiki? Mmoja akaniambia ogopa mtu wa namna Hiyo anasubiria akuchinjie pazuri anachukua hela na cheo hupati….
Kuweka nyaraka binafsi za mtu hapa bila ruhusa ya jukwaa si ruhusa one day I will share !!
Pitia pia
👇🏾
January Makamba akigombea Urais nitamnadi mpinzani wake nchi nzima, Naendelea kutunza ushahidi halisi
Naona kuna mambo yanaendelea ndani Ya inchi bila watu kujua lililo nje Ya pazia Someone is hunting it for real by hooks and crooks! Mi ni miongoni mwa watu wanaokataa jambo lolote la kujinga haijarishi nani analifanya na yuko Chama gani, Kuna ma tycoon nyuma ya Jamaa mwingine Jana kaanza...
Britanicca!!