Apologise lady
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 5,979
- 3,105
Kukurupuka tu.......ilikuwa rahisi sana.......angepiga simu tower ya ilipoondokea......then aulize.........wangemwambia.......akiwa kama waziri wa mawasiliano.......alitakiwa achukue hatua hiyo mwanzo........
sasa mtu unakurupuka kutokea from nowhere........unakana kuwa ndege zetu zote zipo salama........au ilikuwa ni dhambi kwa hiyo chopa kuruka.......?.......kukana kwao inawezekana ndiko kulikosababisha wapendwa wetu kukosa msaada mapema........&$#¥o kabisa.....
watu wengine wanaboa sana........
Huyo anaesema chopa zao zilikuwa salama.......alitoa wapi hiyo taarifa......?.....au Bumbuli.....?......hawana mawasiliano ndani ya chama chao.....?......
Iweje muwe na ndege msijue ipi ipo hewani.......na ipi hairuki.....?......
Kweli CCM wanazidi kujimaliza wenyewe kwa uongo bila kujua........
Kuna habari kuwa chopa lililokita chini huko selous ilikuwa imebeba fedha kiasi cha 10b hizi ilikuwa nikwaajili ya kwenda kuuwa upinzani nyanda za juu kusini,
Mamito hawa watu wote ni watu wakukurupa sana, jambo dogo kama hilo halikuhitaji mtu kukimbilia kujitetea kabla ya uchunguzi, mi nimemdharau tangu hapo.
Mamito hawa watu wote ni watu wakukurupa sana, jambo dogo kama hilo halikuhitaji mtu kukimbilia kujitetea kabla ya uchunguzi, mi nimemdharau tangu hapo.
Kukurupuka tu.......ilikuwa rahisi sana.......angepiga simu tower ya ilipoondokea......then aulize.........wangemwambia.......akiwa kama waziri wa mawasiliano.......alitakiwa achukue hatua hiyo mwanzo........
sasa mtu unakurupuka kutokea from nowhere........unakana kuwa ndege zetu zote zipo salama........au ilikuwa ni dhambi kwa hiyo chopa kuruka.......?.......kukana kwao inawezekana ndiko kulikosababisha wapendwa wetu kukosa msaada mapema........&$#¥o kabisa.....
watu wengine wanaboa sana........
Preta huyu hamna kitu, ndio wale wale wanaotetea mafasi za kifalmeAmenikwaza sana huyu jamaa.........sikumtegemea.......
January kukurupuka karithi kutoka kwa baba yake
Usiku wa kuamkia leo October 16 2015 headlines za siasa Tanzania zimetawaliwa na ajali ya Helikopta ambayo imeanguka na kulipuka kwenye mbuga ya Wanyama ya Selous ambapo Waziri wa maliasili na utalii Lazaro Nyalandu alithibitisha kwamba mmoja wa waliokuwemo ndani ni Mbunge wa Ludewa Deo Filikunjombe (CCM).
Katika taarifa nyingine kutoka upande wa CCM iliyotolewa na naibu waziri wa mawasiliano sayansi na teknolojia January Makamba mida ya saa sita usiku ilisema >>> Tumesikia habari za chopa kuanguka huko Selous. Mungu aepushe kusiwe na majeruhi. Chopa zote zinazotumiwa na CCM kwenye kampeni ziko salama
Baadae aliandika >>> Kwakuwa ilisemekana kuwa chopa ya kampeni ya CCM imeanguka, tulifuatilia/kubaini/kuripoti kuwa tulizokodi kama Chama hakuna iliyoanguka hiyo ndio ilikua tweet ya mwisho kuandika na January Makamba usiku huo lakini badae aliRT kilichoandikwa na Waziri Nyalandu na Zitto Kabwe.
ZITTO through FB >>>> Ndugu yetu, rafiki yetu na mzalendo mwenzetu DeoFilikunjombe ametutoka kufuatia ajali ya helkopta.Nawasihi tuwe na utulivu wakati huu mgumu
ZITTO through FB >>>> Naomba utulivu.1)ajali ya helkopta imethibitishwa 2)kuwaka hakujathibitishwa 3)ndugu yangu Deo alikuwamo 4)hakuna uthibitisho wa madhara...
kandiliyetu.com