Hela zimesharudi mtaani?

Hela zimesharudi mtaani?

Ukweli ni kuwa, mzunguko umekuwa mdogo zaidi kuliko hata kipindi cha JPM.

Hii ni kutokana na kupanda kwa bei ya bidhaa na huduma. Mambo yamekuwa magumu zaidi.

Hakuna hela yeyote.
Mikakati ya chini ya kapeti elimu bure imefutwa ,makinikia yanatoka kama zamani mafisadi wanapeta hawalipj kodi kama mwanzo ,sasa kuziba pengo la ufisadi lazima masikini akamiliwe kwa tozo na ada na michango mbalimbali kwenye elimu
 
Mi naona hali ndiyo imekuwa mbaya kabisa bora mwanzo tu
Acha uongo wewe ni sukuma gang...unasemaje hali imekuwa ngumu zaidi wakati kikwete katoka kitambi kabisa na kunenepa [emoji1787][emoji1787]mara tu baada ya magu kufariki wacha uongo
 
Akili za kijinga kabisa zilikuwa,Sasa hayupo hizo pesa zipo wapi, mikitu imekalisha... Kijiweni kutwa haifanyi kazi ukiigusw t inakwambia huyu Magufuli kaficha pesa.

Nakumbusha tu Magu aliacha Bei ya Diesel sh 1750,hakikuwa na tozo za line wala ongezeko ktk miamala.
Kichwa chako hakiko poa, so hujui kuwa haya yote ni kwa sababu yake?
 
Waliotupumbaza kumpinga JPM na harakati zake kwa mazingira yanavyoonekana wanakutana na hela ila sisi pangu pakavu mazingira yamekuwa magumu zaidi kuliko awali maana jamaa wanataka kufidia hasara ya miaka 6 ndani ya muda mfupi.
JPM angevumiliwa walau miaka 5 tena nchi ingebadilika walau kwa asilimia kadhaa kuliko sasa ambapo tunarudi nyuma kwa kasi.
Tulidanganywa na siasa uchwara za mitandaoni tukamkatisha tamaa jpm.
Kauli ya jpm kuwa matajiri wataishi kama mashetani ilimaanisha matajiri wetu wengi ni wezi hivyo alikuwa anaitaka pesa ya umma kufanyia shughuli za umma.
Hakika tulimuelewa vibaya yule mzee.
Wew ni chizi au masikini
 
Miss utalii anachoweza ni kutalii tu. Nothing more
MAZEE VIPI BANA, JPM MLISEMA ANAOGOPA KUSAFIRI BORA AJE MWINGINE ATEMBEZE BAKULI, HAYA NA MAMA NAYE SAFARI KIDUCHU TU MMESHINDWA KUVUMULIA?
 
Moja ya malalamiko ya kipumbavu kabisa yaliyokuwepo enzi za utawala wa Rais Magufuli ni kuwa eti hela hazikuwepo mtaani.

Sijui ni lini hasa Tanzania hii ambapo hela zilikuwepo bwerere mtaani! Kwa sababu, Tanzania ni nchi maskini. Ni nchi ya ulimwengu wa tatu.

Vipato vya wananchi wake ni vya chini sana. Si nchi nyingi ambazo nchi yetu imezipita kwa vipato vya wananchi.

Na tumekuwa nchi ambayo wananchi wake ni wa kipato cha chini tokea tuwe taifa na nina uhakika kabla hata ya kuwa taifa.

Lakini katika utawala uliopita tuliaminishwa mzunguko wa hela umebanwa na hivyo kupelekea kutokea upungufu wake mtaani/ mitaani.

Baada ya kumpata huyu Rais wetu mpya, aliye mpole na msikivu, mwenye kuongea Kiingereza kizuri kabisa 😉, tukaambiwa sasa mzunguko wa hela utarudi na hela zitakuwepo mtaani kama ilivyokuwa kabla ya kuja kwa dikteta Magufuli!

Sasa niaje raia? Mama kesharudisha hayo mahela mitaani?

Kama hayo mahela yamesharudi mitaani kwa nini mnalialia kuhusu vijitozo vya shilingi 100 mtumapo hela kwenye Em Pesa?

Kwa mnaojua hayo mahela yalipo, msiwe wachoyo. Tauambieni na sie wengine tuje tuyaokote bana.

Vilivyo vizuri kuleni na sie ndugu zenu.

Tuendelee kuupiga mwingi 😉.
Magufuli alikuwa anajitahidi kuiweka nchi katika njia sahihi lakini nadhani lengo hilo lilimletea maadui wengi sana. Watanzania tulizowea sana kupata hela ambazo zinatakokana na matendo haramu kama wizi wa hela za umma, au malipo ya serikali yasiyokuwa halali, au malipo ya serikali yasiyokuwa lazima. Sasa hivi mama akitaka kuleta zile za kikwete atapata wakati mgumu sana kwani miradi ya magufuli inayomsubiri ni mikubwa sana kuweza kuchezea hela za umma, Inaweza ikamshinda.
 
anauchezanmwingi Sana mama,tulieni kwanza ndo kwanza half time[emoji23][emoji23].hakuna pesa za kuzoa bulebule bila kufanya kazi halali.
 
Moja ya malalamiko ya kipumbavu kabisa yaliyokuwepo enzi za utawala wa Rais Magufuli ni kuwa eti hela hazikuwepo mtaani.

Sijui ni lini hasa Tanzania hii ambapo hela zilikuwepo bwerere mtaani! Kwa sababu, Tanzania ni nchi maskini. Ni nchi ya ulimwengu wa tatu.

Vipato vya wananchi wake ni vya chini sana. Si nchi nyingi ambazo nchi yetu imezipita kwa vipato vya wananchi.

