Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ooh no not Deo please. Jamani taarifa hii isiwe ya kweli
Majanga hayachagui majina .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh no not Deo please. Jamani taarifa hii isiwe ya kweli
Hizi habari ziko confirmed.moja ya ccm chopper imeanguka na kuungua moto majira ya saa moja usiku huko Selous.Waliofika hawajaona mtu wa kumwokoa,ilikuwa tayari usiku.Kuhusu nani na nani alikuwemo tusubiri asubuhi.Ila inasemekana ni Helicopter iliokodiwa na Deo kutoka Kenya.Ccm wana chopper kama 4 au 5 hivi.Tuvute subira hadi kukuche for latest.
Duh! Poleni majeruhi .
😨😨⚠⚠⚠⚠🚑🚑
Ebu njoo na habari kamili, acheni pupa...!!
Nimejaribu kumpigia Deo hapatikani namba zote!
Kama ni kweli uchaguzi wa mwaka huu yasipofanyika mabadiliko bila shaka Mungu na mizimu itaulaani na maumbile yatatushangaa!
Nimejaribu kumpigia Deo hapatikani namba zote!