Hello JF

Karibu Tanzania online
 
karibu sanaa jf.
kuna Kila aina ya watu
washinda pm na washinda Majukwaani.
ukimkataa kwa nyodoo mwanaume wa jf atakutolea mapovu kwa kila thread
 
karibu sanaa jf.
kuna Kila aina ya watu
washinda pm na washinda Majukwaani.
ukimkataa kwa nyodoo mwanaume wa jf atakutolea mapovu kwa kila thread
Hahahaaaaa sio kikundi cha wafuaji iki
 
Karibu mamito.

Kwanza kuna fundi vitongozi huku. Halafu wanaume wa humu wengi wao hawana vifua. Vifua vyao wamebebea chuchu tu ila kuhifadhi mambo hawawezi.
Kuna wale wengine wa pm kitu kidogo anakuja pm ukatia neno th anakuuzia kesi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…