Na tumekuwa nchi ambayo wananchi wake ni wa kipato cha chini tokea tuwe taifa na nina uhakika kabla hata ya kuwa taifa.

Lakini katika utawala uliopita tuliaminishwa mzunguko wa hela umebanwa na hivyo kupelekea kutokea upungufu wake mtaani/ mitaani.

Baada ya kumpata huyu Rais wetu mpya, aliye mpole na msikivu, mwenye kuongea Kiingereza kizuri kabisa [emoji6], tukaambiwa sasa mzunguko wa hela utarudi na hela zitakuwepo mtaani kama ilivyokuwa kabla ya kuja kwa dikteta Magufuli!

Sasa niaje raia? Mama kesharudisha hayo mahela mitaani?

Kama hayo mahela yamesharudi mitaani kwa nini mnalialia kuhusu vijitozo vya shilingi 100 mtumapo hela kwenye Em Pesa?

Kwa mnaojua hayo mahela yalipo, msiwe wachoyo. Tauambieni na sie wengine tuje tuyaokote bana.

Vilivyo vizuri kuleni na sie ndugu zenu.

Tuendelee kuupiga mwingi [emoji6].
Kwa vile madawa yamerudi mitaani na pesa zitarudi hakuna shida
 
Moja ya malalamiko ya kipumbavu kabisa yaliyokuwepo enzi za utawala wa Rais Magufuli ni kuwa eti hela hazikuwepo mtaani.

Sijui ni lini hasa Tanzania hii ambapo hela zilikuwepo bwerere mtaani! Kwa sababu, Tanzania ni nchi maskini. Ni nchi ya ulimwengu wa tatu.

Vipato vya wananchi wake ni vya chini sana. Si nchi nyingi ambazo nchi yetu imezipita kwa vipato vya wananchi.

Na tumekuwa nchi ambayo wananchi wake ni wa kipato cha chini tokea tuwe taifa na nina uhakika kabla hata ya kuwa taifa.

Lakini katika utawala uliopita tuliaminishwa mzunguko wa hela umebanwa na hivyo kupelekea kutokea upungufu wake mtaani/ mitaani.

Baada ya kumpata huyu Rais wetu mpya, aliye mpole na msikivu, mwenye kuongea Kiingereza kizuri kabisa [emoji6], tukaambiwa sasa mzunguko wa hela utarudi na hela zitakuwepo mtaani kama ilivyokuwa kabla ya kuja kwa dikteta Magufuli!

Sasa niaje raia? Mama kesharudisha hayo mahela mitaani?

Kama hayo mahela yamesharudi mitaani kwa nini mnalialia kuhusu vijitozo vya shilingi 100 mtumapo hela kwenye Em Pesa?

Kwa mnaojua hayo mahela yalipo, msiwe wachoyo. Tauambieni na sie wengine tuje tuyaokote bana.

Vilivyo vizuri kuleni na sie ndugu zenu.

Tuendelee kuupiga mwingi [emoji6].
Hoja ya kipumbavu pia kutoka kwa asiye mchumi. Ambaye hujui Ni vp monetary and fiscal policy/measures zinavyooperate.

Jiridhishe pia tofauti ya mzunguko wa hela kiuchumi na ujazo wa hela kiuchumi utajua watu hoja yao ilikuwa Ina mashiko au laa.
 
Hoja ya kipumbavu pia kutoka kwa asiye mchumi. Ambaye hujui Ni vp monetary and fiscal policy/measures zinavyooperate.

Jiridhishe pia tofauti ya mzunguko wa hela kiuchumi na ujazo wa hela kiuchumi utajua watu hoja yao ilikuwa Ina mashiko au laa.
Kamanda ushaokota shi’ngapi mtaani?
 
Moja ya malalamiko ya kipumbavu kabisa yaliyokuwepo enzi za utawala wa Rais Magufuli ni kuwa eti hela hazikuwepo mtaani.

Sijui ni lini hasa Tanzania hii ambapo hela zilikuwepo bwerere mtaani! Kwa sababu, Tanzania ni nchi maskini. Ni nchi ya ulimwengu wa tatu.

Vipato vya wananchi wake ni vya chini sana. Si nchi nyingi ambazo nchi yetu imezipita kwa vipato vya wananchi.

Na tumekuwa nchi ambayo wananchi wake ni wa kipato cha chini tokea tuwe taifa na nina uhakika kabla hata ya kuwa taifa.

Lakini katika utawala uliopita tuliaminishwa mzunguko wa hela umebanwa na hivyo kupelekea kutokea upungufu wake mtaani/ mitaani.

Baada ya kumpata huyu Rais wetu mpya, aliye mpole na msikivu, mwenye kuongea Kiingereza kizuri kabisa [emoji6], tukaambiwa sasa mzunguko wa hela utarudi na hela zitakuwepo mtaani kama ilivyokuwa kabla ya kuja kwa dikteta Magufuli!

Sasa niaje raia? Mama kesharudisha hayo mahela mitaani?

Kama hayo mahela yamesharudi mitaani kwa nini mnalialia kuhusu vijitozo vya shilingi 100 mtumapo hela kwenye Em Pesa?

Kwa mnaojua hayo mahela yalipo, msiwe wachoyo. Tauambieni na sie wengine tuje tuyaokote bana.

Vilivyo vizuri kuleni na sie ndugu zenu.

Tuendelee kuupiga mwingi [emoji6].
Inatakiwa elaborate plan kuweka pesa kwa kila mfuko wa Mtanzania, nasikia kiwanda cha Urafiki kimeanza kuchapa kanga, kulipa madeni, naona hata nyanja itapanda bei, wachache bidhaa za viwandani.
 
Back
Top Bottom