kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,257
- 12,244
Jamani asije akawemo humo tu mzee wa kutuita malofa na wapumbav hehehe
Akiwemo hiyo mbona itakuwa poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani asije akawemo humo tu mzee wa kutuita malofa na wapumbav hehehe
Mnaweza nini! Ajali ngapi zilitokea uokoaji ukifanyika huwa ni mbovu.Tunaweza Bwana,wewe Tu Unaiundermine..
Halafu Tatizo Pia Linakuja Mahali Ajali Ilipotokea....
Licha Ya Hivo Kuna Matatizo Ya Vifaa Lakini Tunajitahidi Mkuu......Hiyo Ajali Haiwezi Ikatufanya Tuombe Msaada South...
Itakayofuata kulipuka ni ile ambayo Lowasa atakuwamo,Yeye ndo ilitakiwa awemo kwenye Chopa hiyo
Jamani asije akawemo humo tu mzee wa kutuita malofa na wapumbav hehehe
Huyu mzee bnja ana maneno ya kejeli sanaUnajua kasema wanaotaka MABADILIKO wapigwe mimba!!!. Mzee anazeeka vibaya
Shida kubwa inakuja.ndege wameiletankinyemela tcca pengine awana taarifa nayo ama.wanapooruka awatoi taarifa.kamili kwa.nini
kabla ya ndege kuruka lazima.capt.awe.na.weather anappkwenda...aone hali halisi.nazungumzia.metrr.na.taf...
Hapo ikitokea ukakuta hali imebadilika first dec n.kugeuza mlipotoka kama n.karibu ama alt airport yabkaribu. Akinachoumiza wengi ni dec making ya marubani hasa wengi wakiamini uzoefu
1))waangalie ndege iko reg...
2))waangalie capt na.crew walioendesha leseni ziko valid
3))na wasiwasi na.miaka ya mzee wangu silaa kama.ajazidi 60+
je tcaa walimpa ext perm ya kuendelea kurusha.ndege??
4))je wana mtu anawapa haliya hewa nzima.kabla ya kuruka..
Ushauri pamoja nakwamba.n.za kampeni tcaa insp wafanye emrg chk bila.kuwambia popote pale na.kama aziridhishiiwe ya chadema.ama ccm ziwe grounded
safety first
mungu awalinde nimesoma.msg ya jerry nimesikitika sana itv wanasema wamepatikana.mtoto anasema tuwaombee waonekane.kwa.mnaojua ndege vizuri kama nikupona.kwenye ndege utolewe pale pale else wamelala usikumzima mungu aingilie kati
Itakayofuata kulipuka ni ile ambayo Lowasa atakuwamo,
pls acha masihara, huyu jamaa ni ccm ila namkubali sana
Sasa Mbugani huko si kuna King wa Pori na Nyau wa Pori(Chui) Mungu uwaepushe ingawa wanatukana sana
Unajua kasema wanaotaka MABADILIKO wapigwe mimba!!!. Mzee anazeeka vibaya
Kumbe huna akili hivyo dah we itakua yatima au teja nafkria hapa nashindwa nkuweke kundi dah mkuu we ujieshimu afu huna busara
Mmejenga kumbi ya Billion 50 angali mita 500 kutoka hapo unaingia Makulu ambako hakuna upatikanaji wa maji na watoto wa makulu shule ya msingi wanakaa chini..
Deo ni mbunge anayewajibika kwa wananchi Mungu amuepushie baya hilo,hana character za gambaz wengine.
Mzee huwa namheshim sana huyu ila hivi karibuni amekua akichefua sana, nilitarajia awe mfano wa kuigwa kwa hekima lakini kumbe hamna kitu
Bibi siku hadi siku unazidi kuwa kituko
Haijalishi.. Lakini hakukodiwa na chama