Nyati
JF-Expert Member
- Mar 6, 2009
- 2,521
- 1,906
Kama kuna Helkopta iliyoanguka basi siyo ya CCM. Uongozi wa chama umethibitisha uwepo wa chopa zote bila tatizo lolote
Nashukuru sana kwa taarifa hii na namwombwa MWENYEZI MUNGU IWE HIVYO yaani hakuna ajali hiyo regardless amebebwa nani.
Baadhi ya comment hapo juu zinadhihirisha kuna WATU na viatu hapa duniani! Yaana mtu unajitoa ufahamu na kumwombea kifo mwezio!!!