My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,306
Samia ni mashoga gang ukiwemo na wewe PundaSamia yeye siyo Sukuma Gang?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samia ni mashoga gang ukiwemo na wewe PundaSamia yeye siyo Sukuma Gang?
Mjinga kabisa ule jamaa yeye aliziba vingine vya watu havizibwiwatamkumbuka tu
1.wanaolalamika ubabe wa JPM ni wale walizibiwa mianya ya kula
unalazimisha tu, angalia namba moja hapo juu
Ni vichaa, mafisadi, majizi na majambazi pekee wanaweza kumsahau kirahisi hivi.Hakuna mtu timamu lakini anayeweza kumkumbuka jiwe, japo mama anaupiga mwingi mpaka kautoa nje lakini ni bora kuliko kipindi cha Jiwe
Mhuni kama mhuniMoja ya malalamiko ya kipumbavu kabisa yaliyokuwepo enzi za utawala wa Rais Magufuli ni kuwa eti hela hazikuwepo mtaani.
Sijui ni lini hasa Tanzania hii ambapo hela zilikuwepo bwerere mtaani! Kwa sababu, Tanzania ni nchi maskini. Ni nchi ya ulimwengu wa tatu.
Vipato vya wananchi wake ni vya chini sana. Si nchi nyingi ambazo nchi yetu imezipita kwa vipato vya wananchi.
Na tumekuwa nchi ambayo wananchi wake ni wa kipato cha chini tokea tuwe taifa na nina uhakika kabla hata ya kuwa taifa.
Lakini katika utawala uliopita tuliaminishwa mzunguko wa hela umebanwa na hivyo kupelekea kutokea upungufu wake mtaani/ mitaani.
Baada ya kumpata huyu Rais wetu mpya, aliye mpole na msikivu, mwenye kuongea Kiingereza kizuri kabisa 😉, tukaambiwa sasa mzunguko wa hela utarudi na hela zitakuwepo mtaani kama ilivyokuwa kabla ya kuja kwa dikteta Magufuli!
Sasa niaje raia? Mama kesharudisha hayo mahela mitaani?
Kama hayo mahela yamesharudi mitaani kwa nini mnalialia kuhusu vijitozo vya shilingi 100 mtumapo hela kwenye Em Pesa?
Kwa mnaojua hayo mahela yalipo, msiwe wachoyo. Tauambieni na sie wengine tuje tuyaokote bana.
Vilivyo vizuri kuleni na sie ndugu zenu.
Tuendelee kuupiga mwingi 😉.
Hela imesharudi mtaani!??Bado mpaka leo hamuamini kuwa magufuri amekufa!...