Kama kuna Helkopta iliyoanguka basi siyo ya CCM. Uongozi wa chama umethibitisha uwepo wa chopa zote bila tatizo lolote
Nna ugomvi na ccm but sio kwa Deo aisee..Mungu awaepushie hao manusura madhara zaidi.
Adui mwombee njaa tu. Sivema kushabikia kifo ila wkt mwingine huenda Mungu anamakusudi yake kuwaondoa hawa ma Ccm mmoja baada yamwingine ili watanzania tufike mahala tuishi kamatuko peponi kupitia rasilimali zetu.
Tunakuomba ewe mola wetu mtukufu uendelee kutuondolea kilamwenye nia mbaya nandoto zetu sisi waja wako, ndoto zakuishi salama ktk nchi yetu hii yenye kila aina yaneema ulizotujaalia.
Kila mpenda mabadiliko na aseme- Amen.
Tumesikia habari za chopa kuanguka huko Selous. Mungu aepushe kusiwe na majeruhi. Chopa zote zinazotumiwa na CCM kwenye kampeni ziko salama.
#J. Makamba
Hahahaha nimekusoma mkuu.......