Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makamba ndo kichekesho yeye anakimbilia kusema chopa zao zipo salama, walishazoea kukanusha sana
watanzania tunatakiwa tujue kuna maisha baada ya uchaguzi
wakenya wakituambia sie watanzania hatuna akili tunaanza kulalamika wakati matendo yetu tunayoyafanya yanamshangaza kila mwanadamu mwenye utu, hekima, nidham, na uoga wa mungu
haiwezekani thread nzito kama hii mtu anatoa comment eti wafe maiti zao zisionekane, mara mwingine anasema angekuwapo na fulani na fulani
mbaya zaidi utakuta aliyotoa hii comment ni msomi wa chuo kikuu
ndio maana kuna mtu mmoja alisema kuwa watanzania wengi sio wasomi ila wamekaa muda mrefu darasani...
This is so pathetic
watanzania tunatakiwa tujue kuna maisha baada ya uchaguzi
wakenya wakituambia sie watanzania hatuna akili tunaanza kulalamika wakati matendo yetu tunayoyafanya yanamshangaza kila mwanadamu mwenye utu, hekima, nidham, na uoga wa mungu
haiwezekani thread nzito kama hii mtu anatoa comment eti wafe maiti zao zisionekane, mara mwingine anasema angekuwapo na fulani na fulani
mbaya zaidi utakuta aliyotoa hii comment ni msomi wa chuo kikuu
ndio maana kuna mtu mmoja alisema kuwa watanzania wengi sio wasomi ila wamekaa muda mrefu darasani...
This is so pathetic
Ila sisi watanzania ni wanafiki sana.Kila siku humu Lowasa amaetukanwa sana na kuombewa kifo ,watu wanashabikia.Kusikia mbunge wa CCM mwenye jina kaanguka kwa helikopta hawataki hata kusikia kama kafa.Kifo haombewi mtu ni kazi ya Mungu.Mungu anawatumia ujumbe.Deo kasalimika ,mwambieni nae amnange Lowasa,ameiona namna kifo kinavyokuja na kutisha.Acheni hoja za kitoto,uzeni sera za chama chenu.
Mnaongelea hii ajali mbichi wakati hakuna taarifa zozote juu ya marubani wa jeshi waliopotelea baharini. Hatujui kipi kinaendelea
Kwe page ya wananchi blog wanadai wamepona
Kwe page ya wananchi blog wanadai wamepona
Mtumishi Wa Halmashauri kafuata nini kwenye chopa ya Ccm
Mtumishi Wa Halmashauri kafuata nini kwenye chopa ya Ccm