TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

tatizo hawa wanaiga sana..
M4C eti nao M4C
mabadilkoo eti nao mabadiliko..
kumdekia honourable EL nao wanamdekia mawenge..
watu wakiruka na chopa nao wanataka waruke..
yatawashinda !!!!
 
Tuliombee sana taifa letu tanzania ,tuwaombee watanzania,tuwaombee sana viongozi wadogo kwa wakubwa..
 
Hizi habari ziko confirmed.moja ya ccm chopper imeanguka na kuungua moto majira ya saa moja usiku huko Selous.Waliofika hawajaona mtu wa kumwokoa,ilikuwa tayari usiku.Kuhusu nani na nani alikuwemo tusubiri asubuhi.Ila inasemekana ni Helicopter iliokodiwa na Deo kutoka Kenya.Ccm wana chopper kama 4 au 5 hivi.Tuvute subira hadi kukuche for latest.


nami nimeipata habari hii kama ulivyoieleza
 
Mungu aepushe mbali, lkn nawaambia jamani tuache masihara tuombe sn, msifikiri huu uchaguzi wa kawaida tu, no no no... Nchi inapita ktk Kipindi kigum sana! Lkn tutavuka na wote waliokusudia mabaya uatawarudia.

Lkn tuombe sn jamani..... Toba na rehema, hii nchi watu wamemwaga sn damu zisizokua na hatia na zile damu zinapiga kelele mbele za Mungu, msitegemee gadhabu ya Mungu itatuacha, TUOMBE toba...
 
Lolote la wezekana tutege sikio na tuwaombee mungu awaepushe
 
Weka siasa pembeni kwenye mambo mazito wewe unaesema mabadiliko yasipofanyika
 
Back
Top Bottom