TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

Kukurupuka tu.......ilikuwa rahisi sana.......angepiga simu tower ya ilipoondokea......then aulize.........wangemwambia.......akiwa kama waziri wa mawasiliano.......alitakiwa achukue hatua hiyo mwanzo........
sasa mtu unakurupuka kutokea from nowhere........unakana kuwa ndege zetu zote zipo salama........au ilikuwa ni dhambi kwa hiyo chopa kuruka.......?.......kukana kwao inawezekana ndiko kulikosababisha wapendwa wetu kukosa msaada mapema........&$€#¥o kabisa.....
watu wengine wanaboa sana........

Mamito hawa watu wote ni watu wakukurupa sana, jambo dogo kama hilo halikuhitaji mtu kukimbilia kujitetea kabla ya uchunguzi, mi nimemdharau tangu hapo.
 
CCM kwao wanawaza ushindi,usalama baadae, makamba amekurupuka sana kutweet hiyo
habari, hatuna waziri hapo,
 
Huyo anaesema chopa zao zilikuwa salama.......alitoa wapi hiyo taarifa......?.....au Bumbuli.....?......hawana mawasiliano ndani ya chama chao.....?......
Iweje muwe na ndege msijue ipi ipo hewani.......na ipi hairuki.....?......
Kweli CCM wanazidi kujimaliza wenyewe kwa uongo bila kujua........

Wala usiumize akili mkuu, makamba ni mlopokaji tu, mimi ua najihuliza alipitaje kuwa kwenye 5 bora ya uraisi. siyo mtu wa kutafakari kwanza. hachana nae tu
 
Mamito hawa watu wote ni watu wakukurupa sana, jambo dogo kama hilo halikuhitaji mtu kukimbilia kujitetea kabla ya uchunguzi, mi nimemdharau tangu hapo.

Amenikwaza sana huyu jamaa.........sikumtegemea.......
 
Sijategemea mtu ambaye anaajiita msomi mpaka kupewa dhamana ya uwaziri kukurupuka hivi , halafu eti ndio angepitishwa kugombea urais huyu.Kutokuwa na patience ndio kunako wa cost hawa watu na hii yote inatokana na lack of busara na dharau.
 
Waziri wa mawasiliano alieshindwa kutumia mawasiliano kupata taarifa kavla hajataarifu umma....na yeye anataka kuonekakana wazir msomi katika baraza la mawazir la Dk JK
...sipat picha kwa watendj wake
 
Kwa hali hii bora nitembee kwa kutumia makongoro yangu hata kama tatumia mwezi mzima😕 (miguu)
 

Attachments

  • 1445059610454.jpg
    1445059610454.jpg
    131.8 KB · Views: 627
Kukurupuka tu.......ilikuwa rahisi sana.......angepiga simu tower ya ilipoondokea......then aulize.........wangemwambia.......akiwa kama waziri wa mawasiliano.......alitakiwa achukue hatua hiyo mwanzo........
sasa mtu unakurupuka kutokea from nowhere........unakana kuwa ndege zetu zote zipo salama........au ilikuwa ni dhambi kwa hiyo chopa kuruka.......?.......kukana kwao inawezekana ndiko kulikosababisha wapendwa wetu kukosa msaada mapema........&$€#¥o kabisa.....
watu wengine wanaboa sana........

Halafu ndiyo ana ndoto za kuja kuwa Rais wa Tanzania! Mwigulu alipost tweeter kitu ambacho kilimaliza uzushi wa Makamba maana watu walistick kuwa chopa zote za CCM zipo salama.
 
Dogo makatani jr hua ni mkurupukaji sana kwa wasio mfaham sasa wamfaham na ndie aliye shirikiana na Eyakuzweee wa shirika la Twawezeshwa na fisiemu kutengeneza tafiti bandia na kutoa matokeo yao.

fisiemu welemewa hali yao mbaya acha waendelee na push up zao huku walijianda kisaikolojia kukabidhi madaraka.
 
Mi mpaka sasa sielewi wale wengine wawili walikuwa akina nani,hawa watu wa anga wanakomalia taratibu kwa chopa za CHADEMA tu za CCM ni untouchable,walaaniwe maana wangeweza hata kuokoa maisha ya wenzetu
 
Kukurupuka sio kuzuri sana, sijui ataficha wapi sura yake akienda kwenye msiba wa Deo, maana aliwaaminisha watu kua yu mzima...
Pia wale wote waliosema simu ziliita na kutopatikana tena ni waongo, maana kama iliwaka moto hata simu isingesema kitu
 



makamba.jpg


Usiku wa kuamkia leo October 16 2015 headlines za siasa Tanzania zimetawaliwa na ajali ya Helikopta ambayo imeanguka na kulipuka kwenye mbuga ya Wanyama ya Selous ambapo Waziri wa maliasili na utalii Lazaro Nyalandu alithibitisha kwamba mmoja wa waliokuwemo ndani ni Mbunge wa Ludewa Deo Filikunjombe (CCM).



Katika taarifa nyingine kutoka upande wa CCM iliyotolewa na naibu waziri wa mawasiliano sayansi na teknolojia January Makamba mida ya saa sita usiku ilisema >>> ‘Tumesikia habari za chopa kuanguka huko Selous. Mungu aepushe kusiwe na majeruhi. Chopa zote zinazotumiwa na CCM kwenye kampeni ziko salama‘


Baadae aliandika >>> ‘Kwakuwa ilisemekana kuwa chopa ya kampeni ya CCM imeanguka, tulifuatilia/kubaini/kuripoti kuwa tulizokodi kama Chama hakuna iliyoanguka‘ hiyo ndio ilikua tweet ya mwisho kuandika na January Makamba usiku huo lakini badae aliRT kilichoandikwa na Waziri Nyalandu na Zitto Kabwe.



ZITTO through FB >>>>
Ndugu yetu, rafiki yetu na mzalendo mwenzetu DeoFilikunjombe ametutoka kufuatia ajali ya helkopta.Nawasihi tuwe na utulivu wakati huu mgumu

ZITTO through FB >>>> Naomba utulivu.1)ajali ya helkopta imethibitishwa 2)kuwaka hakujathibitishwa 3)ndugu yangu Deo alikuwamo 4)hakuna uthibitisho wa madhara...


kandiliyetu.com

Haya ndio madhara ya Chopa za 10% , CCM kila kitu kwa ni kupiga dili hata kwenye maisha yao wenyewe.

RIP Deo Mungu akuweke mahala pema, wewe ndio ulikuwa mpiganaji wa ukweli ndani ya CCM. Daima tutakukumbuka kwa mchango wako katika Taifa letu. Tunakushukuru kwa uzalendo wako na hatutokusahau ndani ya mioyo yetu
 
Hivi uwaziri wa Mawasiliano kwa January Makamba ni A. K. A au kazi?
 
Makamba ndiye aliyeenda kuzikodi na ku saini mikataba ya hizo chopa zote zinazotumika. Bila shaka kuna madudu anayajua kuhusu hizo chopa ndio maana akakanusha kwani inaweza ikamweka pabaya. Ya Mwigulu Jumatano au Jumanne, iligoma kuwaka, ya Deo ndo hiyo imelipuka, ya Livingstone Lusinde nayo jana iligoma kuwaka, kunani? Kwa maoni yangu, huyu jamaa achunguzwe kuhusu deal la hizi Chopa.
 
Back
Top Bottom