Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na handeni piaKuna walimu nawafahamu ajira mpya pia walipangiwa morogoro mjini tu hapo mpaka leo wanalia lia kuwa hawajapewa hela ya kujikimu,,,,nchi hii basi tuuu
Na handeni piaKuna walimu nawafahamu ajira mpya pia walipangiwa morogoro mjini tu hapo mpaka leo wanalia lia kuwa hawajapewa hela ya kujikimu,,,,nchi hii basi tuuu
Sensa wapi bwana uzembe tu wa hawa viongozi wetu. Toka wiki iliyopita baadhi ya halimashauri wanjibu hela zipo tayari ila mpaka muda huu watu hawajalipwa. Wanafanya nini kwenye hzi ofc za umma. Kuwajibika ni jukumu lao. Mazoea kwenye ofc za umma hatariDuuuh....hela zimeenda kwenye sensa.....!!
Hayo ni maneno ya wanasiasa......pesa labda kuanzia october huko...Sensa wapi bwana uzembe tu wa hawa viongozi wetu. Toka wiki iliyopita baadhi ya halimashauri wanjibu hela zipo tayari ila mpaka muda huu watu hawajalipwa. Wanafanya nini kwenye hzi ofc za umma. Kuwajibika ni jukumu lao. Mazoea kwenye ofc za umma hatari
Kweli baadhi ya mikoa mfano Arusha....sasa kama wilaya yako ina wapigaji wa kutosha hapo ndipo tatizo hadi itolewe fixed account ni miaka na mikakaWapo ambao washapewa mbona. Ila hawana huruma hawa watu
Kwa kweli. Hili jambo linaleta utata saana hawa watu awana huruma. Zaidi ya wiki ya 2 sasa wakifutwa wanasema pesa zishakuja mbona haziwafikii walengwa.Kweli baadhi ya mikoa mfano Arusha....sasa kama wilaya yako ina wapigaji wa kutosha hapo ndipo tatizo hadi itolewe fixed account ni miaka na mikaka
Hapo para ya mwisho kimfaacho mtu chake au nasema uongo? [emoji12]Hata mm namjua dogo mmoja ni mwalimu mpya wilaya ya Mkalama,Singida analia njaa sana.
Wapeni pesa zao kama mmeshindwa waambieni warudi makwao wakalime na kufuga.
Mnachangia mabinti wa kike kunyanduliwa bila breki.
Unapoanza kazi unalipwa subsistence allowance ambayo ni posho ya kujikimu ya siku 7 ili uweze kuanza maisha wakati unasubiri your first salaryYaani hamlipwi mishahara au?au hizo shekel za kujikimu ni nje ya salary?
Kama ni nje,Bora zifutwe,posho,pesa za safari,