Heshima kwenu Wakuu,
Kuna habari zinasambaa kwamba kuna Chopa ilikua imebeba Makada wa CCM imepotea ikiwa inaelekea Njombe.
Taarifa zinasema, wakati inaondoka ilishindwa kupaa lakini mwisho wa siku ikawa imepaa.
Hadi sasa sijajua kipi ni kipi. Hivo nimeileta hii habari kama tetesi ili mwenye taarifa za mwanzo atujuze.
Asanteni sana.
Nashukuru sana kwa taarifa hii na namwombwa MWENYEZI MUNGU IWE HIVYO yaani hakuna ajari hiyo regardless amebebwa nani.
Baadhi ya comment hapo juu zinadhihirisha kuna WATU na viatu hapa duniani! Yaana mtu unajitoa ufahamu na kumwombea kifo mwezio!!!
Au ndio iliyombeba Katibu wa chama inasemekana hata huko Tunduma aliahidi kutokea saa sita hajatikea mpaka muda huo!!
Mwenye Namba ya Nape Tafadhari
BACK TANGANYIKA
Umeona eeeeh?Kama ni kweli mbona uchaguzi wa mwaka huu utakua ni kiyama kwa wanasiasa huenda matunguri wanayokwenda kufukiziwa na waganga wa kienyeji kwa kutumia viungo vya albino ili pate madaraka yameanza kuwatafuna wenyewe.
Upendo,utu,heshima na ubinadamu havina budi kututawala na kutawala fikra zetu,mihemuko yetu,maneno yetu,mawazo yetu,nia zetu,matamanio yetu despite having differences in political perspectives,ideologies etc...Mungu mwema ibariki Tanzania
UKAWA baada ya kushindwa SIASA na kuzisoma namba kuwa IKULU imeponyoka wameanza kuzusha habari za uongo na kutishia watanzania...... Ni Kwa Sababu hii NDIO TUNAIRUDISHA MADARAKANI CCM tena Kwa KISHINDO!
makada gani walikuwemo?
= Tafadhali
Taarifa za hivi punde ni kuwa helkopta inayotumiwa na CCM ktika kampeini imeanguka katika katika mbunga ya selou eneo la msolwa na kuwaka moto bado haijafahamika waliofariki au kujeruhiwa.kwamba ilikuwa na abiria wanne akiwemo ruban cpt Slaa ilitoka Dar kwenda iringa .Pia inasemekana Deo filkujombe alikuwa mmoja wa abiria.
Taarifa hizi bado ni TETESI.tutakujuza updates
Nashukuru sana kwa taarifa hii na namwombwa MWENYEZI MUNGU IWE HIVYO yaani hakuna ajari hiyo regardless amebebwa nani.
Baadhi ya comment hapo juu zinadhihirisha kuna WATU na viatu hapa duniani! Yaana mtu unajitoa ufahamu na kumwombea kifo mwezio!!!
Wakat lowassa anombewa kufa na makada wenzio hukuwakemea kabisa,leo ndo unajua ubinaadamu?
Ukweli tutaujua kesho😭
UKAWA baada ya kushindwa SIASA na kuzisoma namba kuwa IKULU imeponyoka wameanza kuzusha habari za uongo na kutishia watanzania...... Ni Kwa Sababu hii NDIO TUNAIRUDISHA MADARAKANI CCM tena Kwa KISHINDO!
Weka siasa pembeni kwenye mambo mazito wewe unaesema mabadiliko yasipofanyika