TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

Tunaweza Bwana,wewe Tu Unaiundermine..
Halafu Tatizo Pia Linakuja Mahali Ajali Ilipotokea....
Licha Ya Hivo Kuna Matatizo Ya Vifaa Lakini Tunajitahidi Mkuu......Hiyo Ajali Haiwezi Ikatufanya Tuombe Msaada South...
Mnaweza nini! Ajali ngapi zilitokea uokoaji ukifanyika huwa ni mbovu.
Natamani itokeee balaaa tena familiaa yako iwepo...Ndiyo utajua serikali yako hii uokoaji wanaufanyaje! Acha kutetea ujinga
 
Shida kubwa inakuja.ndege wameiletankinyemela tcca pengine awana taarifa nayo ama.wanapooruka awatoi taarifa.kamili kwa.nini

kabla ya ndege kuruka lazima.capt.awe.na.weather anappkwenda...aone hali halisi.nazungumzia.metrr.na.taf...

Hapo ikitokea ukakuta hali imebadilika first dec n.kugeuza mlipotoka kama n.karibu ama alt airport yabkaribu. Akinachoumiza wengi ni dec making ya marubani hasa wengi wakiamini uzoefu

1))waangalie ndege iko reg...
2))waangalie capt na.crew walioendesha leseni ziko valid
3))na wasiwasi na.miaka ya mzee wangu silaa kama.ajazidi 60+
je tcaa walimpa ext perm ya kuendelea kurusha.ndege??
4))je wana mtu anawapa haliya hewa nzima.kabla ya kuruka..

Ushauri pamoja nakwamba.n.za kampeni tcaa insp wafanye emrg chk bila.kuwambia popote pale na.kama aziridhishiiwe ya chadema.ama ccm ziwe grounded

safety first

mungu awalinde nimesoma.msg ya jerry nimesikitika sana itv wanasema wamepatikana.mtoto anasema tuwaombee waonekane.kwa.mnaojua ndege vizuri kama nikupona.kwenye ndege utolewe pale pale else wamelala usikumzima mungu aingilie kati

Pdidy uandishi wako huwa unaicha hoi.
 
Unajua kasema wanaotaka MABADILIKO wapigwe mimba!!!. Mzee anazeeka vibaya

Mzee huwa namheshim sana huyu ila hivi karibuni amekua akichefua sana, nilitarajia awe mfano wa kuigwa kwa hekima lakini kumbe hamna kitu
 
Sasa mpaka sahv bado haijafanyika uokoaji wowote au jitihada za kuwatafuta au kwanza inaundwa Tume ipangwe bajeti ndy waende huko, au labda serikali hii ya maficcm imegoma msaada south afrika kuja tz kuwatafuta....bora wafanye jitihada za haraka zaidi Pori hilo kuna wanyama wa kali
Wasijewaishiwa kufanywa kitoweoooo
 
Mmejenga kumbi ya Billion 50 angali mita 500 kutoka hapo unaingia Makulu ambako hakuna upatikanaji wa maji na watoto wa makulu shule ya msingi wanakaa chini..

Ujue Mkuu Ndomana Kila Siku Nasemaga Watz Hatusimami Katika Nafasi Zetu.Mbunge Wa Eneo Hilo Yupo Wapi Kuorganize Vitu Kufanikisha Kutengeneza Madawati?
Chama Kama Chama Tunatumia Ruzuku Yetu Kujenga Vitu Vyetu Hilo Swala La Shule Halikuwa Katika Mipango Ya Chama,hilo Jambo Ni Wajibu Wa Mbunge..Hatuwezi Kukata Ruzuku Zetu Ili Kutengeneza Madawati Kama Ilivo Nyinyi....
 
Mzee huwa namheshim sana huyu ila hivi karibuni amekua akichefua sana, nilitarajia awe mfano wa kuigwa kwa hekima lakini kumbe hamna kitu

Ccm wangekuwa na uadilifu wangempumzisha na mambo ya Kisiasa majukwaani. Lakini mtaji uliobaki kwao ni MATUSI. Angalia hata Mwigulu kule Musoma ni MATUSI tu.
 
Haijalishi.. Lakini hakukodiwa na chama

Issue siyo kukodiwa na Chama.
Ililetwa hapa Nchini kwa ajili ya kufanya shughuli gani?
Huyo February wenu alipokanusha hizi habari si angeeleza hilo mnalotaka kutuaminisha sasa?
 
Back
Top Bottom