TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

Nimejiuliza sana Deo ni wapi amepata jeuli ya pesa za kukodi chopa wakati jimboni kwake hana upinzani wa kumtisha? uchaguzi wa Ludewa ulikuwa ni kukamilisha ratiba tu lakini mbunge ni Deo je ni kwa nini atumie gharama zote hizi wakati yeye anatoka familia masikini? bado najiuliza sana hili swali.
 
Duh kwa kweli kifo cha Deo binafsi kimeniuma sana,alikuwa kijana mchapa kazi na alikuwabalika sana na watu wote,MUNGU ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi AMINA
 
inah lilah wainah lillah raiun, its very sad to loose kiongoz like Deo, Mtetezi wa wanyonge, mchapakazi. Rest in peace
 
RIP Mzee Silaa, RIP Kaka Deo Filikunjombe

Mungu azifariji familia zote zilizopatwa na msiba huu mkubwa.
 
wasipojenga mahekalu mwaka huu basi hawajengi tena ,yule ivorian kampiga mzee Mapadlock na hili sakata bilion 1.7 kamakamba nako kanataka kujinasua na hili sakata, makamba amekesha usiku kucha akiomba jamaa wasife ili lawama iwe kwa chopa tu na sio uhai ,ona sasa umewaacha watu wajane na mayatima kwa ufisadi na kuiga vitu usivyokuwa na uwezo navyo ,Bwana alitoa chopa imetwaa Makamba na CCM walaumiwe
 

Tatizo ni kutumika mkuu. Angepunguza risk kwa kuamua kubaki jimboni tu.
 
January anahusika vipi?
nani ni wataalam wa kutoa go ahead iwapo helicopter hiyo ni nzima na inafaa?
mamlaka husika zilishiriki?
january ndio kampeni manager fungu lote analo yeye na ndio msemaji pia wa mapadlock hii ni baada ya kinana kuzingua
 

CCM Haiaminiki tena. R.I.P Comred Fil.
 
Give us a break! Je January alifanya due diligence ya Chopa hiyo(zo)??!! alijiridhisha kwamba chopa hiyo ni salama?!
 

Namna ulivyoandika, na ikiwa kweli yametoka ktk sakafu ya moyo wako, YAMESIKIWA na Muumba,

Nimependa, Huu ndio utaifa kwanza siasa baadae.
 
January anahusika vipi?
nani ni wataalam wa kutoa go ahead iwapo helicopter hiyo ni nzima na inafaa?
mamlaka husika zilishiriki?

Yeye ndiye alizikodi helicopter zinazotumika na ccm,na amethibitishe.

Kitakachofuata sasa ataikana account yake ya mtandao.
 
Wewe nawe !!!

Na ile helicopter aliyopiga nayo chini Nassari ilikuwa nzima?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…