Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu apishe salama.....kwa waanga...
Lakini hvi ndani ya ccm....ukimuona mtu ni kiongoz au kijana au mtu mzima ni mpka kuwe na ukoo wote humo?? solomoni slaa dereva wa helcopter.....ya ccm kampen...huyu ni baba yake jerry slaa, diwani na meya wa ilala....!! hvi sisi baba zetu waliokuwa wanafanya viwanda vya zana za Kilimo UFI....tusubiri kufa kuingia ktk mfumo huu.....
ama kwweli kuondoa ccm ni muhimu ni kuondoa mfumo huu wa koo na familia katika kututawala.....shame,,,,,
Acha hizo,mimi ni mpinzani ila Deo Filikunjombe hanaga noma.Hiyo chopa alitakiwa awe Nape!
Hapa ndipo tunatakiwa tuone uimara wa serikali na hasa wizara husika. Haiwezekani toka jana jioni mpaka sasa ivi tuelezwe tu kuwa ilipoangukia Chopa hapafikiki.. So???
Mwaka huu mengi sana yanawafanya mshindwe uchaguzi mkuu. Shame upon u gambaz....!!
Mpaka afe baba yako ndo mabadiliko unayotaka ndo yatokeeKama ni kweli uchaguzi wa mwaka huu yasipofanyika mabadiliko bila shaka Mungu na mizimu itaulaani na maumbile yatatushangaa!
Nyie Kwani Ruzuku Mnavopokea Mnajua Ni Kodi Ya Nani?
Chopa Na Nyie Mmenunulia Nini Kama Na Nyie Sio Wezi?
Lets be Rational Mkuu,kweli Hivi Inaingia Akilini Mnanunua Chopa Afu Mnaishi Nyumba Ya Kupanga,tena Isiyojielewa Kama Kweli Hii Ni Nyumba Ya Chama Kikuu Cha Upinzani?
Sijasema chopa ni za CHADEMA mkuu ,halafu reasoning yako ya Leo ni tofauti Sana na ya Jana ....kwa hiyo kutokufanya renovation ndio maana kwamba hauna hela ?? Hivi unajua ni Wa kina Nani waliojenga hizo office za Ccm mnazojigamba nazo ??
Vile vile CHADEMA wanaenda ikulu watajenga tu makao makuu ya chama
Hujanijibu swali chopa sh ngapi ??
--->kunakijana kapita selous anadai amewakuta jamaa na cubs wao wameshiba balaa!....we mola epusha majanga mwaka huu.
Acheni uchochezi na kupotosha ukweli. Mwandosya hakusema amesusa bali alichosema ni kuwa anahamia kijijini kwao LUFILYO kwasababu amestaafu siasa. Kustaafu na kususa ni vitu mbali mbali ; muwe waangalifu na hayo mnayoandika!!
Haya mmeshasema sana hata yale yasiyohusiana na thread hii, sasa hivi ni 9.53 am jee Deo na wenzake wamepatikana?