Hello future Hubby

Hello future Hubby

Miaka 35! Hongera mkuu, umri ulioweka ni mkubwa mno.
 
Unachagua sana wewe tafuta bar iliyo karibu nawe kaa peke yako subiri hapo mume unaemtaka atakufuata nimekupa mbinu mpya

Zingatia; nyashi iwe inaoneonekana vizuri na wa kwanza kukufuata ndio awe wa mwisho chaguo lako usiendekezwe na tamaa kutaka wanaume 100 hutowaweza utapoteza tu muda wako
Sawa mkuu
 
Wakuu
Nmekuja kwenu kwa heshima kabisa, nmechoka upweke wa muda mrefu
Natafuta mume sio mpenzi
SIfa zangu
1. Mimi ni mrefu kiasi mweusi
Sio mnene wala mwembamba (nyash ipo)

Nafanya kazi na Nina kipato kinachonitosha
Ni mkristo mkatoliki
Sina mtoto wala sijawahi kuolewa
Naishi Dar
Nina miaka 32

Mwanaume ninayemtaka
1. Awe Dar sitaki long distance relationship kwa sababu nmeachana na x wangu kwa sababu ya umbali.
2. Uwe na kazi ya kukuingizia kipato au biashara
3 uwe tayari kuwa na familia, ndoa takatifu na kuwa baba wa familia
4. Uwe na akili timamu
5. Uwe mrefu mweusi ( mimi ni mweusi)
6. Uwe mkristu ( Lutheran au catholic ) wasabato hapana
7. Uwe umemaliza ujana sitakuwa na muda wa kukufatilia
8. Umri uanzzie 35 hadi 45

Nimekuja humu kwa sababu naamini mliopo humu ndo mliopo mtaani pia. Kwahiyo naomba msinibeze ukiona sikufai tafadhali usije pm

PM yangu ipo wazi, karibu future husband tuyajenge, nitakupenda hadi utafurahi
Si uweke namba mambo ya kuuziana picha humu ID zetu hahaha no
 
Nafanya kazi na Nina kipato kinachonitosha“ kwa hii point tu wewe anza kuandaa kamati ya sendoff .. mume unaye na ndoa unayo.
Tunataka kujua kwanza hicho kipato anachopata ni kiasi gani kwa mwezi!? Maana hata laki tatu nacho ni kipato!!
 
Mbona ni kama uko njema bibie how comes ukose mtu huko duniani??
 
Wakuu
Nmekuja kwenu kwa heshima kabisa, nmechoka upweke wa muda mrefu
Natafuta mume sio mpenzi
SIfa zangu
1. Mimi ni mrefu kiasi mweusi
Sio mnene wala mwembamba (nyash ipo)

Nafanya kazi na Nina kipato kinachonitosha
Ni mkristo mkatoliki
Sina mtoto wala sijawahi kuolewa
Naishi Dar
Nina miaka 32

Mwanaume ninayemtaka
1. Awe Dar sitaki long distance relationship kwa sababu nmeachana na x wangu kwa sababu ya umbali.
2. Uwe na kazi ya kukuingizia kipato au biashara
3 uwe tayari kuwa na familia, ndoa takatifu na kuwa baba wa familia
4. Uwe na akili timamu
5. Uwe mrefu mweusi ( mimi ni mweusi)
6. Uwe mkristu ( Lutheran au catholic ) wasabato hapana
7. Uwe umemaliza ujana sitakuwa na muda wa kukufatilia
8. Umri uanzzie 35 hadi 45

Nimekuja humu kwa sababu naamini mliopo humu ndo mliopo mtaani pia. Kwahiyo naomba msinibeze ukiona sikufai tafadhali usije pm

PM yangu ipo wazi, karibu future husband tuyajenge, nitakupenda hadi utafurahi
PM umeifunga tunazamaje
 
Still bado anachagua mpaka afike 40 ndio atasema nataka anaepumua tu, kuna ndugu yangu wa kike walifunga ndoa na jamaa yake jamaa hana kazi na binti by the time alikua hana kazi zaidi ya shughuli ndogo ndogo tu za hapa na pale wakapitisha michango (hio michango ndio ukawa mtaji wao) mpaka sasa wamepiga hatua sana binti kapata kazi na jamaa kapata kazi ila wameoana hawana kitu walikua na akili tu kichwani basi mengine ni jinsi ya kuzitumia akili zao kusonga mbele, kwa hio akili ni muhimu zaidi kuliko kipato kuliko muonekano
Wengi hawajui wanataka Nini, wanachezewa na kuchezeana hivyo akili ikija kukaa sawa basi muda umekwenda kidogo, wanaume wengi husband material huoa watoto wenye 20's.
 
Kikubwa hawa wanaume hawapendi kuombwa hela kwahiyo kama wewe unazo zinazotosha mahitaji yako , utawapata wengi. Au nasema uongo Balqior?
Hao wanawake wengine wenye vipato hachelewi kuja na laki 8 akakuomba umuongezee Milioni 9 na laki 2 ili ananuwe gari la Milioni 10,hapo sasa nani atakua kanunua hilo gari kama siyo mwanaume!? Wajanja sana hao wanawake wenye vipato vya sirini!!
 
Sawa mkuu
Sio unaenda Bar au Lounge za uchochoro nenda sehemu unazotaka kupata mwanaume wa hadhi yako, akili kichwani sikwambii mara 2 sasa kakae kwenye daladala mwanaume atakae kaa na wewe na kukuongelesha ndio mumeo akili kichwani
 
Wakuu
Nmekuja kwenu kwa heshima kabisa, nmechoka upweke wa muda mrefu
Natafuta mume sio mpenzi
SIfa zangu
1. Mimi ni mrefu kiasi mweusi
Sio mnene wala mwembamba (nyash ipo)

Nafanya kazi na Nina kipato kinachonitosha
Ni mkristo mkatoliki
Sina mtoto wala sijawahi kuolewa
Naishi Dar
Nina miaka 32

Mwanaume ninayemtaka
1. Awe Dar sitaki long distance relationship kwa sababu nmeachana na x wangu kwa sababu ya umbali.
2. Uwe na kazi ya kukuingizia kipato au biashara
3 uwe tayari kuwa na familia, ndoa takatifu na kuwa baba wa familia
4. Uwe na akili timamu
5. Uwe mrefu mweusi ( mimi ni mweusi)
6. Uwe mkristu ( Lutheran au catholic ) wasabato hapana
7. Uwe umemaliza ujana sitakuwa na muda wa kukufatilia
8. Umri uanzzie 35 hadi 45

Nimekuja humu kwa sababu naamini mliopo humu ndo mliopo mtaani pia. Kwahiyo naomba msinibeze ukiona sikufai tafadhali usije pm

PM yangu ipo wazi, karibu future husband tuyajenge, nitakupenda hadi utafurahi
1.Huna miaka 32
2.Usizanie kuzaa ni jambo la kawaida kawaida hasa ww
3.Pesa ya Mwanamke siku zote haijawahi kimtosha Wenda mashangazi
4.Nakutania bana
 
Back
Top Bottom