Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo .. Tony anthony akili zake kama februaryWewe jamaa ni mtu wa ajabu sana...Aisee yani mmmm...
Punde kidogo nimekusoma hapo nyuma ukisema kuwa Deo yuko ok, mara ukasema shughuli za uokoaji zinaendelea fresh tu ila shida ni kwamba watanzania hawasimami kwenye position zao! ndio maana hata magari ya zima moto yanakuwaga hayana maji kwa hiyo sio kosa la serikali, mara ukasema kikwete shida yake ni kwa vile ni mpole tu, mara ukasema wabunge wachaguliwe wa upinzani ila raisi awe magufuli...
Wewe jamaa ni mtu mwenye mambo vijiweni sana, ndo maana muda mwingi uko busy hapa kuwatoa watu nje ya mada, watu hapa wanatoa condolences wewe unaongelea ruzuku za chadema khaaa...sasa naona uko busy kushabikia na ku-boost ushirikina...dah!!!
Najiuliza hivi Makamba January baada ya kusema ndege zote za CCM za kampeni ziko salama kumbe sio kweli atatuambiaje sasa
ITV/RADIO ONE kututhibitishia kuwa Deo na wenzio wako salama salimini kumbe sio kweli tuwaeleweje??
Akili mgando kama hizi hapa duniani zinapatikana ccm tu.
Jamii tuache utani na mungu kwa sababu si mjomba wako akuna wa kumchagulia mtu wa kumchukua kwa namna yoyote anavyo yeye inafaa
hawa wanaokosoa kazi ya Mungu wanafikiri kuna binadamu wana haki ya maisha kuliko wengine? Ni ajali imetokea aliyekuwepo amekufa sasa kuanza kumlaumu Mungu ni ukosefu wa akili sababu mtu hawezi kuishi milele na siku yako ikifika hauwezi kwepa hata kama we rais siku hiyo utakufa tu.Kama ulimpenda sanaaa nakushauri siku anazikwa uzikwe pamoja naye uudhihirishie umma upendo wako kwake.
USIMRUSHIE MUNGU MADONGO ASIJE AKATULETEA SUNAMI NA MAVOLKANO TUHANGAIKE NAYO.
Huyu jerry nae ovyo sana.. Sasa anamshukuru Magufuli kwa lipi??
Mungu Halaumiwi, Ni Kosa Kubwa Kusema Mungu Hajatutendea Haki, Wkt Wapo Watu Muhm Duniani Kuliko Filikunjombe Na Wamekufa.
Mshukuruni Mungu Kwa Kila Jambo.
Nimejiuliza sana Deo ni wapi amepata jeuli ya pesa za kukodi chopa wakati jimboni kwake hana upinzani wa kumtisha? uchaguzi wa Ludewa ulikuwa ni kukamilisha ratiba tu lakini mbunge ni Deo je ni kwa nini atumie gharama zote hizi wakati yeye anatoka familia masikini? bado najiuliza sana hili swali.
Wanaukumbi.
Nyeti toka Lumumba zinathibitisha pasi na shaka kuwa January Makamba anataka kukwepa lawama.
Ccm imekodi chopa kadhaa na kukabidhi kwa makada waka akiwemo Filikunjombe (R.I.P) na alikabidhiwa kupambana na nguvu ya Lowassa Iringa,Mbeya na Ruvuma.
Kwa nini alijihami toka jana kuwa iliyopata ajali haipo ktk mahesabu ya chama?
Je anakwepa kutuhumiwa kukodi chopa mbovu?
Aje hapa akanushe apewe ushahidi.
Mtoi alinitoa machozi na leo Deo filikunjombe kanitoa machozi na nitatokwa na chozi kwa kila mpenda haki.msemakweli na muwazi.rip Deo.Shocking news. Cha Mohamed Mtoi kiliniuma sana, na chako Deo kimeniumiza mno. Gone too soon! RIP.
Huyo makamba anajifanya mjuaji sana! Atakuwa kaenda kukodisha helikopta hizo bila kwenda na wataalam, Anakodisha helikopta hizo utafikiri Anakodisha chup za mke wke.Hivi inaingia akilini Mbunge ambaye tayari ana Uhakika wa kushinda akodi chopa kwa gharama zake apige nayo kampeni?? Hizo pesa yeye katoa wapi??
January is fully responsible hapa ila analeta ujanja ujanja tu