Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Nimejiuliza sana Deo ni wapi amepata jeuli ya pesa za kukodi chopa wakati jimboni kwake hana upinzani wa kumtisha? uchaguzi wa Ludewa ulikuwa ni kukamilisha ratiba tu lakini mbunge ni Deo je ni kwa nini atumie gharama zote hizi wakati yeye anatoka familia masikini? bado najiuliza sana hili swali.