Lil bees
Senior Member
- May 17, 2022
- 143
- 158
Wakuu uzima upo kwenu?
Leo niseme kero tuliyo nayo waajiriwa wapya wa ajira za afya kwa mwaka 2022. Viongozi wetu mbona hatuwaelewi inakuaje mtu aliye pangwa kituo cha kazi toka mwezi wa 6 mpaka leo hajapewa pesa ya kujikimu?
Kuna mikoa kama Kagera kuna wilaya bado hatujapewa hela za kujikimu, kuna mkoa wa mara na halimashauri zake hawajapewa pesa za kujikimu. Hili lina tupa picha ya jinsi msivyo jali wafanyakazi. Mtu anaripoti mwezi wa 6 halafu mpaka mwezi wa 9 huu hajapewa hela za kujikimu. Nimetaja mikoa miwili ninayojua kuwa bado hawajapewa hela za kujikimu. Kagera na Mara. Kuhusu halmashauri ni zote hasa za pembeni. Kwa mara ni halimashauri ya Butiama na Musoma Vijijini bado.
Waziri wa TAMISEMI, Bashungwa fanyeni haraka watu wapewe pesa hizo. Mlisema tukipata changamoto zozote tusisite kuwa taarifu hizi ndizo taarifa sasa zipokeeni na zifanyieni kazi.
La muhimu zaidi.
Kama wapo wakubwa Serikalini humu mnajua ID zao wa-tag wote waone huu uzi. Habari ziwafikie. Mnawanyanyasa hawa waajiriwa wenu na ni kila mwaka kwa maelezo ya wazoefu kazini. Kwanini haya mambo yanajirudia?
Leo niseme kero tuliyo nayo waajiriwa wapya wa ajira za afya kwa mwaka 2022. Viongozi wetu mbona hatuwaelewi inakuaje mtu aliye pangwa kituo cha kazi toka mwezi wa 6 mpaka leo hajapewa pesa ya kujikimu?
Kuna mikoa kama Kagera kuna wilaya bado hatujapewa hela za kujikimu, kuna mkoa wa mara na halimashauri zake hawajapewa pesa za kujikimu. Hili lina tupa picha ya jinsi msivyo jali wafanyakazi. Mtu anaripoti mwezi wa 6 halafu mpaka mwezi wa 9 huu hajapewa hela za kujikimu. Nimetaja mikoa miwili ninayojua kuwa bado hawajapewa hela za kujikimu. Kagera na Mara. Kuhusu halmashauri ni zote hasa za pembeni. Kwa mara ni halimashauri ya Butiama na Musoma Vijijini bado.
Waziri wa TAMISEMI, Bashungwa fanyeni haraka watu wapewe pesa hizo. Mlisema tukipata changamoto zozote tusisite kuwa taarifu hizi ndizo taarifa sasa zipokeeni na zifanyieni kazi.
La muhimu zaidi.
Kama wapo wakubwa Serikalini humu mnajua ID zao wa-tag wote waone huu uzi. Habari ziwafikie. Mnawanyanyasa hawa waajiriwa wenu na ni kila mwaka kwa maelezo ya wazoefu kazini. Kwanini haya mambo yanajirudia?