Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Give us a break! Je January alifanya due diligence ya Chopa hiyo(zo)??!! alijiridhisha kwamba chopa hiyo ni salama?!
Najiuliza hivi Makamba January baada ya kusema ndege zote za CCM za kampeni ziko salama kumbe sio kweli atatuambiaje sasa
ITV/RADIO ONE kututhibitishia kuwa Deo na wenzio wako salama salimini kumbe sio kweli tuwaeleweje??
Najiuliza hivi Makamba January baada ya kusema ndege zote za CCM za kampeni ziko salama kumbe sio kweli atatuambiaje sasa
ITV/RADIO ONE kututhibitishia kuwa Deo na wenzio wako salama salimini kumbe sio kweli tuwaeleweje??
wasipojenga mahekalu mwaka huu basi hawajengi tena ,yule ivorian kampiga mzee Mapadlock na hili sakata bilion 1.7 kamakamba nako kanataka kujinasua na hili sakata, makamba amekesha usiku kucha akiomba jamaa wasife ili lawama iwe kwa chopa tu na sio uhai ,ona sasa umewaacha watu wajane na mayatima kwa ufisadi na kuiga vitu usivyokuwa na uwezo navyo ,Bwana alitoa chopa imetwaa Makamba na CCM walaumiwe
Wao itv wamepata habari kutoka kwa makamba labda.Najiuliza hivi Makamba January baada ya kusema ndege zote za CCM za kampeni ziko salama kumbe sio kweli atatuambiaje sasa
ITV/RADIO ONE kututhibitishia kuwa Deo na wenzio wako salama salimini kumbe sio kweli tuwaeleweje??
Mkuu baada ya kuisoma hiyo habari nilishangazwa sana na huyo Jerry hivi kweli ameshindwa kumshukuru hata huyu?
Hivi hakuna namna yoyote akashtakiwa huyu?
Aaah wapi,Jimbo la Ludewa liitwe Filikunjombe. Huyu kijana kwa kweli nashindwa kupata maneno sahihi ya kumwelezea. Alikuwa shujaa wa kweli.
Ovyo kabisa huyu mfiwa.. Sijui ndio panic ya msiba au vipi. Ila sioni mantiki ya kumshukuru JK na kumwacha huyu aliyehangaika kutuma watu usiku kucha. Na huyo Magufuli ndiye hapaswi kabisa kuwepo kwenye shukrani..
Najiuliza hivi Makamba January baada ya kusema ndege zote za CCM za kampeni ziko salama kumbe sio kweli atatuambiaje sasa
ITV/RADIO ONE kututhibitishia kuwa Deo na wenzio wako salama salimini kumbe sio kweli tuwaeleweje??
Manyerere, come on mzee mwenzangu. You are better than this. Please! By the way, yule msafiri wetu hajafika bado? Maana Ndege ya mchana imeshatua kimya; labda tusubirie ile ya mwisho.BBMJimbo la Ludewa liitwe Filikunjombe. Huyu kijana kwa kweli nashindwa kupata maneno sahihi ya kumwelezea. Alikuwa shujaa wa kweli.