UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,673
- 12,265
Kuwakomboa Watu Kifikra Kungeweza Kufanyika Hata Kama Chopa Zisingetumika Unless Other Wise M4c Haikueleweka....
M4C ingekua haijaeleweka Magufuli asinge copy hiyo Logo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwakomboa Watu Kifikra Kungeweza Kufanyika Hata Kama Chopa Zisingetumika Unless Other Wise M4c Haikueleweka....
Mkuu Hizo Cost Zote Hazizuii Nyie Kujenga Ofisi,viongozi Wenu Wameshindwa Kuplan Na Kuorganize Vitu.....Niambie Ruzuku Kwa Mwezi Mnapokea Sh. Ngap Na Hivo Vitu Vinacost Sh.Ngap?
Hadi CCM itoke madarakani
Hebu acha uwehu wewe..
kulikua na haja huyu bwa mdogo kutanguliza BABA YANGU?anyway tuwaombee heri kwanzaTuko pamoja
We gamba skia a baki kwenye mada! Tambua serikali yako hii ya ccm ni ya kingese sana inapokuja suala la uokoaji hawaweziKuwakomboa Watu Kifikra Kungeweza Kufanyika Hata Kama Chopa Zisingetumika Unless Other Wise M4c Haikueleweka....
Insu ya mwamunyange sasa imezimwa na ajari ya chopa.. Hivi inawezekana kweli toka jana mpaka leo hakuna taarifa zozote hii nchi sasa tunakoenda siyo kuzuri.
Nimeshangazwa sana na ajali ya Jana ya helicopter. Nilitegemea mpaka sasa ningepata taarifa juu ya kinachoendelea lakini cha sangaza naona kimya mpaka sasa. Serikali haina team ya snag ya uokozi KWA miaka 50 ya uhuru.
Mbona chama chako kinapokea ruzuku kubwa kuliko vingine lakini mnakodi chopa nje ya nchi
Kweli nyani haoni..........
Pia hakuna taarifa yoyote ya aliyepona iliyoripotiwa.Waziri wa mali hasili na utalii ndugu Lazaro Nyalandu amethibitisha kuwa chopa iliyombeba Deo Filikunjombe ililipuka baada ya kuanguka kando ya mto Ruaha kwenye hifadhi ya wanyama ya Selous (kitalu F2)
Nyalandu anasema kuwa alihibitishiwa na askari wa hifadhi hiyo kuwa chopa hiyo ilionekana kulipuka ingawa hakuna taarifa yoyote ya majeruhi wala vifo. Pia Nyalandu anathibitisha kuwa ndani ya Chopa hiyo alikuwepo Deo Filikunjombe.
Anaendeleza kusema kuwa amewaagiza RC wa Morogoro pamoja na RPC wa Morogoro kufika eneo la tukio huku akiagiza Chopa maalum za hifadhi hiyo kutumika katika uokozi.
Narudia tena hakuna taarifa yoyote ya majeruhi na vifo iliyoripotiwa.
Mods, kwa kuwa hii ni taarifa ya waziri wa mali hasili na utalii mwenye uwezo wa kupata taarifa za kina kuhusiana na mambo yanayotokea katika hifadhi na imethibitishwa na wanahabari; basi ni vyema mkaiacha huru au kuangalia namna ambavyo inaweza kusomwa na wanajukwaa.
Jibu swali we gamba!yaani tangu jana na mpka leo serikali yko hii ya kim@# umeshindwa kuwapata. ....si ajabu washakuwa chakula cha wanyama Pori!Kwani Si Unaona Dodoma Tumejenga Nini?
M4C ingekua haijaeleweka Magufuli asinge copy hiyo Logo