TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

Nimejiuliza sana Deo ni wapi amepata jeuli ya pesa za kukodi chopa wakati jimboni kwake hana upinzani wa kumtisha? uchaguzi wa Ludewa ulikuwa ni kukamilisha ratiba tu lakini mbunge ni Deo je ni kwa nini atumie gharama zote hizi wakati yeye anatoka familia masikini? bado najiuliza sana hili swali.
 
Duh kwa kweli kifo cha Deo binafsi kimeniuma sana,alikuwa kijana mchapa kazi na alikuwabalika sana na watu wote,MUNGU ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi AMINA
 
inah lilah wainah lillah raiun, its very sad to loose kiongoz like Deo, Mtetezi wa wanyonge, mchapakazi. Rest in peace
 
RIP Mzee Silaa, RIP Kaka Deo Filikunjombe

Mungu azifariji familia zote zilizopatwa na msiba huu mkubwa.
 
wasipojenga mahekalu mwaka huu basi hawajengi tena ,yule ivorian kampiga mzee Mapadlock na hili sakata bilion 1.7 kamakamba nako kanataka kujinasua na hili sakata, makamba amekesha usiku kucha akiomba jamaa wasife ili lawama iwe kwa chopa tu na sio uhai ,ona sasa umewaacha watu wajane na mayatima kwa ufisadi na kuiga vitu usivyokuwa na uwezo navyo ,Bwana alitoa chopa imetwaa Makamba na CCM walaumiwe
 
Nimejiuliza sana Deo ni wapi amepata jeuli ya pesa za kukodi chopa wakati jimboni kwake hana upinzani wa kumtisha? uchaguzi wa Ludewa ulikuwa ni kukamilisha ratiba tu lakini mbunge ni Deo je ni kwa nini atumie gharama zote hizi wakati yeye anatoka familia masikini? bado najiuliza sana hili swali.

Tatizo ni kutumika mkuu. Angepunguza risk kwa kuamua kubaki jimboni tu.
 
January anahusika vipi?
nani ni wataalam wa kutoa go ahead iwapo helicopter hiyo ni nzima na inafaa?
mamlaka husika zilishiriki?
january ndio kampeni manager fungu lote analo yeye na ndio msemaji pia wa mapadlock hii ni baada ya kinana kuzingua
 
Nashukuru sana kwa taarifa hii na namwombwa MWENYEZI MUNGU IWE HIVYO yaani hakuna ajali hiyo regardless amebebwa nani.

Baadhi ya comment hapo juu zinadhihirisha kuna WATU na viatu hapa duniani! Yaana mtu unajitoa ufahamu na kumwombea kifo mwezio!!!

CCM Haiaminiki tena. R.I.P Comred Fil.
 
Give us a break! Je January alifanya due diligence ya Chopa hiyo(zo)??!! alijiridhisha kwamba chopa hiyo ni salama?!
 
"Ee Mungu wetu turehemu Watanzania ambao tunaangamia kwa kupotelewa na ndugu zetu! tusaidie!. warehemu na marehemu wetu! Yamkini tumetenda mambo ambayo yamesababisha uruhusu mauti kwa ndugu zetu! sisi ni wanadam tunahitaji msaada wako! tusaidie kwani sote tumeumbwa na wewe Mungu wetu! na tuna tambua Uungu wako turehemu ee Mungu wetu kwakuwe wewe ni mwingi wa rehema na hukai na hasira milele Amina."

Poleni sana ndugu zetu mliofiwa na ndugu wa karibu! tunawaombea kwa Mungu awape uvumilivu katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na wapendwa weno! Mungu awalinde!

Namna ulivyoandika, na ikiwa kweli yametoka ktk sakafu ya moyo wako, YAMESIKIWA na Muumba,

Nimependa, Huu ndio utaifa kwanza siasa baadae.
 
January anahusika vipi?
nani ni wataalam wa kutoa go ahead iwapo helicopter hiyo ni nzima na inafaa?
mamlaka husika zilishiriki?

Yeye ndiye alizikodi helicopter zinazotumika na ccm,na amethibitishe.

Kitakachofuata sasa ataikana account yake ya mtandao.
 
Wewe nawe !!!

Na ile helicopter aliyopiga nayo chini Nassari ilikuwa nzima?
 
Back
Top Bottom