mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
We gamba baki Ktk mada! Watz wanataka kujua uokoaji unafanyika au sahv mnaunda kamati kwanza......mkishamaliza kuunda kamati jamaa watakuwa washaliwa na simbaUjue Mkuu Ndomana Kila Siku Nasemaga Watz Hatusimami Katika Nafasi Zetu.Mbunge Wa Eneo Hilo Yupo Wapi Kuorganize Vitu Kufanikisha Kutengeneza Madawati?
Chama Kama Chama Tunatumia Ruzuku Yetu Kujenga Vitu Vyetu Hilo Swala La Shule Halikuwa Katika Mipango Ya Chama,hilo Jambo Ni Wajibu Wa Mbunge..Hatuwezi Kukata Ruzuku Zetu Ili Kutengeneza Madawati Kama Ilivo Nyinyi....