TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

Huu uchaguzi awamu hii majanga yamezidi. Kila mojawetu aombe kwa imani yake ili Mungu atende maajabu. Wanaweza kupona kwa ajali lakini ile ni msitu mnene,Kuna kila aina ya mnyama
 
Tuwaombee waliopata ajali labda wenye helicopter usaiilinamba 5Y-DKK tazama picha yake kabla ya kupakwa rangi ya CCM https://www.flickr.com/photos/aeroprints/15405174679.

Labda kampuni maarufu ya Kenya www.flyladylori.com wa uwanja wa ndege wa Wilson, Nairobi, Kenya ambao wanasifika kwa kazi ya kukodi na pia kufanya msako wa search and rescue Standard Digital News - Kenya : National Assembly Justin Muturi, pilot speak on helicopter ‘mishap’ wanaweza kufanya pia kazi hiyo ktk utafutaji wa eneo la ajali ndani ya mbuga kubwa ya Selous, Tanzania.
 
watanzania tunatakiwa tujue kuna maisha baada ya uchaguzi

wakenya wakituambia sie watanzania hatuna akili tunaanza kulalamika wakati matendo yetu tunayoyafanya yanamshangaza kila mwanadamu mwenye utu, hekima, nidham, na uoga wa mungu


haiwezekani thread nzito kama hii mtu anatoa comment eti wafe maiti zao zisionekane, mara mwingine anasema angekuwapo na fulani na fulani

mbaya zaidi utakuta aliyotoa hii comment ni msomi wa chuo kikuu

ndio maana kuna mtu mmoja alisema kuwa watanzania wengi sio wasomi ila wamekaa muda mrefu darasani...


This is so pathetic

wamehudhuria majengo ya shule na vyuo kwa ufupi
 
watanzania tunatakiwa tujue kuna maisha baada ya uchaguzi

wakenya wakituambia sie watanzania hatuna akili tunaanza kulalamika wakati matendo yetu tunayoyafanya yanamshangaza kila mwanadamu mwenye utu, hekima, nidham, na uoga wa mungu


haiwezekani thread nzito kama hii mtu anatoa comment eti wafe maiti zao zisionekane, mara mwingine anasema angekuwapo na fulani na fulani

mbaya zaidi utakuta aliyotoa hii comment ni msomi wa chuo kikuu

ndio maana kuna mtu mmoja alisema kuwa watanzania wengi sio wasomi ila wamekaa muda mrefu darasani...


This is so pathetic

kwakweli inasikitisha sana

Cpt. Silaa ni mzazi wetu, Deo ni mdogo wetu, Haule ni ndugu wa Deo... hawa ni watu tena wasio na makuu

Watanzania tutakubaliana kwamba Deo is a unique politician,

Naunga mkono hoja... tuwe sensitive
 
Mnaongelea hii ajali mbichi wakati hakuna taarifa zozote juu ya marubani wa jeshi waliopotelea baharini. Hatujui kipi kinaendelea
 
Ila sisi watanzania ni wanafiki sana.Kila siku humu Lowasa amaetukanwa sana na kuombewa kifo ,watu wanashabikia.Kusikia mbunge wa CCM mwenye jina kaanguka kwa helikopta hawataki hata kusikia kama kafa.Kifo haombewi mtu ni kazi ya Mungu.Mungu anawatumia ujumbe.Deo kasalimika ,mwambieni nae amnange Lowasa,ameiona namna kifo kinavyokuja na kutisha.Acheni hoja za kitoto,uzeni sera za chama chenu.

Mnaongelea hii ajali mbichi wakati hakuna taarifa zozote juu ya marubani wa jeshi waliopotelea baharini. Hatujui kipi kinaendelea

Kweli kabisa kuna masuala muhimu yamewekwa kando kwa sababu raia na watendaji wote wa nchi wako kwenye siasa yaani kila kitu kimechukuliwa na siasa za uchaguzi. Utakuta nchi iko hatarini lkn hakuna mwenye kujua manake hata intelijensia ya nchi imo siasani.
 
Deo naye ajitokeze kwenye media tujue kama yupo hai,
 
Back
Top Bottom