Helikopta ya 10 ya kijeshi ilitua katika Hospitali ya Sheba-Tel Hashomer, ikiwa imebeba wanajeshi na maafisa waliofariki na kujeruhiwa katika mapigano

Alokwambia kama vita ya ardhini ya kizamani nani vita unaweza ukapigana engo zote kama ulivyosema ila kama unataka kushinda vita lazima uende ardhini na hapa ndio panatoa mshindi wa vita jambo ambalo ukweli ulio wazi israhell hio engo hana maajabu
 

Ila ukweli unabakia pale pale vita ya ardhini sio ya kizamani
 
Hamas na Hezballah wanabokolewa kama mbwa koko; wao wanachoweza ni kujifunga mabomu na kujilipua..na ndiyo maana wanapigana vita na nguo za kiraia, yaani katika uwanja wa vita hujui raia yupi na mgambo ni yupi.

Kwa kweli maafa yanayowakuta si jambo jema la kuongea hapa, wanakufa mno ndugu zangu, sasa hatujui ni ujinga wao ama dini yao ndiyo imewapumbaza.

Yaani Gaza peke yake misiba ni zaidi ya 45,000 achikia mbali vilema.
 
Kuua raia sio kushinda vita wewe mzayuni wa jf
 
Kuua raia sio kushinda vita wewe mzayuni wa jf
usilalamike maana shughuli haijaisha, HAMAS wanajichanganya kwenye misikiti, mashule, mahospitalni na kwenye makambi ya wakimbizi ya UN - mbaya zaidi wanashambulia kwa kuvizia kisha wanaibukia misikitini, mashuleni nk na kanzu zao. Yaani hapo hujui raia yupi na mwanamgambo ni yupi.
Hao dawa yao ndiyo hiyo - ni kutandika.
Hongera IDF maana bila hivyo vita hii msingeiweza kabisa.
 
Naona wewe ndio umeamua kulalama hio lalama haitasaidia endeleeni kuwasapoti wavaa pampers wenu watatema tu bungo huu mwaka
 
Infantry ni ngumu sana
Hasa unapoingia territory ya watu wengine..Israel inapigwa sana wanajeshi wake wanakufa sana hata pale juzi walipomuua Sinwar kundi kubwa liliuwawa ila wao hawasemi hilo wanaficha sana..
Sikulijua hili, kumbe Sinwar alienda na IDF.
 
Tatizo mahaba yanamzidi nguvu mtu mpaka anaona wayahudi hawafi wala kujeruhiwa
Sijawahi kuona vita ya upande mmoja tu wanauwa zaidi ya movies
Ili iwe vita lazima upadnę moja ushinde!! Na bila kupepesamacho magaidi wa Hamas na Hezboullah wanaula wa. Chuya maana kila kukicha wao wanapigwa kipigo cha mbwa-koko na wao wakiua mtu mmoja kwao wanaona ni ushindi wanashangilia usiku kuchwa. Na hii inaonyesha ni jinsi gani walivyo dhaifu kwenye uwanja wa vita. Hamas sijaona sehemu yoyote wameweza kuyasimamisha majeshi ya Israel katika vita hii huko Gaza. Kwa upande wa Hezboullah waliokuwa wakisifiwa sana na wapenda magaidi wao ndiyo Hovyo kabisa toka Israel ianze kuwashughulikia kikamilifu Chain of Command yao yote ilipukutishwa akiwemo Sayyed Hassn Nasrallah. Mpaka sasa hivi wanabondwa ile mbaya mbwa hawa wakati mwenye Mbwa(Iran)naye anasubiri kipondo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…