OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,562
Ludewa kuna nuksi mpaka sasa wabunge waliofia madarakani ni4, waliohai ni3 tu cjui kwa nini?
Ukilinganisha na jimbo gani??!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ludewa kuna nuksi mpaka sasa wabunge waliofia madarakani ni4, waliohai ni3 tu cjui kwa nini?
Kazi ya mungu haina makosa umeodoka mpendwa wetu bado tunakuhitaji kushinda kipindi chochote lakin mungu kakupenda zaid (Mzalendo wa kweli mpenda nchi umenitoa machozi )
Amebaki Kangi Lugola.
Mambo ya kujiliwaza tu! Nasubili nione hizo nne zilizobaki, nani atazipanda na kuweka manjonjo ya kuiga.
Hii ni nchi isiyo na viwango. Tumecheza na viongozi chini ya viwango, hospitali chini ya viwango, barabara chini ya viwango na sasa nikiambiwa chopa zote zilizoletwa ni chini ya viwango, sitaona ajabu. Mambo yote tunawaza dili tuuuuu!
Nilipoona kwenye ukurasa wake wa fesibuku nikajua tu ataumbuka,
Maana ajali itokee jioni teka katikat ya mbuga za wanyama, yey anakurupuka kutetea usalawa wa chombo badala ya kutafuta ukweli, kweli hawa watu hawa,,........